Kikao maalumu kuhusu Benki ya Kiislamu kimefanyika katika "Jāmi‘at al-Kawthar", Islamabad Pakistan, kikiwa na lengo la kueneza dhana ya kifedha katika uislamu, huku kikihudhuriwa na maulamaa…
Kongamano la lililofana ambalo lilipewa jina la “Karbala ya zama za Palestina” limefanyika mjini Islamabad, Pakistan, kwa kushirikisha shakhsia mashuhuri za kisiasa, kidini na vyombo vya habari…
Shura ya Ulamaa wa Kishia na Shirika la wanafunzi wa Jafariya Islamabad Pakistan waliongoza maandamano makubwa baada ya Swala ya Ijumaa, yakilenga kupinga uvamizi haramu wa Qibla cha kwanza…