Hawza/ Ripoti zinaonesha kutokea kwa tukio jipya la mashambulizi ya kimfumo ya Waisraeli dhidi ya Wakristo, ambapo katika tukio hilo, mtawa mmoja alishambuliwa upande wa Quds ya Mashariki inayokaliwa…
Hawza/ Licha ya kuwepo kwa usitishaji vita dhaifu katika Ukanda wa Ghaza, mashambulizi ya Israel dhidi ya raia wasio na ulinzi yanaendelea, na Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi na Quds inayokaliwa…