Jumamosi 28 Juni 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Dua za kila siku za Mwezi wa Ramadhani; siku ya nane

    KiswahiliDua za kila siku za Mwezi wa Ramadhani; siku ya nane

    Ee Mwenyezi Mungu! Niruzuku katika mwezi huu (ili niweze) kuwasaidia mayatima, niwalishe vyakula, pia nijaalie niweze kuwasalimia (Waislamu wote) kila nikutanapo nao, Unijaalie kuhusubiana na…

    2025-03-09 14:51
  • Jibu wema kwa wema

    Hadithi ya leo:

    KiswahiliJibu wema kwa wema

    Mungu awalaani majambazi wa wema. Akaulizwa majambazi wa wema ni akina nani? (Imam Swadiq, as) akasema: Mtu anayetendewa wema lakini hashukuru (anakufuru), matokeo yake anamfanya mtenda wema…

    2025-03-08 10:40
  • Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'an ya Tehran yafunguliwa

    KiswahiliMaonyesho ya Kimataifa ya Qur'an ya Tehran yafunguliwa

    Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yameanza kupokea wageni baada ya sherehe rasmi ya ufunguzi.

    2025-03-07 13:48
  • Qari Ahmad Aboulghasemi wa Iran ashiriki vikao vya Qur’ani Nairobi

    KiswahiliQari Ahmad Aboulghasemi wa Iran ashiriki vikao vya Qur’ani Nairobi

    Qari wa kimataifa wa Iran Ahmad Aboulghasemi, ametembelela Kenya katika siku za kwanza za mwezi mtukufu wa Ramadhani na kushiriki katika vikao kadhaa vya qiraa ya Qur’ani Tukufu.

    2025-03-05 11:39
  • Ayatollah Modarresi: Uislamu una vipengele vyote vya ustaarabu na duara lake linapaswa kupanuliwa

    KiswahiliAyatollah Modarresi: Uislamu una vipengele vyote vya ustaarabu na duara lake linapaswa kupanuliwa

    Hawza / Ayatollah Sayyid Mohammad Taqi al-Modarresi ametoa wito kwa Wanazuoni wa Iraq kuwajibika kwa ajili ya kueneza Dini na kueneza Mafundisho yake.

    2025-03-04 21:44
  • Kuweka Hema la Ramadhani huko Moscow

    KiswahiliKuweka Hema la Ramadhani huko Moscow

    Hawza / Hema la Ramadhani ni tukio maalum nchini Urusi ambapo Meza za iftar za kila siku zinawekwa na zaidi ya watu 600 hukusanyika katika Meza hiyo bila kujali utaifa au imani zao.

    2025-03-04 15:19
  • Programu za huduma na utamaduni wa Madhabahu (Haram) Tukufu ya Hazrat Abbas (AS) wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    KiswahiliProgramu za huduma na utamaduni wa Madhabahu (Haram) Tukufu ya Hazrat Abbas (AS) wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    Hazwa / Madhabahu Tukufu ya Hazrat Abbas (amani iwe juu yake), imepitisha programu kadhaa za huduma na kitamaduni za kuwapatia Mazuwwari katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

    2025-03-04 15:18
  • Imamu wa Ijumaa wa Baghdad: Upinzani dhidi ya Israel hauishi (haukamiliki)

    KiswahiliImamu wa Ijumaa wa Baghdad: Upinzani dhidi ya Israel hauishi (haukamiliki)

    Hawza / Ayatollah Sayyid Yassin Mousawi, Imamu wa Ijumaa wa Baghdad akiashiria kuhusiana na Mazishi na Maziko Matukufu ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah amemtaja kuwa ni "Shahidi wa Ummah" na…

    2025-03-04 14:57
  • Seminari ya Qom ni amana ya thamani ya kihistoria...

    Ayatollah Arafi:

    KiswahiliSeminari ya Qom ni amana ya thamani ya kihistoria...

    Mkurugenzi wa Seminari (Hawza) nchini (Iran) katika Mkutano wa Mameneja na Wafanyakazi wa usimamizi wa Seminari ya Qom alionyesha nafasi ya juu ya Seminari ya Qom katika Historia yote na kusisitiza…

    2025-03-04 14:55
  • Umuhimu wa Mwezi wa Ramadhani katika Sala ya Amirul Muminin (AS)

    Ayatollah Al-Udhma Shabiri Zanjani alisema:

    KiswahiliUmuhimu wa Mwezi wa Ramadhani katika Sala ya Amirul Muminin (AS)

    Hawza / Mwezi wa Ramadhani ulipokuwa ukiingia, Hadhrat Ali (a.s) alikuwa akielekea Kibla kisha anaomba dua namna hii: Eee Mwenyezi Mungu! Ufanye Mwezi huu kuwa mpya kwetu kwa usalama, imani,…

    2025-03-04 09:31
  • Tuwapende na Kuwakirimu Mayatima

    Dkt. Samia Suluhu Hassan:

    KiswahiliTuwapende na Kuwakirimu Mayatima

    Hawza / Uislamu umetuelekeza na kutuhimiza kuwapenda, kuwakirimu na kuwahurumia Mayatima, na kutokuwaonea.

    2025-03-03 23:02
  • Chochote unachokijua kuwa hiki kina kheri, basi usiache kupambana kukifanya

    Sheikh Walid Al-Hadi:

    KiswahiliChochote unachokijua kuwa hiki kina kheri, basi usiache kupambana kukifanya

    Hawza / Kumswalia Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) kwa wingi ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kuna kheri nyingi.

    2025-03-03 22:57
  • Kupanua shughuli za shirika la habari katika lugha 11 / Hitaji la kuimarisha zana za vyombo vya habari vya ndani ili kukabiliana na udhibiti wa kimataifa

    Afisa wa vyombo vya habari vya Seminari na Kituo cha anga za juu alitangaza:

    KiswahiliKupanua shughuli za shirika la habari katika lugha 11 / Hitaji la kuimarisha zana za vyombo vya habari vya ndani ili kukabiliana na udhibiti wa kimataifa

    Leo, habari za Seminari (Hawza) zinachapishwa katika lugha 11, na Mwenyezi Mungu akipenda, ifikapo mwisho wa mwaka, tovuti za lugha hizi zote zitaamilishwa kikamilifu.

    2025-03-03 17:35
  • Kisomo kizuri cha Qur'an Tukufu

    KiswahiliKisomo kizuri cha Qur'an Tukufu

    Kisomo hiki kizuri kimefanywa na msomaji kijana mbele ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    2025-03-03 17:22
  • Katika zama mpya, Ujumbe wa Seminari za Kiilmu ni mzito zaidi kuliko hapo zamani

    Ayatollah Arafi katika Madrasa ya Maasumiyah:

    KiswahiliKatika zama mpya, Ujumbe wa Seminari za Kiilmu ni mzito zaidi kuliko hapo zamani

    Hawza / "Tumeingia katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, na ibada za Mwezi huu zina daraja na viwango tofauti, na wale waliofaulu kuufahamu ukweli na uhakika wa kifalme wa Mwezi huu si sawa (wengine).…

    2025-03-03 17:12
  • Mwenyezi Mungu Ndiye Mmiliki wa Siku ya Malipo

    Tafsir ya Qur'an | Surat al-Fatiha:

    KiswahiliMwenyezi Mungu Ndiye Mmiliki wa Siku ya Malipo

    Hawza / Mwenyezi Mungu kama ambavyo Yeye Ndiye Mmiliki wa Ulimwengu mzima, vile vile Yeye Ndiye Mwenye kumiliki Siku ya Kiyama, ambayo ndio Siku ya Malipo na Siku hiyo watu wote watalipwa kulingana…

    2025-03-03 12:21
  • Ramadhani ni wakati wa utakaso wa nyoyo

    Ayatollah Mkuu Javadi Amoli:

    KiswahiliRamadhani ni wakati wa utakaso wa nyoyo

    Hawza / Hazrat Ayatollah Javadi Amoli amefafanua: Moyo sio kama dimbwi ambalo maji yake yanaweza kusafishwa kwa urahisi, au kama mkondo na vijito vidogo ambavyo ni rahisi kusafisha [badala yake]…

    2025-03-03 10:17
  • Muujiza wa Kusoma (Qur'an kwa utaratibu); Mafahimu za Qur'an zinazotiririka katika nyoyo na kuzifanyia kazi

    Kiongozi wa Mapinduzi ameeleza katika Hafla ya Ukaribu na Qur'an na katika mkusanyiko wa Maprofesa na Wasomaji wa Qur'an Mashuhuri na wa Kimataifa:

    KiswahiliMuujiza wa Kusoma (Qur'an kwa utaratibu); Mafahimu za Qur'an zinazotiririka katika nyoyo na kuzifanyia kazi

    Hawza / Ayatollah Khamenei amesema: Kwa bahati nzuri, nchi imepata maendeleo ya haraka katika uwanja wa Qur'an, ikilinganishwa na kabla ya Mapinduzi, wakati Qur'an ilipoachwa na usomaji wake…

    2025-03-03 05:33
  • Sifa Kuu Tatu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhan

    KiswahiliSifa Kuu Tatu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhan

    Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ni bora zaidi kuliko Miezi mingine na Masiku yake ni Masiku Bora kuliko Masiku Mengine.

    2025-03-02 23:27
  • Wanafunzi wa Dar-ul-Muslimeen waukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan + picha

    KiswahiliWanafunzi wa Dar-ul-Muslimeen waukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan + picha

    Wanafunzi wa Primary School ya Darul Muslimin, Dododma, Tanzania, wameukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Dua, Maigizo, Hotuba, Maonyesho na Tamthiliya mbalimbali kuhusiana na Mwezi Mtukufu…

    2025-03-02 22:49
  • Kauli mbiu yetu; Ramadhan katika kumtumikia Mwanadamu

    Kwa Mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan wa mwaka 1446 Hijria:

    KiswahiliKauli mbiu yetu; Ramadhan katika kumtumikia Mwanadamu

    Hawza / kwa mnasaba wa kuanza kwa Mwezi wa Ramadhan wa mwaka 1446 Hijria, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithna Ashari Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ametoa Salam za hongera…

    2025-03-02 00:29
  • Maandiko ambayo yalikuwa bado hayajabadilishwa kuwa Hotuba

    KiswahiliMaandiko ambayo yalikuwa bado hayajabadilishwa kuwa Hotuba

    Hawza / "Nazungumza nanyi wapendwa katika nchi yetu tuipendayo ya Lebanon, pamoja na nchi za Kiarabu na Kiislamu, na watu huru wa duniani na wale wote wasiokubali kudhulumiwa na kupigana dhidi…

    2025-03-01 17:37
  • Utekaji nyara wa Maulamaa watatu wa Pakistan ulimekasirisha watu wa nchi hii

    KiswahiliUtekaji nyara wa Maulamaa watatu wa Pakistan ulimekasirisha watu wa nchi hii

    Hawza / Wanazuoni watatu wa Kipakistan wanaosoma katika Seminari ya Qom (Jamiat Al-Mustafa Al-Alamiyya) wametekwa nyara na watu wasiojulikana walipokuwa wakirejea kutoka Iran kuelekea Pakistan…

    2025-03-01 14:12
  • Mahdi (a.t.f.s) atahukumu baina ya "Watu wa Kitabu" kwa kutegemea Kitabu chao kitakatifu

    Ayatollah Makarem Shirazi:

    KiswahiliMahdi (a.t.f.s) atahukumu baina ya "Watu wa Kitabu" kwa kutegemea Kitabu chao kitakatifu

    Hawza / Hadhrat Ayatollah Makarem Shirazi amesema: Sio watu wote wanakuwa Waislamu wakati wa utawala wa Imam Zaman (a.t.f.s) na kuna watu miongoni mwa Watu wa Kitabu ambao si maadui na hawatafuti…

    2025-03-01 14:07
  • Wasia wa Allamah Abdullah Al-Mamaqani kwa Mwanae

    Wasia wa Baba:

    KiswahiliWasia wa Allamah Abdullah Al-Mamaqani kwa Mwanae

    Hawza / "Itafute Dunia (itafute mali, pambana uwe tajiri uondokane na umasikini na ufukara,) kama kwamba hutokufa na utaishi milele duniani, lakini tenda (fanya amali njema) kwa ajili ya kuitafuta…

    2025-02-28 13:27
  • Seminari (Hawzah) za Kisayansi zinasimama kwenye mikondo na mienendo ya Upinzani (Muqawamah) / Mazishi ya Shahidi Nasrallah yameimarisha Mshikamano ndani ya Jamii ya Lebanon

    Ayatollah Arafi:

    KiswahiliSeminari (Hawzah) za Kisayansi zinasimama kwenye mikondo na mienendo ya Upinzani (Muqawamah) / Mazishi ya Shahidi Nasrallah yameimarisha Mshikamano ndani ya Jamii ya Lebanon

    Hawza / Katika ujumbe wake kwa Mnasaba wa Mazishi yaliyohudhiriwa na milioni moja ya watu ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah nchini Lebanon, Mkurugenzi wa Seminari (Hawzah) nchini (Iran) amesema:…

    2025-02-27 23:26
  • Video / Licha ya uharibifu mkubwa, wanajiandaa kwa ajili ya Ramadhani

    KiswahiliVideo / Licha ya uharibifu mkubwa, wanajiandaa kwa ajili ya Ramadhani

    Hawza / Watu wa Gaza wanajiandaa kusherehekea mwezi mtukufu wa Ramadhani licha ya uharibifu mkubwa.

    2025-02-27 19:10
  • Khatibu na Mwanafikra mashuhuri wa India ameitikia wito wa Haki

    KiswahiliKhatibu na Mwanafikra mashuhuri wa India ameitikia wito wa Haki

    Hawza / Sayyid Naeem Abbas Abedi, Mwanazuoni Mkubwa wa Kidini na Mkurugenzi wa zamani wa Jamiat al-Muntadhir Amroha ya India, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73.

    2025-02-27 19:08
  • Ushauri wa Imamu Ridha (AS) kuhusu siku za mwisho za Mwezi wa Sha'ban

    KiswahiliUshauri wa Imamu Ridha (AS) kuhusu siku za mwisho za Mwezi wa Sha'ban

    Hadhrat Ayatollah Al-Udhma Sayyid Musa Shubairi Zanjani amesema: Imam Reza (AS) aliamuru kusoma sana dua hii katika siku za mwisho za Mwezi wa Sha'ban: «Ewe Mwenyezi Mungu! Ikiwa haujatusamehe…

    2025-02-27 10:37
  • Hukumu za Kisheria kwa Mujibu wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s)

    KiswahiliHukumu za Kisheria kwa Mujibu wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s)

    Hukumu za Kisheria zitakazomfanya Mwanadamu afaulu Kesho Siku ya Kiyama, zinagawanyika katika sehemu kuu tatu: Hukumu za Kiitikadi, Hukumu za Kimatendo, na Hukumu za Kimaadili.

    2025-02-27 08:32
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom