Lebanon (16)
-
DuniaHarakati ya Tawhidi al-Islami: Shambulio dhidi ya Qatar ni mwendelezo wa siasa ya uhalifu ulioandaliwa na ugaidi wa kiserikali unaoungwa mkono na Marekani
Hawza / Harakati ya Tawhidi al-Islami ya Lebanon katika tamko lake imesema: “Shambulio la Israel ni mwendelezo wa siasa ya uhalifu ulioandaliwa na hatua inayoeleweka kuelekea ugaidi wa kiserikali…
-
Sheikh Ali Al-Khatib katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja:
DuniaUshindi wa muqawama umeilazimisha dola ya Kizayuni kukiri kushindwa kwake
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia nchini Lebanon alisisitiza: Adui anataka kuutenga umma wa Kiislamu na malengo yake ya kimungu, lakini ushindi wa muqawama umeilazimisha…
-
DuniaHarakati ya Tauhidi ya Kiislamu: Adui ameshindwa vibaya mbele ya azma na kujitolea kwa Palestina
Hawza/ Harakati ya Tauhidi ya Kiislamu nchini Lebanon imetoa pongezi kwa mapigo makali na ya kuumiza ambayo adui wa Kizayuni anaendelea kuyapokea kutoka kwa wapiganaji mashujaa wa muqawama.
-
DuniaImamu wa Ijumaa wa Beirut: Kutoweka kwa Imam Musa Sadr kutokana na nafasi yake ya kuunganisha na kuunga mkono malengo ya haki ni pigo kubwa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ali Fadhlallah alisema: “Kutoweka kwa Imam Musa Sadr, kutokana na nafasi yake ya kuleta umoja wa kitaifa na Kiislamu, pamoja na kuunga mkono malengo…
-
Ayatullah Rajabi:
DuniaHizbullah ya Lebanon ni alama ya heshima na hadhi kwa Umma wa Kiislamu / Ndoto ya kuivua silaha Hizbullah kamwe haitatimia
Hawzah/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawzah, kufuatia mpango ovu wa utawala wa kigaidi wa Marekani dhidi ya taifa tukufu na lenye kusimama imara la Lebanon, alitoa ujumbe na akasema: “Hizbullah ni…
-
DuniaMbunge wa Lebanon: Harakati ya Amal itabakia kuwa mwaminifu kwenye njia ya Imam Musa Sadr na kusalia thabiti katika njia ya muqawama
Hawza/ Ali Khreis alisema: “Tupo ukingoni mwa kumbukumbu ya kutoweka kwa Imam Musa Sadr, jinai ambayo maadui Waarabu, Waislamu, na muqawama walishiriki ndani yake
-
DuniaMjumbe Mwandamizi wa Harakati ya Amal: Lebanon imelipa gharama ya kutochukua hatua kwa serikali, na Muqawama ndio mbadala wa ulinzi wa ardhi na watu
Hawza/ Khalil Hamdan amesema: Lebanon kwa ujumla, na kusini hususan, imelipa gharama ya kuachwa na kutotetewa na viongozi, jambo ambalo linakwenda sambamba na kauli mbiu ya “nguvu ya Lebanon…
-
DuniaRaisi wa Umoja wa Maulama wa Muqawama: Msimamo wa Muqawama na Uaminifu Wake kwa Silaha Ni wa Kutosheleza Zaidi Kuliko Msimamo Dhaifu wa Serekali na Unaopingana
Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesema: “Wakati wanataka Muqawama, pamoja na manufaa yote uliyoyaleta Lebanon, utoe silaha zake kwa ajili ya mradi wa kubuni serikali imara, ni sawa na kuuza chuma…
-
DuniaWanazuoni wa Sunni wa Lebanon Wameunga Mkono Muqawama kikamilifu
Hawza / Sheikh Ahmed Al-Qattan, kiongozi wa dini wa Sunni na Rais wa Jumuiya ya “Qoulna wa Al-Amal” nchini Lebanon, amesema: “Tunasema kwamba silaha zilizopo Lebanon na sehemu yoyote ambapo silaha…
-
DuniaMjumbe Mwandamizi wa Hizbullah: Uamuzi wa Serikali wa Kutaifisha Silaha za Muqawama ni Hatari na Unaweza Kuliweka Taifa Kwenye Ukingo wa Mlipuko
Hawzah/ Sheikh Ali D’amoush amesisitiza kwamba uamuzi wa kijinga ambao serikali imechukua wa kutaifisha silaha za Muqawama si tu kwamba umekosea sehemu ya kanuni, bali pia umelikosea Taifa na…
-
DuniaMufti wa Jaafari Lebanon: Iran ni chimbuko la heshima ya kila mwanadamu huru katika ulimwengu huu na uaminifu wetu kwa Tehran ni kama uaminifu wetu kwa Mawalii wakuu
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan amesema: Iran ndiyo iliyouangamiza mradi wa Mashariki ya Kati na ikaibatilisha matumaini ya Washington na Tel Aviv yanayotokana na ugaidi, uvamizi pamoja na uharibifu
-
DuniaMjumbe wa Kambi ya Muqawama amelaani kitendo cha serikali ya Lebanon cha kukabidhi mfungwa wa Kizayuni bila kupata faida yoyote
Hawzah/ Ibrahim al-Mousawi amesema: Sisi, kama Walebanoni, tumeshangazwa na tangazo la adui Mzayuni kuhusu kukabidhiwa kwake Mzayuni mmoja na maafisa wa Kilebanoni huku makabidhiano hayo yakifaidisha…
-
Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kishia la Lebanon:
DuniaYanayojiri nchini Syria ni hatari sana kwa Syria na kwa ukanda wote
Hawza / Sheikh Ali al-Khatib amegusia matukio ya hivi karibuni nchini Lebanon na katika eneo zima, hasa yanayoendelea Syria, na kusema: Yanayojiri nchini Syria ni hatari sana kwa Syria na kwa…
-
DuniaMkutano wa wanazuoni wa Kishia katika Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon kuonesha mshikamano wao na Iran
Hawza/ Wanazuoni wameitikia wito wa Naibu Raisi wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon kwa ajili ya mkutano huu.
-
Makamu wa Rais wa Baraza kuu la Shia nchini Lebanon:
DuniaImam Khomeini alianzisha harakati kubwa zaidi ya mapinduzi harakati ambayo mafundisho yake yamechukuliwa kutoka katika kina cha uislamu
Hawza/ Sheikh Ali al-Khatib amesema: Tumempoteza Imam Khomeini (r.h), ambaye haiba yake iliambatana na ujasiri na kujitolea, na mwangaza wake uliangaza kote ulimwenguni.
-
DuniaMwanazuoni wa kisuni Lebanon ashangazwa na msimamo wa wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo; Lebanon Haitakuwa Makazi ya Wazayuni
Sheikh Ahmad al-Qattan ameeleza kushangazwa kwake na hatua iliyo chukuliwa na wizara ya mambo ya nje ya Lebanon kwa kumuita balozi wa Iran, na akasema: Balozi wa Iran anatetea uwezo wa Lebanon.