Hawza/ Sheikh Ali al-Khatib amesema: Tumempoteza Imam Khomeini (r.h), ambaye haiba yake iliambatana na ujasiri na kujitolea, na mwangaza wake uliangaza kote ulimwenguni.
Sheikh Ahmad al-Qattan ameeleza kushangazwa kwake na hatua iliyo chukuliwa na wizara ya mambo ya nje ya Lebanon kwa kumuita balozi wa Iran, na akasema: Balozi wa Iran anatetea uwezo wa Lebanon.