Vita kati ya Irani na Israeli (196)
-
HawzaAyatullah Kaabi Aeleza Masharti Yanayopaswa Kuzingatiwa kwa Ajili ya Kumaliza Vita vya Kulazimishwa
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: Mfumo Mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe hautavuka mistari myekundu inayohusiana na haki za taifa la Iran, na…
-
DuniaRais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki Asifu Uthabiti na Nguvu ya Watu wa Iran
Hawza/ Rais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki amesema kuwa; kizazi kipya cha Iran, kufuatia matokeo ya vita vya hivi karibuni dhidi ya Iran, kimeuishi “utamaduni wa Muqawama” si…
-
Wataalamu na Wachambuzi:
DuniaMabadiliko ya Kivita na “Umoja wa Medani za Mapambano” Vamevuruga Hesabu za Kizayuni na Kimarekani nchini Lebanon na katika Ukanda Mzima
Hawza/ Mapambano katika eneo dhidi ya utawala wa Kizayuni yameingia katika hatua ngumu zaidi, dalili za kushindwa kwa utawala huo wa uvamizi zinazidi kujitokeza siku baada ya siku.
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaOngezeni Utukufu wa Uwepo wa Wananchi na Vijana wa Iran Mitaani, na Imarisheni Zaidi Utamaduni wa Kishujaa na Roho ya Muqawama/ Taifa la Iran Limeandika Ukurasa wa Dhahabu Katika Historia ya Nchi Hii kwa Zaidi ya Siku Mia Moja
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…
-
DuniaMchambuzi wa Kipalestina: Mwamko wa Kisiasa katika Nchi za Ghuba Umeanza
Hawza/ Abdul Bari Atwan, mchambuzi na mwandishi mashuhuri wa Kipalestina huku akirejelea upinzani wa Saudi Arabia dhidi ya matumizi ya anga yake na Marekani kwa ajili ya kushambulia Iran, alisema…
-
Ayatullah Araki:
DuniaKushambulia maslahi ya Marekani na wafuasi wake ni wajibu wa kisheria/ Hatua yoyote inayosababisha kudhoofika ari ya mapambano ni haramu
Hawza/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza, akisisitiza kwamba; hatua yoyote inayosababisha kudhoofika ari ya mapambano kwa mtazamo wa kisheria ni haramu, alisema: Kushambulia maslahi ya Marekani popote…
-
DuniaHarakati ya Hamas yashukuru mashambulizi ya Yemen na Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni
Hawza/ Harakati ya Muqawama wa Kiislamu “Hamas” imepongeza majibu ya Iran na Yemen dhidi ya utawala wa Kizayuni na uhalifu wake dhidi ya Lebanon na wananchi wa nchi hiyo.
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:
Dunia“Kumwaga damu ya Trump na Wazayuni ni matakwa ya Imam Mahdi (a.f)”
Imechapishwa tena/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja na mshikamano, alisema: “Kumwaga damu ya Wazayuni na Trump na mfano wa hao kwa sasa ni kauli ya Imam Mahdi…
-
DuniaBahrain yaongeza hatua zake kali dhidi ya Mashia
Hawza/ Nchini Bahrain, wimbi la hivi karibuni la kukamatwa, kuvuliwa uraia na kufuatiliwa kwa misingi ya kisiasa na kidini limezua mijadala mikubwa kuhusu hali ambayo nchi hiyo inaipitia.
-
Mwanazuoni wa Ahlu Sunna wa Misri:
DuniaKuisaidia Iran dhidi ya uvamizi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Sheikh Salama Abdulqawi, mwanazuoni wa Ahlu Sunna kutoka Misri na mmoja wa maafisa wa zamani wa Wizara ya Wakfu ya Misri, akisisitiza kwamba; Iran ni nchi ya Kiislamu, ameeleza kuwa kuiunga…
-
DuniaMtangazaji wa televisheni wa Kuwait ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu kwa tuhuma za kuiunga mkono Iran
Hawza / Mamlaka ya mahakama ya Kuwait imethibitisha hukumu iliyotolewa dhidi ya Zainab Dashti, mtangazaji wa televisheni rasmi ya Kuwait.
-
DuniaKampuni ya Bosch inafunga ofisi yake ya Akili Mnemba nchini Israel
Hawza/ Kampuni ya Kijerumani ya Bosch katika uamuzi ambao imeuelezea kuwa umetokana na sababu za kiuchumi, imeamua kufunga ofisi yake ya Akili Bandia nchini Israel; hatua ambayo inatajwa kuwa…
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad atahadharisha kuhusu kuongezeka kwa mpasuko kati ya tabaka la kisiasa na wananchi wa Iraq
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi ameonya kuhusu kuwepo kwa mpasuko mkubwa kati ya tabaka la kisiasa na wananchi wa Iraq, huku akisisitiza kuwa; nchi ipo katika njia panda kati ya mamlaka…
-
DuniaHukumu nzito ya mahakama ya Bahrain dhidi ya raia wa Kishia
Hawza/ Mahakama Kuu ya Jinai nchini Bahrain imetoa hukumu nzito ya pamoja dhidi ya makumi ya raia wa Kishia, akiwemo mwanazuoni mmoja wa dini na wanawake wawili katika kesi tofauti.
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt Uturuki:
DuniaIran Bila Kurudi Nyuma, Imeuonesha Ulimwengu Mfano wa Muqawama wa Hussein
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt nchini Uturuki katika ujumbe wake wa Idi ya Adh-ha, huku ikisisitiza umoja wa Umma wa Kiislamu na kuunga mkono mkondo wa muqawama, imelaani uvamizi wa…
-
Mkurugenzi Mtendaji na Utawala wa Baraza la Ribat Muhammadi la Iraq:
DuniaJamhuri ya Kiislamu ndio mstari wa mbele wa Umma katika kukabiliana na dhulma/ Mauaji ya watoto mashuleni ni jinai ya hivi karibuni ya Wazayuni
Hawza/ Dkt. Abdul-Jabbar Al-Fahdawi, Mkuu wa Idara ya Baraza la Ribat Muhammadi la Iraq, amesema katika kipindi cha “Mashahidi Watoto wa Minab” kwamba; Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio mstari…
-
Mchambuzi wa Kisiasa wa Iraq:
DuniaVita vyovyote dhidi ya Iran vitakuwa vita vya kikanda na vya nyanja nyingi
Hawza/ Muhammad Ali Al-Hakim, mchambuzi wa kisiasa wa Iraq, amesema kuwa; vitisho vya Donald Trump Rais wa Marekani, vinafanywa kwa lengo la kuilazimisha Iran kupatana na kufanya makubaliano…
-
DuniaXi na Putin walaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Hawza/ Rais wa China na mwenzake wa Urusi katika taarifa ya pamoja kuhusu hali ya Mashariki ya Kati, wamelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum Iran:
DuniaKhorramshahr yetu ya leo ni kuulinda Mlango wa Hormuz na kuvunja utukufu wa Marekani/ Adui anajitahidi kuigawanya jamii katika makundi mawili na kueneza mifarakano katika mikusanyiko
Hawza/Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisisitiza kuwa: Imam mtukufu marehemu alisema: “Khorramshahr aliikomboa Mwenyezi Mungu.” Hii ni kanuni kwamba kila mahali tuliposimama kwa mapambano…
-
Msaidizi wa Masuala ya Tablighi na Utamaduni wa Hawza nchini Iran amesema:
DuniaVita mseto vya adui vitabatilishwa kutokana na uimara wa muqawama wa Kiirani
Hawza/ Msimamizi wa Makao Makuu ya Vita Mseto ya “Balagh Mubin” amesema: Katika siku za vita vya tatu vya kulazimishwa na uwepo mkubwa wenye hamasa wa wananchi katika viwanja na mitaani, takribani…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Sulaymaniyah Iraq akiwa miongoni mwa Maulamaa wa Kurdistan:
DuniaKiburi cha bandia cha Marekani na Wazayuni kimevunjwa mbele ya taifa la Iran
Hawza/ Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Sulaymaniyah Iraq amesema: Lengo la safari yangu lilikuwa kutoa shukrani kwa taifa la Iran na kupongeza ushindi mkubwa dhidi ya maadui; ushindi ambao ni fahari…
-
Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi katika Mkoa wa Kurdistan:
DuniaTaifa la Iran limesimama imara mbele ya mashinikizo na vitisho
Hawza/ Mwakilishi wa Walii Faqihi katika Mkoa wa Kurdistan, huku akirejelea hali ya eneo pamoja na vikwazo vya miongo kadhaa iliyopita, alisisitiza kwamba: Taifa la Iran licha ya mashinikizo…
-
DuniaNafasi ya Iran yasisitizwa katika kuundwa mfumo mpya wa kikanda katika mkutano wa Bursa, Uturuki
Hawza/ Chama cha Vatan cha Uturuki katika mkutano uliofanyika mjini Bursa kwa anuani ya “Matokeo ya muqawama wa Iran katika mchakato wa Asia inayoibuka”, kilisisitiza nafasi ya Iran katika kubadilisha…
-
Ayatullah Araki katika mkusanyiko wa wanazuoni wa Hawza na wananchi:
DuniaWatawala vibaraka wa eneo hili wachukue funzo kutokana na hatima ya Saddam/ Subira ya Iran inakaribia kuisha
Hawza/ Mjumbe wa kamati ya uongozi ya Baraza la Wataalamu wa Uongozi aliwaonya watawala vibaraka wa eneo hili kwa kusema: Sisi tutawapa tena fursa ndogo, ihesabuni kuwa ni neema, siku ipo karibu…
-
Ayatullah Saeedi katika Swala ya Ijumaa ya Qum:
DuniaHatutaondoka barabarani mpaka adui ashindwe kikamilifu
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum, huku akirejelea umuhimu wa uwepo wa wananchi mitaani, alisema: Leo kwa amri ya Walii Faqihi hatutaondoka mitaani mpaka tutakapowapigisha magoti maadui…
-
HawzaAyatullah al-Udhma Subhani amthamini muuguzi aliyeyaokoa maisha ya watoto wachanga nchini Iran
Hawza/ Hadhrat Ayatullah Subhani, huku akitoa shukrani kwa juhudi za jamii ya sekta ya afya, alisema: Niliona picha za kujitolea mhanga kwa muuguzi aliyekuwa akiwaokoa watoto wachanga; aliumba…
-
Katika taarifa ya Majma’ ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) ilisisitizwa:
DuniaKunyang’anywa uraia wananchi wa Bahrain ni ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu
Hawza/ Majma’ ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kwa kutoa taarifa rasmi, imelaani hatua ya utawala wa Aal Khalifa ya kufuta uraia wa makumi ya wananchi pamoja na kuwakamata baadhi ya wanazuoni…
-
DuniaJumuiya ya walimu wa hawza ya Qum, yakosoa vitendo vya kinyama vya serikali za Kiarabu dhidi ya Mashia/ Hatua yoyote dhidi ya Mashia ni hatua ya Marekani na Mazayuni
Hawza/ Jumuiya ya walimu wa hawza ya Qum, huku ikilaani vitendo vya kupinga Uislamu na vya kinyama vya serikali za Kiarabu dhidi ya jamii ya Mashia, imesisitiza: Serikali za Kiarabu kupitia vitendo…
-
DuniaTaarifa ya Makao Makuu ya Haki za Binadamu kulaani ukiukwaji mkubwa wa haki za msingi za watoto wa Kiirani huko Imarati
Hawza/ Makao Makuu ya Haki za Binadamu imetoa taarifa rasmi yakulaani hatua ya Imarati ya kufuta leseni za shughuli za shule za Kiirani na kuwafukuza wanafunzi kutoka katika mazingira ya elimu,…
-
Ayatullah Alireza Arafi:
HawzaMikusanyiko ya wananchi katika nyanja za uwanjani ndiyo fursa bora zaidi ya kuinua kiwango cha dini kwa watu na kuvutia hawza
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, amesisitiza umuhimu wa kuendelea, kupanua na kuimarisha uwepo wa wananchi wapendwa na vijana waungwana katika nyanja na barabara, na ametaka kutumiwa kwa…