Vita kati ya Irani na Israeli (144)
-
Video ya AI:
VideoWalio asisi vita vya kulazimishwa dhidi ya Iran hawataepuka kisasi cha watu huru duniani
Taswira ya mfano inayowakilisha ahadi ya Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei kuwahusu wahusika wa uhalifu uliotekelezwa katika vita viwili vya mwisho vilivyolazimishwa dhidi ya wananchi wa Iran,…
-
Ayatullah Jawadi Amuli:
DuniaWananchi Kuwepo Uwanjani ni Miongoni mwa Vielelezo vya Nusura ya Mwenyezi Mungu/ Marekani na Israel Wamedhalilika Mbele ya Iran
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amuli amesema kuwa; hakuna aliyedhani kwamba kwa miezi kadhaa wanawake na wanaume wangekuwa na uwepo mkubwa kiasi hicho katika maeneo mbalimbali na kuwa watetezi wa Mapinduzi…
-
Mchambuzi wa Masuala ya Kisiasa:
DuniaMarekani na Utawala wa Kizayuni Hawana Dhamira ya Kufanikisha Usitishaji Vita wa Kudumu
Hawza/ Mchambuzi wa masuala ya kisiasa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni umeonesha tena kwamba hauheshimu makubaliano wala maazimio yoyote. Alisisitiza kuwa kuendelea kwa uvamizi na uharibifu…
-
DuniaAyatullah A‘rafi Atoa Wito kwa Wananchi Kushiriki kwa Roho ya Ashura katika Mazishi ya Imam Shahidi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amealika makundi yote ya wananchi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika mazishi ya mwili mtukufu wa Kiongozi wa Umma Shahidi, Hadhrat Imam…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaVita vya Hivi Karibuni vya Marekani na Israel dhidi ya Iran si Vita vya Nchi Moja, Bali ni Mapambano ya Umma Mzima wa Kiislamu
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, huku akisisitiza kuhusu sura pana ya makabiliano ya hivi karibuni kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ameeleza…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (as) nchini Uturuki:
DuniaMaadui wa Iran Hawakufanikiwa Kufikia Lengo Lolote Walilotangaza
Hawza / Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (as) nchini Uturuki, katika kipindi cha televisheni, alitoa tathmini kuhusu mwezi wa Muharram na kile alichokitaja kuwa ni ushindi wa Iran.
-
Dunia"Yedioth Ahronoth": Makubaliano kati ya Marekani na Iran kwa wakati mmoja yanaimarisha nafasi ya Iran na Hizbullah
Hawza/ Mchambuzi wa Kizayuni katika makala iliyochapishwa na gazeti la Yedioth Ahronoth amesema kuwa; makubaliano yaliyofikiwa kati ya Marekani na Iran kwa ajili ya kusitisha vita yanaashiria…
-
HawzaAyatullah Kaabi Aeleza Masharti Yanayopaswa Kuzingatiwa kwa Ajili ya Kumaliza Vita vya Kulazimishwa
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: Mfumo Mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe hautavuka mistari myekundu inayohusiana na haki za taifa la Iran, na…
-
DuniaRais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki Asifu Uthabiti na Nguvu ya Watu wa Iran
Hawza/ Rais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki amesema kuwa; kizazi kipya cha Iran, kufuatia matokeo ya vita vya hivi karibuni dhidi ya Iran, kimeuishi “utamaduni wa Muqawama” si…
-
Wataalamu na Wachambuzi:
DuniaMabadiliko ya Kivita na “Umoja wa Medani za Mapambano” Vamevuruga Hesabu za Kizayuni na Kimarekani nchini Lebanon na katika Ukanda Mzima
Hawza/ Mapambano katika eneo dhidi ya utawala wa Kizayuni yameingia katika hatua ngumu zaidi, dalili za kushindwa kwa utawala huo wa uvamizi zinazidi kujitokeza siku baada ya siku.
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaOngezeni Utukufu wa Uwepo wa Wananchi na Vijana wa Iran Mitaani, na Imarisheni Zaidi Utamaduni wa Kishujaa na Roho ya Muqawama/ Taifa la Iran Limeandika Ukurasa wa Dhahabu Katika Historia ya Nchi Hii kwa Zaidi ya Siku Mia Moja
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…
-
DuniaMchambuzi wa Kipalestina: Mwamko wa Kisiasa katika Nchi za Ghuba Umeanza
Hawza/ Abdul Bari Atwan, mchambuzi na mwandishi mashuhuri wa Kipalestina huku akirejelea upinzani wa Saudi Arabia dhidi ya matumizi ya anga yake na Marekani kwa ajili ya kushambulia Iran, alisema…
-
Ayatullah Araki:
DuniaKushambulia maslahi ya Marekani na wafuasi wake ni wajibu wa kisheria/ Hatua yoyote inayosababisha kudhoofika ari ya mapambano ni haramu
Hawza/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza, akisisitiza kwamba; hatua yoyote inayosababisha kudhoofika ari ya mapambano kwa mtazamo wa kisheria ni haramu, alisema: Kushambulia maslahi ya Marekani popote…
-
DuniaHarakati ya Hamas yashukuru mashambulizi ya Yemen na Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni
Hawza/ Harakati ya Muqawama wa Kiislamu “Hamas” imepongeza majibu ya Iran na Yemen dhidi ya utawala wa Kizayuni na uhalifu wake dhidi ya Lebanon na wananchi wa nchi hiyo.
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:
Dunia“Kumwaga damu ya Trump na Wazayuni ni matakwa ya Imam Mahdi (a.f)”
Imechapishwa tena/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja na mshikamano, alisema: “Kumwaga damu ya Wazayuni na Trump na mfano wa hao kwa sasa ni kauli ya Imam Mahdi…
-
DuniaBahrain yaongeza hatua zake kali dhidi ya Mashia
Hawza/ Nchini Bahrain, wimbi la hivi karibuni la kukamatwa, kuvuliwa uraia na kufuatiliwa kwa misingi ya kisiasa na kidini limezua mijadala mikubwa kuhusu hali ambayo nchi hiyo inaipitia.
-
Mwanazuoni wa Ahlu Sunna wa Misri:
DuniaKuisaidia Iran dhidi ya uvamizi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Sheikh Salama Abdulqawi, mwanazuoni wa Ahlu Sunna kutoka Misri na mmoja wa maafisa wa zamani wa Wizara ya Wakfu ya Misri, akisisitiza kwamba; Iran ni nchi ya Kiislamu, ameeleza kuwa kuiunga…
-
DuniaMtangazaji wa televisheni wa Kuwait ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu kwa tuhuma za kuiunga mkono Iran
Hawza / Mamlaka ya mahakama ya Kuwait imethibitisha hukumu iliyotolewa dhidi ya Zainab Dashti, mtangazaji wa televisheni rasmi ya Kuwait.
-
DuniaKampuni ya Bosch inafunga ofisi yake ya Akili Mnemba nchini Israel
Hawza/ Kampuni ya Kijerumani ya Bosch katika uamuzi ambao imeuelezea kuwa umetokana na sababu za kiuchumi, imeamua kufunga ofisi yake ya Akili Bandia nchini Israel; hatua ambayo inatajwa kuwa…
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad atahadharisha kuhusu kuongezeka kwa mpasuko kati ya tabaka la kisiasa na wananchi wa Iraq
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi ameonya kuhusu kuwepo kwa mpasuko mkubwa kati ya tabaka la kisiasa na wananchi wa Iraq, huku akisisitiza kuwa; nchi ipo katika njia panda kati ya mamlaka…
-
DuniaHukumu nzito ya mahakama ya Bahrain dhidi ya raia wa Kishia
Hawza/ Mahakama Kuu ya Jinai nchini Bahrain imetoa hukumu nzito ya pamoja dhidi ya makumi ya raia wa Kishia, akiwemo mwanazuoni mmoja wa dini na wanawake wawili katika kesi tofauti.
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt Uturuki:
DuniaIran Bila Kurudi Nyuma, Imeuonesha Ulimwengu Mfano wa Muqawama wa Hussein
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt nchini Uturuki katika ujumbe wake wa Idi ya Adh-ha, huku ikisisitiza umoja wa Umma wa Kiislamu na kuunga mkono mkondo wa muqawama, imelaani uvamizi wa…
-
Mkurugenzi Mtendaji na Utawala wa Baraza la Ribat Muhammadi la Iraq:
DuniaJamhuri ya Kiislamu ndio mstari wa mbele wa Umma katika kukabiliana na dhulma/ Mauaji ya watoto mashuleni ni jinai ya hivi karibuni ya Wazayuni
Hawza/ Dkt. Abdul-Jabbar Al-Fahdawi, Mkuu wa Idara ya Baraza la Ribat Muhammadi la Iraq, amesema katika kipindi cha “Mashahidi Watoto wa Minab” kwamba; Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio mstari…
-
Mchambuzi wa Kisiasa wa Iraq:
DuniaVita vyovyote dhidi ya Iran vitakuwa vita vya kikanda na vya nyanja nyingi
Hawza/ Muhammad Ali Al-Hakim, mchambuzi wa kisiasa wa Iraq, amesema kuwa; vitisho vya Donald Trump Rais wa Marekani, vinafanywa kwa lengo la kuilazimisha Iran kupatana na kufanya makubaliano…
-
DuniaXi na Putin walaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Hawza/ Rais wa China na mwenzake wa Urusi katika taarifa ya pamoja kuhusu hali ya Mashariki ya Kati, wamelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum Iran:
DuniaKhorramshahr yetu ya leo ni kuulinda Mlango wa Hormuz na kuvunja utukufu wa Marekani/ Adui anajitahidi kuigawanya jamii katika makundi mawili na kueneza mifarakano katika mikusanyiko
Hawza/Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisisitiza kuwa: Imam mtukufu marehemu alisema: “Khorramshahr aliikomboa Mwenyezi Mungu.” Hii ni kanuni kwamba kila mahali tuliposimama kwa mapambano…
-
Msaidizi wa Masuala ya Tablighi na Utamaduni wa Hawza nchini Iran amesema:
DuniaVita mseto vya adui vitabatilishwa kutokana na uimara wa muqawama wa Kiirani
Hawza/ Msimamizi wa Makao Makuu ya Vita Mseto ya “Balagh Mubin” amesema: Katika siku za vita vya tatu vya kulazimishwa na uwepo mkubwa wenye hamasa wa wananchi katika viwanja na mitaani, takribani…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Sulaymaniyah Iraq akiwa miongoni mwa Maulamaa wa Kurdistan:
DuniaKiburi cha bandia cha Marekani na Wazayuni kimevunjwa mbele ya taifa la Iran
Hawza/ Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Sulaymaniyah Iraq amesema: Lengo la safari yangu lilikuwa kutoa shukrani kwa taifa la Iran na kupongeza ushindi mkubwa dhidi ya maadui; ushindi ambao ni fahari…
-
Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi katika Mkoa wa Kurdistan:
DuniaTaifa la Iran limesimama imara mbele ya mashinikizo na vitisho
Hawza/ Mwakilishi wa Walii Faqihi katika Mkoa wa Kurdistan, huku akirejelea hali ya eneo pamoja na vikwazo vya miongo kadhaa iliyopita, alisisitiza kwamba: Taifa la Iran licha ya mashinikizo…
-
DuniaNafasi ya Iran yasisitizwa katika kuundwa mfumo mpya wa kikanda katika mkutano wa Bursa, Uturuki
Hawza/ Chama cha Vatan cha Uturuki katika mkutano uliofanyika mjini Bursa kwa anuani ya “Matokeo ya muqawama wa Iran katika mchakato wa Asia inayoibuka”, kilisisitiza nafasi ya Iran katika kubadilisha…