Hawzah/ Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ufaransa, katika kipindi cha miezi mitano ya kwanza ya mwaka 2025, kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la matukio ya chuki dhidi…
Hawzah/ Kwa Waislamu wengi, wakiwemo Waislamu wa Uingereza, tukio la kulipuliwa mabomu tarehe 7 Julai mwaka 2005 linawakumbusha kumbukumbu za majonzi makubwa, na hadi leo linazidi kuwachochea…
Siku ya Ijumaa, mtu mmoja ambaye unafahamika, aliingia ndani ya msikiti katika kijiji cha Land Kamp kilichoko kusini mwa Ufaransa, huku akiwa na kisu na akamuua mwislamu aliyekuwa akiswali.