Chuki dhidi ya Uislamu (16)
-
DuniaChuki dhidi ya Uislamu yazidi kuongezeka nchini Kanada
Hawza/ Waislamu wa jiji la Winnipeg wametangaza kuwa Jumatano iliyopita watu wawili walifyatua risasi kuelekea kuta za msikiti wao kwa kutumia silaha.
-
DuniaMaktaba nchini Uingereza yaandaa tukio la “Kuufanyia Utafiti Uislamu”
Hawza / Maktaba ya mji wa Wigan nchini Uingereza itakuwa mwenyeji wa tukio la kitamaduni na kifamilia linaloitwa “Kuutafiti Uislamu”.
-
DuniaWaislamu wa Texas Wahanga wa Ukosefu wa Usalama Kutotokana na Kampeni za Uchaguzi
Hawza/ Waislamu wa Jimbo la Texas nchini Marekani wameeleza wasiwasi mkubwa kutokana na baadhi ya wagombea wa uchaguzi kutumia hotuba zao za kampeni kueneza chuki dhidi ya Uislamu.
-
DuniaPolisi wa Hispania Wamkamata Mtu Aliyetukana Uislamu na Kusambaza Chuki Dhidi ya Waislamu
Hawza/ Mtu mwenye umri wa miaka 55 aliyekuwa akitumia rangi za kupulizia kuandika maneno ya chuki dhidi ya Uislamu, vitisho na matusi kwenye ukuta wa msikiti mmoja nchini Uhispania amekamatwa…
-
DuniaMtindo mpya wa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya
Hawza/ Mpango wa kubadilisha jengo la zamani kuwa msikiti na kituo cha kitamaduni cha Kiislamu katika kijiji cha “Siebnen” kilichopo katika kantoni ya Schwyz nchini Uswisi, umesitishwa kwa muda…
-
DuniaCanada yafunga Ofisi inayopambana na chuki dhidi ya Uislamu, katika hatua iliyotajwa kuwa ya kibaguzi
Hawza/ Wakosoaji wameonya kwamba kufungwa Ofisi ya Mwakilishi Maalumu wa Canada kwa ajili ya kushughulikia masuala yanayohusiana na chuki dhidibya Uislamu, kumedhoofisha kwa kiasi kikubwa uwezo…
-
Ukiukwaji wa haki za Waislamu nchini Italia:
DuniaManispaa ya Rovigo yapinga ujenzi wa makaburi ya Kiislamu kwa ajili ya Wislamu kuzikana
Hawza/ Jumuiya ya Waislamu wa Rovigo, baada ya kugharamia kikamilifu mradi huo, imeomba kuanzishwa makaburi ya Kiislamu yaliyo huru, lakini manispaa ya mji huu, licha ya kutokuwepo kiwango chochote…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Najaf Ashraf:
DuniaKudharauliwa Qur’ani Tukufu na Mgombea wa Marekani ni Dalili ya Kushindwa kwa Utamaduni wa Magharibi
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amelaani vikali kitendo cha mmoja wa wagombea wa Bunge la Marekani cha kudharau hadhi tukufu ya Qur’ani Tukufu.
-
DuniaSerikali ya Ufaransa Yalegeza Kamba Kuhusiana na Marufuku ya Hijabu kwa Wasichana Walio Chini ya Umri wa Miaka 18
Hawza/ Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na kampeni kubwa kwenye vyombo vya habari kuhusu pendekezo la kupiga marufuku hijabu hata kwa watoto, jambo ambalo limechochea maudhi na wasiwasi…
-
DuniaIsrael Yatumia vyombo vya Habari Kama Nyenzo Dhidi ya Waislamu Ufaransa
Hawza/ Hivi karibuni kura ya maoni ilichapishwa nchini Ufaransa ambayo iliandaliwa kwa kuungwa mkono na Mayahudi na hatimaye Israel dhidi ya Waislamu wa Ufaransa, lakini nyaraka zilizopatikana…
-
HawzaChuki Dhidi ya Uislamu Nchini Argentina; Changamoto Kubwa kwenye Jamii ya Kiislamu
Hawza/ Kuenea kwa chuki dhidi ya Uislamu nchini Argentina imegeuka kuwa tatizo pana linalowaathiri maelfu ya Waislamu wa nchi hiyo. Viongozi wa kidini na maafisa wa Kituo cha Kiislamu wanatahadharisha…
-
DuniaKufuatia shambulio la chuki dhidi ya Uislamu nchini Kanada, raia wasio wa wasio Waislamu watangaza kushikamana na majirani zao Waislamu
Hawzah/ Raia wasio Waislamu wa mji wa Stittsville, Kanada, walihudhuria mkutano wa Jumuiya ya Waislamu wa Kanada ili kutangaza mshikamano wao pamoja na Waislamu kufuatia tukio la shambulio lililotokan…
-
DuniaShirika la Mawasiliano ya Kiislamu Marekani lakishutumu Chuo Kikuu cha Wayne kwa tabia ya kibaguzi dhidi ya Waislamu
Hawza/ Shirika la Mawasiliano ya Kiislamu Marekani siku ya Jumatatu katika mkutano wake na waandishi wa habari lilitangaza kuwa Chuo Kikuu cha Jimbo la Wayne kinakandamiza na kunyamazisha sauti…
-
DuniaMoqtada Sadr: Kuchomwa Qur’ani Tukufu na mgombea ubunge wa Marekani ni uhalifu wa kimataifa usiosameheka
Hawza/ Sayyid Moqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, amesisitiza kwamba kitendo cha kuchomwa Qur’ani Tukufu kilichofanywa na mgombea ubunge wa Marekani ni uhalifu…
-
DuniaKing'ora cha Hatari ya Kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Nchini Kanada
Hawza/ Kwa mujibu wa utafiti wa moja kwa moja uliofanywa na Chuo Kikuu cha York, jinai na vitendo vinavyotokana na chuki dhidi ya Uislamu nchini Kanada katika kipindi cha miaka miwili iliyopita…
-
DuniaWaislamu wa Uholanzi wamemshtaki mwanasiasa mwenye chuki kali dhidi ya Uislamu, kutokana na kueneza kufanya kampeni za chuki dhidi ya Uislamu
Hawza/ Mashirika kumi na nne ya Kiislamu yamefungua mashtaka dhidi ya Geert Wilders, mwanasiasa wa mrengo wa kulia uliokithiri nchini Uholanzi, na yamethibitisha kuwa yeye ni mtu mwenye ukatili…