Jumapili 1 Machi 2026 - 19:23
Ni faradhi kwa Waislamu wote kulipa kisasi kutokana na damu ya shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran

Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamadani, katika ujumbe wake wa kuomboleza shahada ya Imam Khamenei, amekokoteza kuwa: Ni wajibu kwa Waislamu wote kulipa kisasi kwa wale wote waliofanya jinai ya kumwaga damu ya Shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, Mtukufu Ayatullah Nouri Hamadani katika kuijibu kamati ya Jumuiya ya wawakilishi wa wanafunzi wa hawza ya Qum, kutokana na wadhifa wa Waislamu juu ya jinai zinazofanywa na Wazayuni kuwaelekea Mar'aji' na Kiongozi wa umma wa Kiislamu amesisitiza kuwa:

Kwa jina la Mola Mtukufu.

Ni wajibu kwa Waislamu wote kulipiza kisasi kutokana na damu ya shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran


والسلام عليكم


10 Isfand 1404/ 1 March 2026
Hussein Nouri Hamadani

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha