Shahid Kiongozi wa Mapinduzi (43)
-
Seneta wa Pakistan:
DuniaLengo la Kongamano Kubwa la “Shahidi wa Umma” ni Kulingania Watu Kuelekea Upeo Mpya wa Uelewa, Uwajibikaji na Umoja
Hawza/ Mkusanyiko mkubwa na wa kifahari wa “Shahidi wa Umma” ulifanyika katika uwanja wa kihistoria wa Minar-e-Pakistan mjini Lahore kwa lengo la kuenzi hadhi ya juu ya kiongozi shahidi wa Umma…
-
DuniaDondoo za Shughuli za Kuaga na Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi Zaainishwa
Hawza/ Kamati ya Maadhimisho ya Kupaa Damu ya Imam Mujahid Shahidi, Ayatullah al-Udhma Khamenei, katika taarifa yake ya tatu, imetangaza maelezo ya sherehe za kuaga na mazishi ya Imam Shahidi…
-
DuniaKikao cha kitamaduni nchini Tunisia chafanyika kwa kuzingatia fikra za Imam Khomeini na Imam Khamenei
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa kumbukumbu za uaminifu na kushikamana na misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu, Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tunisia kiliandaa kikao cha fikra chenye anuani…
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:
Dunia“Kumwaga damu ya Trump na Wazayuni ni matakwa ya Imam Mahdi (a.f)”
Imechapishwa tena/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja na mshikamano, alisema: “Kumwaga damu ya Wazayuni na Trump na mfano wa hao kwa sasa ni kauli ya Imam Mahdi…
-
Darsa la Akhlaq | Kiongozi shahidi wa Mapinduzi:
DiniKukumbuka kuwa dunia inaisha humwacha mwanadamu huru kutokana na kushikamana nayo kupita kiasi
Hawza/ Kiongozi shahidi wa Mapinduzi akirejelea hadithi: «لِدْ لِلْمَوْتِ وَاجْمَعْ لِلْفَنَاءِ وَابْنِ لِلْخَرَابِ», alisisitiza kwamba; kila kitu ambacho mwanadamu hukikusanya duniani hatimaye…
-
Tusome Qur’ani:
DiniJe, Inawezekana Kuingia Katika Ngome ya Wilaya ya Ali (as) Bila Kuielewa Qur’ani?
Hawza/ Wilaya ya Ali bin Abi Talib ina maana ya kuwa mfuasi wa Ali katika fikra na matendo yako, na kuwa na uhusiano naye madhubuti, wenye nguvu na usiovunjika, kama Hadithi isemavyo: “Wilaya…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaMapambano ya Kiongozi Shahidi yamefungua upeo mpya wa mwamko na matumaini kwa Umma wa Kiislamu na wanadamu
Hawza/ Hujjatul Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba yake alisema: Fikra na juhudi za kimapambano za Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya…
-
Ayatullah A‘rafi katika ujumbe wake:
HawzaUjumbe wa kihistoria na wa kistaarabu wa “Hawza Inayoongoza na Bora” ni kiini cha fikra za Kiongozi Shahidi/ Mambo matano muhimu ya Mkuu wa Hawza
Hawza/ Msiba wenye kuunguza moyo na shahada ya dhulma ya Imam na Kiongozi Shahidi Ayatullah al-Udhma Khamenei (q.s), ulizalisha mwamko wa kushangaza na mapinduzi makubwa yaliyoenea nchini Iran,…
-
DuniaWanafunzi kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini Tanzania wamepokea nakala ya wasifu wa Shahidi Ayatollah Sayyid Ali Khamenei (ra)
Hawza/ katika hatua inayolenga kukuza uelewa wa kihistoria na kielimu kuhusu maisha ya viongozi wa Kiislamu waliotoa mchango mkubwa katika harakati za kisiasa na kijamii, wanafunzi kutoka vyuo…
-
Mshauri wa utamaduni wa Iran nchini Bangladesh:
DuniaImam Khamenei alikuwa miongoni mwa wafuasi wa kweli wa Ali ibn Abi Talib (a.s)
Hawza/ hafla ya kumbukizi ya Imam Khamenei iliandaliwa na taasisi za Iran zinazofanya kazi nchini Bangladesh kwa ushirikiano na Baraza la Wanazuoni wa Imamiya wa nchi hiyo pamoja na bodi ya wadhamini…
-
DuniaWachina Wakipokea Kitabu cha Kumbukizi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi
Hawza/ Kuchapishwa kwa tafsiri ya Kichina ya kitabu “Damu ya Moyo Iliyogeuka Lulu” katika majukwaa ya uchapishaji nchini China kumepokelewa kwa shauku kubwa na wasomaji.
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu daima yamesimama dhidi ya ubeberu wa Marekani na Israel
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba yake alisema: ikiwa duniani kuna yeyote aliyesimama dhidi ya ubeberu wa Marekani na Israel na kuupinga kwa mapambano,…
-
DuniaTanzania yaandaa Semina maalumu kwa ajili ya kukumbuka fikra zenye ushawishi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tanzania, kimeandaa Semina maalumu ya mtandaoni ambayo inalengo la kukumbuka fikra pevu na zenye ushawishi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Iran.
-
DuniaMkusanyiko usio na kifani wa wanazuoni wa Pakistan katika kumuadhimisha kiongozi shahidi
Hawza/ Hafla kubwa ya kuadhimisha shahada ya Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, imefanyika kwa ushiriki wa wanazuoni wakubwa wa Kishia na makundi mbalimbali…
-
DuniaKundi la muziki la Maktaba ya Istanbul limetoa kazi ya kisanaa kwa ajili ya kiongozi shahidi
Hawza/ Kundi la muziki “Maktaba ya Istanbul” limetoa kazi ya kisanaa yenye anuani “Shahid Rahbarimiz” (Kiongozi wetu Shahidi), na kwa njia hiyo limekumbuka na kulienzi jina la kiongozi shahidi…
-
DuniaShukrani za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, kutokana na mshikamano wa huzni alio uonesha Abu Alaa al-Wala’i
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, kupitia ujumbe rasmi aliomtumia Abu Alaa al-Wala’i, Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Kata’ib Sayyid…
-
DuniaWatu wa Urusi waliandika nini katika daftari la kumbukumbu la mshikamano na Iran?
Hawza/ Sambamba na kufanyika kwa maonyesho ya ishirini na sita ya fasihi ya fikra na isiyo ya kubuni (Non-fiction) ya Urusi mjini Moscow, banda la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran liligeuka kuwa uwanja…
-
DuniaHafla ya kumbukumbu ya mashahidi wa Iran yafanyika Halkalı Istanbul kwa ushiriki mpana wa shakhsia mbalimbali na maelfu ya wapenzi wa mhimili wa muqawama
Hawza/ Hafla ya kumbukumbu ya mashahidi wa Iran ilifanyika katika eneo la Halkalı, Istanbul, kwa ushiriki mpana wa wanazuoni, viongozi, wawakilishi wa taasisi za kidini na maelfu ya wapenzi wa…
-
DuniaHafla ya kumbukumbu ya Arubaini ya kiongozi shahidi yafanyika katika mji mkuu wa Indonesia
Hawza/ Hafla ya kumbukumbu ya siku ya arubaini tangia shahada ya “Ayatullah Sayyid Ali Khamenei”, kiongozi mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ilifanyika katika Husseinia ya “Imamu Khomeini (rh)”…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran:
DuniaUwepo wa wananchi katika uwanja uendelee
Hawza/ Ujumbe wa Mheshimiwa Ayatollah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, kutokana na mnasaba wa siku arobaini tangia kuuawa kishahidi Kiongozi Mkuu…
-
Mwanazuoni wa Ahlusunnah Pakistan:
DuniaKatika hivi vita kusimama upande wa Iran ni kusimama upande wa imani
Hawza/ Mufti Mukaram Qadri, katika hotuba zake alisema: Leo tunaposema kwamba katika vita hii tumesimama pamoja na Iran, makusudio si kuiunga mkono nchi moja tu, bali tumesimama upande wa imani…
-
DuniaKongamano la Kimataifa la Kupinga Ubeberu pamoja na maadhimisho ya Arubaini ya kiongozi shahidi lafanyika Qom Iran
Hawza: Kongamano la kimataifa la kupinga ubeberu katika fikra za kiongozi shahidi pamoja na maadhimisho ya Arubaini yake, litafanyika tarehe 17 Farvardin 1404 (6 April 2026) katika mji wa Qom…
-
DuniaWatu elfu 7 Watia saini “Ahadi ya Wanazuoni wa Hawza kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran” hadi sasa
Hawza/ Hadi sasa zaidi ya wanazuoni elfu 7 wa masomo ya hawza wamesaini “Ahadi ya Wanazuoni wa hawza kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu,” na mchakato huu unaendelea na unaongezeka kila…
-
DuniaWanazuoni wa Kisuni nchini Iraq, waonesha mshikamano na kutoa kiapo cha utii kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran: Katika vita hii Hamko peke yenu
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Iraq ametuma rambirambi zake kufuatia kuuawa kwa baadhi ya makamanda wa muqawama, na ametangaza mshikamano kamili wa wanazuoni wa Kisuni wa Iraq na…
-
Rais wa Shirika la Waqfu na Mambo ya Ihsani Nchini Iran:
DuniaKunyamaza Al-Azhar Dhidi ya Shahada ya Kiongozi wa Ulimwengu wa Kiislamu Kunatofautiana na Njia ya "Haki" na "Umoja wa Umma"
Hawza/ Al-Azhar, ambayo ilikuwa kiongozi wa umoja wa madhehebu hapo awali, kwa msimamo wake huu wa upande mmoja, imejeruhi mioyo ya wafuasi wa Ahlul Bayt (a.s.) na waungaji mkono wa uhuru ulimwenguni…
-
Mwanaharakati wa Kidini kutoka Lebanon:
DuniaShahada ya Kiongozi wa Mapinduzi ni Matokeo ya Muqawama Wake Dhidi ya Siasa ya Kidikteta ya Marekani
Hawza/ Mwanaharakati wa kidini kutoka Lebanon alisema: "Sote hapa Lebanon tunaendelea na njia ya muqawama chini ya uongozi wa Ayatollah Mujtaba Khamenei ili kumaliza uvimbe huu wa kansa, kama…
-
Wanazuoni wa ahlu Sunna wa Iran:
DuniaKuilinda Heshima ya Umma wa Kiislamu na Damu Safi ya Viongozi wa Kidini ni Wajibu wa Kimungu
Hawza/ Wanazuoni wa ahlu Sunna wa Iran, katika barua waliyoituma kwa wanazuoni na taasisi kubwa za Kiislamu duniani, wamesema kuwa; kuilinda heshima ya umma wa Kiislamu na damu safi ya viongozi…
-
Mjumbe Mwanzilishi wa Baraza la Juu la Kiislamu la Iraq:
DuniaKuienzi Siku ya Quds ni jukumu dogo la kuonesha muendelezo wa heshima kwa kiongozi shahidi
Hawza/ Mjumbe mwanzilishi wa Baraza la Juu la Kiislamu la Iraq alikiri kwa heshima juhudi za kiongozi shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika harakati za kuikomboa Quds na kusisitiza ahadi mpya…
-
DuniaWaislamu Tanzania Wamuombea Dua Shahidi wa Mapinduzi ya Iran, Ayatollah Sayyed Khamenei (ra) + Picha
Hawza/ Waislamu kutoka maeneo mbalimbali nchini Tanzania wameungana katika mikusanyiko ya dua maalumu iliyofanyika katika maeneo tofauti, huku wakionesha mshikamano, heshima na huzuni yao kufuatia…
-
DuniaBalozi wa Urusi Nchini Kenya Awasilisha Salamu za Rambirambi katika Ubalozi wa Iran Nairobi
Hawza/ Balozi wa Urusi nchini Kenya, Vsevolod Tkachenko, ametembelea Ubalozi wa Iran uliopo jijini Nairobi kwa ajili ya kutoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa…