Shirika la Habari la Hawza - Tamasha kubwa la kimataifa limepangwa kufanyika nchini Tanzania. Tamasha hilo ambalo litakuwa chini ya usimamizi wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Jumuiya ya Amani na Maridhiano (JAMT), Kituo cha utamaduni cha Irani pamoja na Chuo cha Almustafa international.
Tamasha hilo ukiachilia mbali kushirikisha wasomi mahiri kutoka nchini humo, pia watakuwepo magwiji wa kusoma Qur'ani kutokea nchi nyengine kama vile Irani. Tamasha hilo la aina yake limepangwa kufanyika siku ya Alhamisi, taehe 22 mei 2025 nchini Tanzania.
Nyote mnakaribishwa.
Maoni yako