umoja wa waislamu (27)
-
HawzaWanazuoni wa Kishia na Kisunni wa Kashmir Washirikiana Kulinda Umoja wa Kiislamu
Hawza/ Katika kipindi kinachokaribia kuingia mwezi wa Muharram al-Haram, Kamati ya Uratibu ya Kishia na Kisunni ya Majlis Muttahid Ulama Kashmir ilifanya mkutano mjini Srinagar kwa ushiriki wa…
-
Seneta wa Pakistan:
DuniaLengo la Kongamano Kubwa la “Shahidi wa Umma” ni Kulingania Watu Kuelekea Upeo Mpya wa Uelewa, Uwajibikaji na Umoja
Hawza/ Mkusanyiko mkubwa na wa kifahari wa “Shahidi wa Umma” ulifanyika katika uwanja wa kihistoria wa Minar-e-Pakistan mjini Lahore kwa lengo la kuenzi hadhi ya juu ya kiongozi shahidi wa Umma…
-
Mwanazuoni wa Bahrain katika kikao maalumu cha “Hija; Mahali pa Miadi ya Umoja”:
DuniaFaradhi ya Tawhidi na kisiasa ya Hija haina maana bila ya kujitenga na washirikina
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza za Wabahrain walioko Iran ameelezea “kuwambali na washirikina” kuwa ni msingi wa Qur’ani na akasisitiza: Hija ni faradhi ya Tawhidi na ya kisiasa, na kama alivyosema…
-
Mwanaharakati wa kitamaduni kutoka Syria katika kikao maalumu cha “Hija; Mahali pa Miadi ya Umoja” alielezea:
DuniaHija na umoja wa umma wa Kiislamu katika kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu na kampeni za uchochezi wa chuki
Hawza/ Mwanaharakati wa kitamaduni kutoka Syria anaamini kwamba katika zama ambazo chuki dhidi ya Uislamu inaendelea kuenea katika baadhi ya jamii za Magharibi, Hija imejitokeza kama ujumbe wa…
-
Mwanaharakati wa Kitamaduni kutoka Iraq katika kikao maalumu cha “Hija; Mahali pa Miadi ya Umoja”:
DuniaMafungamano ya Waislamu ni miongoni mwa malengo ya faradhi ya Hija
Hawza/ Mwalimu na mwanaharakati wa kitamaduni kutoka Iraq anaamini kwamba, Mwenyezi Mungu kupitia faradhi hii ya Kiungu anataka kuwakaribisha Waislamu wao kwa wao na kuwafanya kuwa mwili mmoja…
-
Khatibu wa Ijumaa wa Ahlus-Sunnah Bushehr Iran:
DuniaUmoja wa Kiislamu, muqawama na diplomasia ya nishati ni nguzo tatu za kubadilisha mizani ya dunia
Hawza/ Sheikh Ismail Bazdar, khatibu wa Ijumaa wa Ahlus-Sunnah wa Bushehr Iran, katika kipindi cha “Upeo wa Ushindi” cha Majma’ ya Kimataifa ya Qadimun alisisitiza kwamba; umoja wa Kiislamu,…
-
DuniaSheikh Ibrahim Zakzaky: Uislamu uko juu ya ukabila na rangi
Hawza/ Kongamano la pili la “Umoja wa Washairi” limehitimishwa kwa hotuba ya Sheikh Ibrahim Zakzaky katika mji wa Abuja.
-
Ayatullah al-‘Udhma Subhani:
HawzaUshirikiano wa moyo na udugu ni rasilimali muhimu zaidi kwa umoja wa umma wa Kiislamu
Hawza/ Mmoja wa Mara'ji' wakuu wa Taqlid katika ujumbe wake ulio na anuani isemayo “Umoja wa Umma wa Kiislamu” ameeleza kwamba; mshikamano wa moyo na udugu ndio rasilimali muhimu zaidi kwa umoja…
-
Rais wa Baraza la Kiislamu la Ivory Coast:
DuniaKauli moja na mshikamano wa Umma ndio njia pekee ya kuiepusha jamii ya Kiislamu na matatizo
Hawza/ Rais wa Baraza la Kiislamu la nchi ya Ivory Coast alikutana na kundi la wakuu wa vyama na taasisi za kidini katika ofisi yake iliyopo mjini Abuja, mji mkuu wa nchi hiyo, na kufanya nao…
-
Rais wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
DuniaUvamizi wa kijeshi uliofanywa na Marekani dhidi ya Venezuela na kuitishia Iran ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa
Hawza/ Seneta Raja Nasir Abbas Ja‘fari, Rais wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan, katika taarifa yake amelaani vikali hatua za kijeshi za Donald Trump dhidi ya Venezuela pamoja na vitisho…
-
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Saeed Wa’idhy:
DuniaUmoja wa Maulamaa na Wanafikra katika Ulimwengu wa Kiislamu ni Sharti Lisilopingika kwa Ajili ya Kuhuisha Utamaduni wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Saeed Wa’idhy, mmoja wa wajumbe wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom, katika mkutano wa maulamaa na wanafikra kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu uliofanyika…
-
DuniaMtafiti wa Kihindi: Umoja na mshikikano kwa Waislamu utawageuza kuwa nguvu isiyoshindwa
Hawza/ Sayyid Rashadat Ali al-Qadri katika mazungumzo yake alisisitiza kwamba umoja wa Umma wa Kiislamu una umuhimu wa juu na ni fursa yenye thamani kwa ajili ya kuimarisha mshikamano na udugu…
-
DuniaUmoja wa Kiislamu: Kinga ya Utambulisho na Heshima ya Uislamu Dhidi ya Wimbi la Mgawanyiko na Utegemezi wa Nje
Hawza / Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kiislamu cha Ataba Husainiya, Iraq, akisisitiza umuhimu wa umoja katika zama hizi, alisema kuwa ni njia pekee ya kuhifadhi utambulisho wa umma wa Kiislamu…
-
DuniaUmoja wa Kiislamu ni Wajibu wa Kisheria na Silaha ya Muqawama, ni Rasilimali ya Uislamu Wote
Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Ummah ya Lebanon, akisisitiza kuwa umoja wa Kiislamu si chaguo la hiari bali ni jukumu la kisheria, alisema: “Silaha ya muqawama huko Palestina, Lebanon na Yemen…
-
DuniaMatembezi ya kuadhimisha kuzaliwa Mtume (s.a.w.w) huko Jammu na Kashmir: yamebeba taswira ya mshikamano na umoja wa Waislamu
Hawza / Matembezi ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume wa rehema (s.a.w.w) yamefanyika Jammu na Kashmir huku kukiwa na ushiriki mkubwa wa wafuasi wa madhehebu mbalimbali, ambapo yalibeba ujumbe…
-
DuniaSherehe za Wiki ya Umoja nchini Nigeria
Hawza / Sherehe na hotuba zenye maudhui ya kuadhimisha Wiki ya Umoja na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (swww) pamoja na Imam Ja‘far al-Sadiq (as) zinafanyika kote nchini Nigeria…
-
DuniaMtafiti kutoka nchini Tanzania: Umma wa Kiislamu ni umma wa rehema na umoja
Hawza/ Mtafiti kutoka nchi ya Tanzania, akisisitiza juu ya rehema ya umma wa Kiislamu, alisisitiza pia juu ya ulazima wa kuwasaidia wananchi wa Palestina.
-
Ayatullah Mudarris:
DuniaJukumu letu ni kujiandaa kukabiliana na maadui wa umma
Hawza/ Ayatullah Sayyid Muhammad Taqi Mudarrisī, mmoja wa wanazuoni wa Iraq, amesisitiza umuhimu wa kujiandaa kikamilifu kwa ajili ya kukabiliana na maadui wa umma, na kutoa tahadhari kuhusu…
-
Ujumbe wa Ayatollah al-Udhma Makarem Shirazi kuelekea Kongamano la 39 la Umoja wa Kiislamu:
DuniaWanazuoni wa Kiislamu wanapaswa kwa umakini wasiruhusu tofauti na migawanyiko baina ya Waislamu
Hawza/ Ayatollah al-Udhma Makarem Shirazi, katika ujumbe alioupeleka kwa wageni walio hudhuria Kongamano la Umoja wa Kiislamu, alisema: “Enyi wasomi, msitosheke kwa kuzungumzia umoja tu, bali…
-
DuniaMsomi Mashuhuri nchi India: Umoja ndio njia pekee ya kuondokana na changamoto katika ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Muhammad Hassan Jafari, katika ujumbe wake kwa Umma wa Kiislamu amesisitiza kwamba njia pekee ya kutoka kwenye changamoto na njama za kimataifa ni umoja,…
-
DuniaRais wa Baraza la Maimamu wa Kishia Pakistan: Mafundisho ya Mtume Mtukufu (s.a.w.w) ndiyo funguo ya umoja na suluhisho la Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba zake, amesisitiza kwamba njia pekee ya kueoukana na machafuko na kuifikia jamii yenye umoja na yenye mafanikio ni kushikamana…
-
Ayatullah Saidi katika Swala ya Ijumaa Qom, nchi Iran:
DuniaUshirikiano wa wananchi umeangamiza njama za Marekani na utawala wa Kizayuni / “Umoja” ndii suluhisho katika kuueneza Uislamu duniani
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: “Utawala wa Kizayuni ulidhani kwamba, kwa kudhoofisha imani ya wananchi na kuchichea kukata tamaa ungeweza kutikisa misingi ya serikali, lakini mshikamano…
-
DuniaSentensi ambayo Ahlus-Sunna nchini India wameiandika kuhusiana na Ayatullah al-Udhma Khamenei
Hawza/ Ahlus-Sunna wa mji wa Lucknow nchini India katika siku ya 12 Rabiul-Awwal, kwa kuweka picha za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, walionesha ujumbe unaolenga umoja wa Waislamu ulimwenguni.
-
DiniMtazamo wa Mar'aji‘ taql'id Kuhusiana na Sherehe ya mwezi Tisa Rabi‘u al-Awwal na Kutoheshimu wanavyo vitukuza Ahlus-Sunna
Hawzah/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Maraji‘ wakubwa wa taql'id, kupitia tamko na fatwa zao, wanazingatia kwamba; kutusi matakatifu ya madhehebu ya Kiislamu, ni kitendo haramu, chenye…
-
DuniaKatibu Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu: Umoja wa Waislamu na suala la Palestina ni miongoni mwa misingi madhubuti katika itikadi za madhehebu ya Kiislamu
Hawzah/ Hafidh Naeemur-Rahman, Amir wa Jamaat-e-Islami Pakistan, akiwa ameongozana na ujumbe wa ngazi ya juu kutoka chama hicho, alihudhuria katika Jumuiya ya Kiislamu ya Kimataifa ya Kukurubisha…
-
Rais wa Chuo Kikuu cha Lahore – Pakistan:
DuniaMtazamo wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ndio mfumo bora zaidi wa kusongesha mbele umoja katika ulimwengu wa Kiislamu
Hawzah/ Zaidi alisema: Ayatullahul-Udhma Khamenei, mara kwa mara wamesisitiza kwamba kutukana vitakatifu vya madhehebu ya Kiislamu ni haramu, na mtazamo huu ndio mfumo bora zaidi wa kusongesha…
-
DuniaWanazuoni wa Kashmir: Umoja wa Mashia na Masunni ndio dhamana pekee ya kusalia Umma wa Kiislamu
Hawza/ Maimamu wa Ijumaa wa Kashmir, katika tamko lao, wametilia mkazo ulazima wa umoja baina ya Mashia na Ahl al-Sunna, na wamewataka watu wa Kashmir kwa kutunza mshikamano na umoja, waandae…