sheikh Hemedi Jalala (11)
-
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC):
DuniaAmani na Maadili Mema ndio Utambulisho halisi wa Mtanzania
Hawza/ Katika kongamano maalumu la amani lililofanyika nchini Tanzania, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) alitoa hotuba yenye kugusa moyo kuhusu umuhimu wa kulinda misingi…
-
DuniaPicha/ Tuzo ya Amani na Heshima kutoka Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) yawaangukia Mashia
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania TIC Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge Ameshiriki katika Hafla ya Maulid ya Mtume Muhammad s.a.w.w iliyofanyika Jana Masjid Majmuatul Islamiya Kwa…
-
DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) Ahudhuria Warasha Maalumu Mbezi Beach Daresalam
Hawza/ Sheikh Jalala Hemedi leo hii tareh 16 Oktoba, amehudhuria kwenye warsha maalumu ambayo ilikuwa ikielezea asili ya maendeleo na tamaduni za kimagharibi, iliyofanyika katika ukumbi wa Jaamiatul…
-
DuniaSheik Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) ahudhuria hafla ya utangulizi wa maulidi mkoani Arusha
Hawza/ Jumamosi ya jana ambayo ni sawa na taeh 11 Oktoba, Sheik Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) alihudhuria hafla ya utangulizi wa maulidi iliyofanyika Mkoani Arusha.
-
DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Atembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kigoma Tanzania
Hawza/ Tareh, 02 Oktoba 2025 — Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Samaahat Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge, akiendelea na ziara yake ya mkoani Kigoma, leo ametembelea Ofisi ya Mkuu…
-
DuniaOfisi ya Jumuiya ya Shia Ithnaasharia (TIC), Mkoa wa Mwanza yafunguliwa Rasmi
Hawza/ Hatimae jana tareh 28 Mwezi wa tisa Mkoa wa Mwanza ulifanya uzinduzi rasmi wa Ofisi ya Jumuiya ya Shia Inthaasharia (TIC), baada ya kufunguliwa na Sheikh Mkuu wa Jumuiya hiyo.
-
DuniaHauli ya Marehemu Sheikh Abdallah Seifu yafanyika Mnang'ole Lindi
Hawza/ Hauli ya aliekuwa Sheikh wa kwanza wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC), Hayati Sheikh Abdallah Seifu Linganaweka Imefanyika jana Jumamosi kijijini kwake Mnong'ole Lindi.
-
DuniaPicha/ Hafla ya Maulidi Kitaifa yafanyika Mkoani Tanga, Mashia waonesha umoja na mshikamano usio na kifani
Hawza/ Sherehe ya Maulidi ya Kitaifa nchini Tanzania imefanyika usikubwa kuamkia leo Mkoani Tanga katika Wilaya ya Korogwe, huku viongozi Mashuhiri wakihudhuria katika hafla hiyo, na wafuasi…
-
DuniaSheikh Mkuu wa TIC: Tumuenzi sheikh Hassan Mwalupa na Sheikh Abdillah Nasir kwa kusomesha na kuhuisha kazi zao walizozifanya
Hawza/ Sheikh Hemed Jalala amesisitiza kuwa; Tukitaka kumuenzi sheikh Hassan Mwalupa na Sheikh Abdillah Nasir ni wajibu wetu kusomesha na kuhuisha kazi zao walizozifanya masheikh hawa
-
sheikh mkuu wa Jumuiya ya Shia nchini Tanzanzania (TIC):
DuniaFalsafa ya Arafa kwa mtazamo wa Imam Khomeini (ra)
Hawza/ sheikh mkuu wa Jumuiya ya Shia nchini Tanzanzania (TIC), katika hotuba yake ya swala ya ijumaa alielezea falsafa ya kisimamo cha Arafa kutokana na mtazamo wa Imam Khomeini (ra).
-
DuniaHawza ya Imaam Swadiq (as) yapokea ugeni kutoka katika maktaba ya Sayyed Hakim (ra) Najaf Ashraf nchini Iraqi
Hawza/ Madrasa na hawza ya Imaam Swadiq (as) leo hii imepokea ugeni mzito kutoka katika Maktaba ya Sayyid Hakim (ra), na ugeni huo umekaribishwa vizuri katika hawza hiyo.