Shirika la Habari la Hawza, limechapisha riwaya ifuatayo kutoka katika kitabu «Usul al-Kafi».
Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) anasema:
«مَنْ تَرَکَ مَعْصِیَةً لِلَّهِ مَخَافَةَ اللَّهِ تَبَارَکَ وَتَعَالَی أَرْضَاهُ اللَّهُ یَوْمَ الْقِیَامَةِ.»
“Mwenye kuacha dhambi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, kwa kumwogopa Yeye, Mwenyezi Mungu Mtukufu atamridhisha yeye Siku ya Kiyama.”
Usul al-Kafi, Juzuu ya 3, uk. 128.
Maoni yako