Alhamisi 9 Julai 2026 - 15:46
Video | Mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi Ukiingia Barabarani na Wapokelewa kwa Heshima Kubwa na Umati waWaombolezaji

Hawza/ Mji mtukufu wa Mashhad umeshuhudia mandhari ya kipekee ya huzuni na uaminifu, baada ya umati mkubwa wa waombolezaji kujitokeza kuupokea mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ulipowasili kwa ajili ya kuendelea na shughuli za mazishi.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, Maelfu ya waumini na wapenzi wa kiongozi huyo walijazana katika maeneo mbalimbali ya jiji la Mashhad, wakionesha hisia zao za majonzi na kutoa heshima za mwisho kwa kiongozi ambaye alijitolea maisha yake katika kuutumikia Uislamu, Umma na Mapinduzi ya Kiislamu.

Video | Mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi Ukiingia Barabarani na Wapokelewa kwa Heshima Kubwa na Umati waWaombolezaji

Video hii inaonesha wakati wa mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ulipoanza kuwasili katikati ya umati mkubwa wa waombolezaji, katika tukio lililogubikwa na huzuni, dua na mshikamano mkubwa wa wananchi wa Iran.

Video hii inaonesha wakati wa mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ulipoanza kuwasili katikati ya umati mkubwa wa waombolezaji, katika tukio lililogubikwa na huzuni, dua na mshikamano mkubwa wa wananchi wa Iran.

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha