Ijumaa 15 Mei 2026 - 00:10
Majibu ya Ubalozi wa Iran nchini Afrika Kusini kuhusu majivuno mapya ya Trump

Hawza/ Ubalozi wa Iran nchini Afrika Kusini ulijibu majivuno mapya ya Donald Trump, Rais wa Marekani, kupitia ujumbe wa mtandao wa X.

Shirika la Habari la Hawza - Donald Trump, rais mwenye kujipenda kupita kiasi wa Marekani, katika ujumbe wake wa X aliweka picha yake juu ya noti ya dola 100! Nyuma ya noti hiyo ya kubuniwa, badala ya kuandikwa “Mungu aibariki Marekani”, kuliandikwa “Mungu ambariki Trump”. Kutokana na jambo hilo, Ubalozi wa Iran nchini Afrika Kusini ulitoa ujumbe huu kama majibu.

Majibu ya Ubalozi wa Iran nchini Afrika Kusini kuhusu majivuno mapya ya Trump

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha