Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Hawza katika masiku ya Arubaini ya Husein (a.s.) na matembezi ya watu wanaompenda Abā ‘Abdillāh al-Husein (a.s.) kuelekea Karbalā al-Mu‘allā, Shirika la Habari la Hawza limezindua kampeni ya “Wakati wa Arubaini”, kutokana na kuzingatia maombi ya wasomaji na watazamaji, kampeni hii itaendelea hadi mwisho wa mwezi wa Safar.
Mazuwari wa Huseini wanaoshiriki katika kampeni hii wanaweza kutuma picha na video zao za matembezi ya Arubaini hadi Jumapili tarehe 2 Shahrivar (sawa na 30 Safar) kupitia anuani hii: eitaa.com/hozeh_content, ili kushirikishwa na Shirika la Habari la Hawza kwa ajili ya kuchapishwa.
Kwa kazi zilizochaguliwa, zawadi zitatolewa kwa njia ya bahati nasibu.
Maoni yako