Jumapili 13 Aprili 2025 - 10:00
Amiliana na watu tofauti namna hii

Suhubiana na mtawala (mfalme) kwa hofu na tahadhari, na rafiki kwa unyenyekevu na bashasha, na adui kwa namna ambayo hoja yako kwake imetimia.

Shirika la Habari la HawzaImamu Ali (a.s) amesema:

«اِصْحَبِ اَلسُّلْطَانَ بِالْحَذَرِ وَ اَلصَّدِيقَ بِالتَّوَاضُعِ وَ اَلْبِشْرِ وَ اَلْعَدُوَّ بِمَا تَقُومُ بِهِ عَلَيْهِ حُجَّتُكَ.»

"Suhubiana na mtawala (mfalme) kwa hofu na tahadhari, na rafiki kwa unyenyekevu na bashasha, na adui kwa namna ambayo hoja yako kwake imetimia."

Ghurar al-Hikam, Jz 1, uk 148

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha