Ayatollah al-Udhma Subhani (13)
-
HawzaAyatullah al-Udhma Subhani amthamini muuguzi aliyeyaokoa maisha ya watoto wachanga nchini Iran
Hawza/ Hadhrat Ayatullah Subhani, huku akitoa shukrani kwa juhudi za jamii ya sekta ya afya, alisema: Niliona picha za kujitolea mhanga kwa muuguzi aliyekuwa akiwaokoa watoto wachanga; aliumba…
-
Ayatullah al-‘Udhma Subhani:
HawzaUshirikiano wa moyo na udugu ni rasilimali muhimu zaidi kwa umoja wa umma wa Kiislamu
Hawza/ Mmoja wa Mara'ji' wakuu wa Taqlid katika ujumbe wake ulio na anuani isemayo “Umoja wa Umma wa Kiislamu” ameeleza kwamba; mshikamano wa moyo na udugu ndio rasilimali muhimu zaidi kwa umoja…
-
DuniaAyatullah A‘rafi afanya ziara kwa Ayatullah al-‘Udhma Subhani
Hawza/ Mkuu wa hawza za kielimu za nchi Iran, alikutana na kufanya mazungumzo na Ayatullah al-‘Udhma Subhani.
-
DiniUfafanuzi wa ziada kutoka katika Ofisi ya Ayatollah al-Udhma Ja'far Subhani kuhusu hukumu ya kuendesha Pikipiki kwa wanawake
Hawza/ Kufuatia kuchapishwa kwa istiftaa (swali la kifiqhi) kutoka kwa Mtukufu Ayatollah al-Udhma Ja‘far Subhani kuhusu uendeshaji wa baiskeli na pikipiki kwa wanawake, ofisi ya Marjaa huyo imetoa…
-
Ayatollah Subhani katika darsa ya maadili:
HawzaKuwatendea wema wazazi hakuishii katika kipindi cha uhai wao pekee
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Subhani amesisitiza kuwa: Mwenyezi Mungu Mtukufu katika aya za Qur’ani Tukufu, anapowszungumzia wazazi, anawaelekeza watoto kwamba hawana haki hata ya kuwatamkia neno…
-
Ayatullah Al-‘Udhma Subhani:
HawzaKuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili
Hawza/ Ayatullah Al-‘Udhma Ja‘far Subhani, katika ujumbe wake kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Muhammad Ali Mahdavi-Rad, ameeleza kuwa; kuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili.
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani katika ufunguzi wa Taasisi ya Utafiti wa Ilmu ya Kalamu ya Imam Ja‘far Sadiq (a.s):
DuniaLazima tuwe na uhuru wa kifikra na kielimu / Fikra za Magharibi Hazipaswi Kuathiri Jamii
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani alionya kwamba: Ni lazima tuingie katika uwanja wa elimu kupitia njia sahihi, wala hatupaswi kuvutiwa na kuathiriwa na Magharibi. Sisi wenyewe tuna misingi sahihi…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani:
DuniaWakaaji wa Itikafu Waombe Dua Kwa Ajili ya Kuwaokoa Waislamu Kutoka Katika Hali Ngumu
Hawza/ Ayatullah Subhani amesisitiza kuwa: mambo yanayowakumba Waislamu leo hayajawahi kushuhudiwa kwa kiwango kikubwa kama hiki katika historia, na kutokana na dunia kutojali kuhusu maafa haya…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani Katika Darsa la Akhlaq:
DiniElimu Ambayo Haiwahudumii Watu ni Sawa na Ujinga/ Mashindano ya Silaha ni Alama ya Ujinga
Hawza/ Pamoja na kutetea elimu, jihadharini; elimu inayopaswa kuenea ni ile ambayo itaiokoa jamii na kuipeleka kwenye daraja la ubinadamu. Lakini elimu inayosababisha binadamu kuwaua binadamu…
-
Ayatullah al-‘Udhma Subhānī:
HawzaIjitihaidishaji wlya ubunifu na juhudi za kielimu za Mirza Nāīnī ni kielelezo kwa wanafunzi na watafiti wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Subhānī alisema: Marehemu Mirza Nāīnī, kwa kutumia mbinu bunifu za kielimu katika fiqhi, kama vile kugawa kadhia katika vigawanyo vya kihakika (ḥaqīqiyyah) na vya kihalisia (khārijiyy…
-
Ayatullah al-Udhma Subhani:
HawzaVitabu vya masomo ya Hawza viwe vinaendana na mahitaji ya zama hizi
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani amesema: “Kwa muda wa miaka hamsini hadi sitini sasa tumefikia hitimisho kwamba ndani ya Hawza za kielimu, vitabu vya masomo vinapaswa kuwa vinaendana na mahitaji…
-
Ayatullah al-Udhma Subḥānī katika ufunguzi wa mwaka wa masomo wa Hawza:
Hawza“Kumpenda Mtume siyo bid‘a, bali ni miongoni mwa misingi ya Uislamu / Wanafunzi wa dini wanapaswa kufanya hijra (kuhama kwa ajili ya kutafuta elimu)
Hawza/ Ayatullah Subḥānī alibainisha: Ikiwa mtu ataishi kwa kuifuata Qur’ani na Sheri‘a, lakini moyoni mwake akawa na chuki dhidi ya Mtume (s.a.w), basi mtu huyo ni kafiri. Na hata asipokuwa…
-
Ayatollahul - udhma Subhanii:
HawzaKuifedhehesha Jamhuri ya Kiislamu ya Irani pamoja na Kiongozi muadhamu wa Mapinduzi ni alama ya udhaifu wa adui
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Subh'ani, katika kuelezea vitisho vya Tramp dhidi ya Kiongozi wa mapinduzi Sayyid Ali Khamenei amesema: Aina yeyote ya Kuifedhehesha Jamhuri ya Kiislamu ya Irani pamoja…