Ayatollah al-Udhma Subhani (11)
-
Ayatollah Subhani katika darsa ya maadili:
HawzaKuwatendea wema wazazi hakuishii katika kipindi cha uhai wao pekee
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Subhani amesisitiza kuwa: Mwenyezi Mungu Mtukufu katika aya za Qur’ani Tukufu, anapowszungumzia wazazi, anawaelekeza watoto kwamba hawana haki hata ya kuwatamkia neno…
-
Ayatullah Al-‘Udhma Subhani:
HawzaKuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili
Hawza/ Ayatullah Al-‘Udhma Ja‘far Subhani, katika ujumbe wake kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Muhammad Ali Mahdavi-Rad, ameeleza kuwa; kuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili.
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani katika ufunguzi wa Taasisi ya Utafiti wa Ilmu ya Kalamu ya Imam Ja‘far Sadiq (a.s):
DuniaLazima tuwe na uhuru wa kifikra na kielimu / Fikra za Magharibi Hazipaswi Kuathiri Jamii
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani alionya kwamba: Ni lazima tuingie katika uwanja wa elimu kupitia njia sahihi, wala hatupaswi kuvutiwa na kuathiriwa na Magharibi. Sisi wenyewe tuna misingi sahihi…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani:
DuniaWakaaji wa Itikafu Waombe Dua Kwa Ajili ya Kuwaokoa Waislamu Kutoka Katika Hali Ngumu
Hawza/ Ayatullah Subhani amesisitiza kuwa: mambo yanayowakumba Waislamu leo hayajawahi kushuhudiwa kwa kiwango kikubwa kama hiki katika historia, na kutokana na dunia kutojali kuhusu maafa haya…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani Katika Darsa la Akhlaq:
DiniElimu Ambayo Haiwahudumii Watu ni Sawa na Ujinga/ Mashindano ya Silaha ni Alama ya Ujinga
Hawza/ Pamoja na kutetea elimu, jihadharini; elimu inayopaswa kuenea ni ile ambayo itaiokoa jamii na kuipeleka kwenye daraja la ubinadamu. Lakini elimu inayosababisha binadamu kuwaua binadamu…
-
Ayatullah al-‘Udhma Subhānī:
HawzaIjitihaidishaji wlya ubunifu na juhudi za kielimu za Mirza Nāīnī ni kielelezo kwa wanafunzi na watafiti wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Subhānī alisema: Marehemu Mirza Nāīnī, kwa kutumia mbinu bunifu za kielimu katika fiqhi, kama vile kugawa kadhia katika vigawanyo vya kihakika (ḥaqīqiyyah) na vya kihalisia (khārijiyy…
-
Ayatullah al-Udhma Subhani:
HawzaVitabu vya masomo ya Hawza viwe vinaendana na mahitaji ya zama hizi
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani amesema: “Kwa muda wa miaka hamsini hadi sitini sasa tumefikia hitimisho kwamba ndani ya Hawza za kielimu, vitabu vya masomo vinapaswa kuwa vinaendana na mahitaji…
-
Ayatullah al-Udhma Subḥānī katika ufunguzi wa mwaka wa masomo wa Hawza:
Hawza“Kumpenda Mtume siyo bid‘a, bali ni miongoni mwa misingi ya Uislamu / Wanafunzi wa dini wanapaswa kufanya hijra (kuhama kwa ajili ya kutafuta elimu)
Hawza/ Ayatullah Subḥānī alibainisha: Ikiwa mtu ataishi kwa kuifuata Qur’ani na Sheri‘a, lakini moyoni mwake akawa na chuki dhidi ya Mtume (s.a.w), basi mtu huyo ni kafiri. Na hata asipokuwa…
-
Ayatollahul - udhma Subhanii:
HawzaKuifedhehesha Jamhuri ya Kiislamu ya Irani pamoja na Kiongozi muadhamu wa Mapinduzi ni alama ya udhaifu wa adui
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Subh'ani, katika kuelezea vitisho vya Tramp dhidi ya Kiongozi wa mapinduzi Sayyid Ali Khamenei amesema: Aina yeyote ya Kuifedhehesha Jamhuri ya Kiislamu ya Irani pamoja…
-
HawzaAyatollah al-Udhma Subhani amtembelea Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani kwa ajili ya kumjulia hali yake
Ayatollah al-Udhma Subhani alifika katika makaazi ya Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani na kumtembelea Marja’ huyu wa taqlid kwa ajili ya kumjulia hali yame.
-
Ayatollah al-Udhma Subhani:
HawzaMarehemu Ayatollah al-Udhma Ha’iri alikuwa mfano wa wazi wa "العالم بزمانه" (mwanazuoni katika zama zake), Hawza ya Qom ni muendelezo wa kihistoria wa Hawza ya Madina, Kufa na Khorasan
Mwanachuoni mkubwa katika ulimwengu ya Kishia, sambamba na kuelezea mchakato wa kihistoria wa kuundwa kwa Hawza za fiqhi na hadithi kutoka Madina tukufu hadi Qom, alisema: Marehemu Ayatollah…