Hawza/ Hadhrat Ayatollah Subh'ani, katika kuelezea vitisho vya Tramp dhidi ya Kiongozi wa mapinduzi Sayyid Ali Khamenei amesema: Aina yeyote ya Kuifedhehesha Jamhuri ya Kiislamu ya Irani pamoja…
Ayatollah al-Udhma Subhani alifika katika makaazi ya Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani na kumtembelea Marja’ huyu wa taqlid kwa ajili ya kumjulia hali yame.
Mwanachuoni mkubwa katika ulimwengu ya Kishia, sambamba na kuelezea mchakato wa kihistoria wa kuundwa kwa Hawza za fiqhi na hadithi kutoka Madina tukufu hadi Qom, alisema: Marehemu Ayatollah…