Shirika la Habari la Hawza, limechapisha riwaya ifuatayo kutoka katika kitabu cha «Wasā’il al-Shī‘ah».
Imam Musa al-Kadhim (as) amesema:
«التَّحَدُّثُ بِالنِّعَمِ شُکْرٌ وَتَرْکُ ذَلِکَ کُفْرٌ.»
“Kuizungumzia neema ni kumshukuru Mwenyezi Mungu, na kuacha kufanya hivyo ni kukufuru neema.”
Wasā’il al-Shī‘ah, Juz. 7, Uk. 40
Maoni yako