Jumanne 8 Julai 2025 - 11:20
Lushoto Tanga Tanzania, wafanya matembezi ya Ashura yaliyo fana mwaka huu

Hawza/ Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga wamefanya matembezi ya ashura yaliyofana kupita kiasi mwaka huu.

Kwa mujibu wa  Shirika la Habari la Hawza Tofauti na matarajio ya watu wengi wilaya ya Lushoto mwaka huu wamefanya matembezi ya aina yake, matembezi ambayo yamehudhuriwa na mamia ya wafuasi wa madhehebu ya Ahlulbayt (as), Lushoto miaka iliyopita ilikuwa ikihesabika kuwa ni ngome kubwa ya wafuasi wa ahlu sunna, lakini kwa sasa inaanza kuonesha sura tofauti baada ya kuwepo wimbi kubwa la wafuasi wa madhebu ya shia.

Lushoto Tanga Tanzania, wafanya matembezi ya Ashura yaliyo fana mwaka huu

Baadhi ya waumini walio shiriki kwenye matembezi hayo

Lushoto Tanga Tanzania, wafanya matembezi ya Ashura yaliyo fana mwaka huu

Sura nyengine za waumini waliofuroka kuhudhuria kwenye matembezi hayo

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha