akili mnemba (10)
-
DuniaKampuni ya Bosch inafunga ofisi yake ya Akili Mnemba nchini Israel
Hawza/ Kampuni ya Kijerumani ya Bosch katika uamuzi ambao imeuelezea kuwa umetokana na sababu za kiuchumi, imeamua kufunga ofisi yake ya Akili Bandia nchini Israel; hatua ambayo inatajwa kuwa…
-
DuniaVatican Yaingia Katika Mjadala wa Akili Mnemba; Papa Leo wa Kumi na Nne Aonya Kuhusu Ukiritimba wa Teknolojia
Hawza/ Waraka wa kwanza wa Kanisa uliotolewa na Papa Leo wa Kumi na Nne umejikita katika suala la akili mnemba (AI) na umeonya kuhusu mkusanyiko wa nguvu za kiteknolojia mikononi mwa kampuni…
-
Msaidizi wa Ufundi wa Kituo cha Noor:
DuniaAkili Mnemba ya Kiirani yaingia uwanjani kulinda heshima ya Qur’ani / Kituo cha Noor chazindua “Mfumo wa Mazungumzo Mahiri na Tafsiri”
Hawza/ Naibu wa Ufundi wa kituo cha uhakiki Noor amesema: Kituo cha Noor kwa kuzindua mfumo kinara wa “Mazungumzo Mahiri na Tafsiri”, sambamba na kufichua makosa makubwa na upendeleo wa miundo…
-
Ayatullah A’rafi alifafanua:
HawzaMihimili sita muhimu ya kuingia teknolojia mahiri katika uwanja wa elimu za Kiislamu/ Mwalimu aliyekuwa kielelezo cha jihadi na nidhamu ya kielimu
Ayatullah A’rafi alisema katika hafla ya uzinduzi wa bidhaa mahiri na zenye msingi wa elimu katika taaluma za Kiislamu: Moja ya maeneo muhimu yanayohitaji kupewa kipaumbele maalumu ni mabadiliko…
-
Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza:
DuniaMaendeleo ya akili bandia bila maadili na imani husababisha jamii kupotoka
Hawza/ Ayatullah Araki, huku akisisitiza kwamba akili bandia haina hiari wala mapenzi huru, alisema: Teknolojia hii ni kioo cha chaguo na matakwa ya mwanadamu, na endapo haitafafanuliwa ndani…
-
Katika Mahojiano na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Qom limejadiliwa:
HawzaUenezaji wa Dini (Tabligh) Katika Zama za Akili Bandia (AI); Je, Mimbari ya Jadi Bado ina Ufanisi?
Hawzah/ Hujjatul Islam wal-Muslimin Sharifi amesema: Leo kuna programu ambazo zinawezesha "mazungumzo na hadithi" au "mazungumzo na tafsiri". Mhubiri anaweza kutumia mifumo hii kupata rasilimali…
-
Ayatullah al-Udhma Makarim Shirazi:
DuniaBado ninaendelea na shughuli za kielimu/ Msisitizo wa kutumia zana za kisasa na akili mnemba ndani ya hawza
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarim Shirazi, huku akisisitiza kuwa bado anaendelea na kazi za kielimu, amesisitiza juu ya ulazima wa jitihada, usafi wa nia na matumizi ya zana za kisasa hasa akili…
-
Katika mazungumzo yetu na Rais wa Jāmi‘at al-Mustafā al-‘Ālamiyya:
DuniaAkili Mnemba na Athari Zake katika Mifumo ya Kitamaduni na Kidini
Hawza/ Mjumbe wa Baraza la Wataalamu wa Uongozi wa Kidhini (Majlis Khubragān Rahbari) amesisitiza kuwa: kulinda mipaka ya kudiriki ya kijamii dhidi ya uvamizi laini wa adui, kwa kiwango kikubwa…
-
DuniaElon Musk amebadilisha mfumo wa akili mnemba ili iseme uongo kuhusiana na Ghaza
Hawza/ Baada ya watumiaji kubaini kuwa akili mnemba "Grok" ilipoulizwa swali: “Je, huko Ghaza kunafanyika mauaji ya kimbari?” ilijibu: “Ndiyo, Israel na Marekani wanafanya mauaji ya kimbari huko,”…
-
DuniaAkili Mnemba Katika kutoa Huduma kwenye Arbaeen ya Hussein
Hawza/ Leo, badala ya kulalamikia vikwazo vya vyombo vya habari, inapaswa kutumika akili mnemba kwa ajili ya kuunda “chombo cha habari huru na chenye akili”; chombo cha habari ambacho kitaweza…