Sheikh Ahmad al-Qattan (11)
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaChaguo la Muqawama Limechaguliwa Kwa Msingi wa Kushikamana na Qur’ani Tukufu
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza wa kusema: “Muqawama nchini Lebanon ni uhai wetu, na adui Muisraeli, licha ya kuendelea na mashambulizi yake, ameshindwa kufikia malengo yake.”
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaKufanya mazungumzo ya moja kwa moja na adui Israel ni haramu kisheria
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan aliisifu Iran kwa kusimama imara mbele ya mashinikizo na uchokozi, na akautaja ushindi wake kuwa ni ushindi wa watu wote huru duniani, bila kujali dini, madhehebu…
-
DuniaWanazuoni wa Lebanon Wasisitiza Umuhimu wa Kuhifadhi Umoja wa Ndani na Kuimarisha Mshikamano kati ya Nguvu za Kidini na Kitaifa
Hawza/ Kwa mnasaba wa “Sikukuu ya Muqawama na Ukombozi”, Sheikh Ahmad Al-Qattan, rais wa Jumuiya ya “Qawluna wal-‘Amal”, alipokea ujumbe kutoka kwa “Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu” wa Lebanon…
-
DuniaSheikh al-Qattan alaani sera za Utawala harama wa Israrl dhidi ya wafungwa na ametaka hatua ya haraka ya Jumuiya ya kimataifa
Hawza/ Mkuu wa Jumuiya ya “Qawluna wal-‘Amal” na mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon, katika taarifa yake amelaani sera za kihalifu za wavamizi wa Israel dhidi ya kuwanyonga na kuwashikilia wafungwa…
-
Sheikh Ahmad Al-Qattan:
DuniaKuuawa kishahidi kwa makamanda haukuwa mwisho wa njia, bali ni hamasa na nguvu kubwa zaidi ya kuendeleza mkondo wa muqawama
Hawza/ Mwanachuoni wa Kisunni wa Lebanon, katika mkutano wa kisiasa na kielimu, amesisitiza tena ahadi ya uaminifu katika njia na malengo ya makamanda mashahidi.
-
Sheikh Ahmad Al-Qattan:
DuniaTunasimama pamoja na harakati zote za muqawama dhidi ya udikteta wa Kizayuni–Marekani
Hawza/ Kiongozi wa kidini wa Kisunni kutoka Lebanon amesisitiza kuwa, Harakati ya Hamas itaendelea kusimama imara, kama zilivyo harakati nyingine zote za muqawama, maadamu bado kuna uvamizi na…
-
DuniaSheikh Al-Qattan Katika Kikao Chake na Jamil Hayek, Atilia Mkazo Kwenye Umoja wa Kitaifa na Kuliunga Mkono Suala la Palestina
Hawza/ Rais wa Jumuiya ya “Qawluna wa Al-Amal” nchini Lebanon, alipotembelea ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Amal mjini Beirut, alifanya kikao na Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo, Jamil…
-
DuniaSheikh Ahmad Al-Qattan: Adui Yetu Ni Mmoja Tu, na Huyo ni Israel
Hawza / Mwanazuoni wa Kisunni nchini Lebanon amesisitiza kuwa: “Tuna imani na kitu kimoja tu, nayo ni imani yetu kwa nchi yetu; na tunaye adui mmoja tu, mabae ni Israel.”
-
DuniaSheikh al-Qattan Atoa Shukrani Zake za Dhati kwa Walioiunga Mkono Ghaza
Hawza/ Sheikh Ahmad al-Qattan, mwanazuoni wa Kisunni na Mwenyekiti wa Jumuiya ya “Qawluna wa al-‘Amal” nchini Lebanon, amesema: “Baada ya matukio tuliyoshuhudia Palestina – hususan huko Ghaza…
-
DuniaSheikh Qattan asisitiza umuhimu wa nafasi ya wanawake waumini katika kuunda vizazi vya Muqawama
Hawza/ Raisi wa Jumuiya ya “Qawluna wa al-‘Amal” na mwanachuoni wa Kisunni kutoka Lebanon, katika hafla maalum, amesisitiza juu ya umuhimu wa nafasi ya wanawake waumini katika kuunda vizazi vya…
-
DuniaSheikh al-Qattan: Watoto wa Ghaza wanakufa huku wakitamani kipande cha mkate
Hawza/ Sheikh Ahmad al-Qattan amesema kuwa: “Yale ambayo watu wetu wa Ghaza wanayapitia ni jukumu la Umma mzima, maulamaa, masultani, watawala, wakuu wa kifalme, wafalme na marais.”