Hawza/ Raisi wa Jumuiya ya “Qawluna wa al-‘Amal” na mwanachuoni wa Kisunni kutoka Lebanon, katika hafla maalum, amesisitiza juu ya umuhimu wa nafasi ya wanawake waumini katika kuunda vizazi vya…
Hawza/ Sheikh Ahmad al-Qattan amesema kuwa: “Yale ambayo watu wetu wa Ghaza wanayapitia ni jukumu la Umma mzima, maulamaa, masultani, watawala, wakuu wa kifalme, wafalme na marais.”
Sheikh Ahmad al-Qattan ameeleza kushangazwa kwake na hatua iliyo chukuliwa na wizara ya mambo ya nje ya Lebanon kwa kumuita balozi wa Iran, na akasema: Balozi wa Iran anatetea uwezo wa Lebanon.