Hawza/ Sheikh Ahmad al-Qattan amesema kuwa: “Yale ambayo watu wetu wa Ghaza wanayapitia ni jukumu la Umma mzima, maulamaa, masultani, watawala, wakuu wa kifalme, wafalme na marais.”
Sheikh Ahmad al-Qattan ameeleza kushangazwa kwake na hatua iliyo chukuliwa na wizara ya mambo ya nje ya Lebanon kwa kumuita balozi wa Iran, na akasema: Balozi wa Iran anatetea uwezo wa Lebanon.