Shambulio la Israeli dhidi ya Doha (14)
- 
                                          DuniaSheikh al-Khatib: Tunatumaini kikao cha Doha kitaishia kwenye maamuzi muhimuHawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali al-Khatib, Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia la Lebanon, baada ya kukamilisha safari yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amerejea… 
- 
                                          Chaneli 13 ya Israeli:DuniaIsrael inakabiliwa na “tsunami ya kisiasa” na upweke wetu baada ya kushindwa kwa shambulizi letu dhidi ya Qatar unaongezekaHawza/ Chaneli 13 ya Israeli imefichua kuhusu mgogoro mkubwa wa kisiasa na kidiplomasia unaoikumba Israel baada ya kushindwa kwa shambulizi dhidi ya Qatar na kuongezeka kwa upweke wa kimataifa. 
- 
                                          Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:DuniaWalitaka suala la Palestina lisahaulike, lakini sasa limekuwa suala la kimataifaHawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi amesema: Shambulizi la Israeli dhidi ya Doha na mabomu yaliyorushwa Yemen yamekabiliwa na ukimya wa dunia, isipokuwa baadhi ya matamko… 
- 
                                          Harakati ya Nujabaa ikiwasemesha watawala wa Kiarabu:DuniaJifunzeni kutokana na shambulio dhidi ya Qatar; nyinyi kwa maridhiano hamtakuwa salama kutokana na madhara ya IsraeliHawza/ Harakati Nujabaa katika tamko lake, imelaani shambulio dhidi ya makao ya Hamas huko Doha na ikatoa onyo kwamba maridhiano na utawala wa Kizayuni hayaleti usalama kwa tawala za Kiarabu. 
- 
                                          Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu:DuniaShambulizi la adui huko Doha linadhoofisha mamlaka ya Qatar, na Jumuiya ya kimataifa lazima ilaani tendo hili la kigaidiHawza/ Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu wa Lebanon imesema kuwa: adui Mzayuni anaendelea na uvamizi wake na umefikia hatua ya kutaka kuwaua viongozi wa Hamas waliokuwa na jukumu la kusimamia mazungumzo. 
- 
                                          DuniaHarakati ya Umma yalaani kukengwa viongozi wa Hamas huko DohaHawza/ Harakati ya Umma nchini Lebanon imelaani vikali uvamizi wa Kizayuni dhidi ya kikao cha viongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Hamas kilichofanyika mjini Doha, mji mkuu wa Qatar. 
- 
                                          Rais wa Baraza Kuu la Waislamu wa Kishia nchini Lebanon:DuniaMshikamano wa Lebanon sasa umesimama imara zaidi kuliko zamani dhidi ya hila za maadui / Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni funzo kwa tawala zote za Kiarabu na katika ukandaHawza/ Sheikh Ali Al-Khatib, akisisitiza juu ya ulazima wa kudumisha mshikamano baina ya mataifa ya eneo hili, amesema: Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni kengele ya hatari kwa tawala zote… 
- 
                                          Ayatullah A‘rafii:HawzaShambulizi dhidi ya Qatar ni onyo la tahadhari kwa serikali za Kiislamu/ Mazungumzo yamefichua kuwa nguvu za kigeni za kibeberu ni wavunjaji wa ahadi na madhalimuHawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: Serikali za Kiislamu, amkeni! Ikiwa hamtasimama, hamtapinga na mkauvua silaha muqawama, nanyi pia mtaathirika; wao wanataka kutoka kwetu eidha kujisalimisha… 
- 
                                          DuniaHarakati ya Tawhidi al-Islami: Shambulio dhidi ya Qatar ni mwendelezo wa siasa ya uhalifu ulioandaliwa na ugaidi wa kiserikali unaoungwa mkono na MarekaniHawza / Harakati ya Tawhidi al-Islami ya Lebanon katika tamko lake imesema: “Shambulio la Israel ni mwendelezo wa siasa ya uhalifu ulioandaliwa na hatua inayoeleweka kuelekea ugaidi wa kiserikali… 
- 
                                          DuniaSheikh Qabalan: Marekani ni mshirika kamili wa Israel katika uhalifu wake woteHawza / Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mkuu wa Ja‘fari wa Lebanon, katika tamko lake amesema: “Kwa nguvu zote na kwa uthabiti, tunalaani vikali ugaidi wa Kizayuni na unyama wa Israel.” 
- 
                                          DuniaHizbullah: Shambulio lililofanywa na utawala wa Kizayuni mjini Doha limeonesha dhamira yake ya kweli ya kuendeleza vita na mauaji ya kimbariHawza / Hizbullah ya Lebanon imelaani shambulio la ghafla na la khiyana la utawala wa Kizayuni dhidi ya ujumbe wa uongozi wa Harakati ya Muqawama ya Kiislamu (Hamas) wakati wa kikao kilichokuwa… 
- 
                                          DuniaMwenyekiti wa Baraza Kuu la Ja‘fariyya Kashmir Pakistan: Shambulio la Israel dhidi ya Qatar ni shambulio dhidi ya usalama na heshima ya Umma wa KiislamuHawza / Sayyid Zawar Husayn Naqvi, katika ujumbe wake, amelaani vikali shambulio lililofanywa na Israel dhidi ya Qatar na kulieleza kuwa ni shambulio lililolenga heshima na usalama wa Umma wote… 
- 
                                          DuniaWaziri Mkuu wa Pakistan: Shambulio lililofanywa na Israel dhidi ya Qatar ni uvunjaji wa wazi wa uhuru wa taifa na tishio kwa amani ya ukanda huuHawza / Mian Muhammad Shehbaz Sharif, katika tamko lake, amelaani vikali shambulio la Israel dhidi ya Qatar na kulieleza kuwa ni uvunjaji wa wazi wa uhuru wa taifa hilo na tishio kubwa kwa amani… 
- 
                                          DuniaWizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki yailaani vikali Israel kutokana na shambulio lake dhidi ya QatarHawza / Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imetoa tamko rasmi ikilaani vikali shambulio la Israel dhidi ya ujumbe wa mazungumzo wa Hamas mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.