Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu (107)
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
DuniaKuwatetea Wapiganaji Jihadi wa Lebanon ni Sera ya Kimkakati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika kujibu barua ya Katibu Mkuu na wapiganaji wa Hizbullah, amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa kuzingatia msimamo wa Kiongozi Mkuu na…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Alishukuru Taifa la Iraq kwa Heshima Yake Katika Mazishi ya Imam Shahidi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa kulishukuru taifa la Iraq kwa heshima ya tukio kubwa la mazishi ya Imam Muja'hid Shahidi.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika Ujumbe Wake Kutokana na Mnasaba wa Mazishi na Kuzikwa "Bwana Shahidi wa Iran":
DuniaTutalipiza kisasi cha damu takatifu ya mashahidi kutoka kwa wauaji wahalifu na waliopoteza heshima / Shukrani za dhati kwa mahudhurio ya kihistoria ya wananchi wa Iran na Iraq
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, katika ujumbe wake, ametoa shukrani za dhati kwa mamilioni ya wananchi wa Iran na Iraq waliohudhuria mazishi ya "Bwana Shahidi wa Iran", na…
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Nchini Iran:
DuniaWahalifu wa kivita wa Minab na Lamerd wanapaswa kufikishwa kwenye vyombo vya mahakama vya ndani na vya kimataifa
Hawza/ Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi nchini Iran, amesema katika ujumbe wake kufuatia mnasaba wa Wiki ya Mahakama kwamba: Kuanzia damu ya mashahidi madhalimu wa vita vya pili na vya tatu vya…
-
DuniaAyatullah A‘rafi Atoa Wito kwa Wananchi Kushiriki kwa Roho ya Ashura katika Mazishi ya Imam Shahidi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amealika makundi yote ya wananchi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika mazishi ya mwili mtukufu wa Kiongozi wa Umma Shahidi, Hadhrat Imam…
-
Ayatullah Saidi katika Swala ya Ijumaa ya Qum:
DuniaKwa kumfuata Hadhrat Abbas (as), tuko tayari kutii amri za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Mafunzo 4 ya Suratul-Fath katika zama za leo
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum amesema: Kwa kuzingatia historia ya Marekani, tunajua kwamba haitekelezi ahadi zake, lakini kwa kuheshimu maelekezo ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, tumedumisha…
-
DuniaUjumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa Taifa la Iran Kuhusu Mkataba wa Maelewano kati ya Marais wa Iran na Marekani
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe aliouelekeza kwa taifa lenye hamasa na uaminifu la Iran kuhusu mkataba wa maelewano uliotiwa…
-
DuniaUbunifu wa Kuvutia wa Waindonesia katika Kuonesha Mshikamano wao na Iran/ Gwaride la Magari Yenye Picha za Mashahidi wa Iran Jijini Jakarta
Hawza/ Harakati ya kitamaduni iliyoanzishwa na vijana wa Indonesia katika kuunga mkono malengo na misingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia gwaride la mfano la magari yaliyopambwa kwa picha…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu atoa rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei ametuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki dunia kwa Ayatullah Haj Sheikh Ishaq Fayyadh.
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum alisema:
DuniaNjia sita za kukabiliana na vita mchanganyiko vya adui katika ujumbe wa mwisho wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Adui ameielekeza nguvu yake katika maeneo mawili nyeti na ya kimkakati, na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ametoa njia sita za kukabiliana nayo ambazo…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi:
DuniaKhomeini Mkuu na shahidi Khamenei walihuisha utayari wa taifa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei amesema: Khomeini Mkuu na shahidi Khamenei waligundua na kuhuisha utayari wa taifa.
-
DuniaSimulizi ya Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Qom Iran, kuhusu usiku wa kuchaguliwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Kutii na kutekeleza amri za kiongozi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa mjini Qom alisema: Baraza la Wataalamu wa Uongozi lilikutana usiku wa tarehe 19 Ramadhani, mmoja wa wajumbe wa ofisi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
DuniaTofauti zisizo na msingi na hata zenye msingi, zisigeuzwe kuwa mizozo na mifarakano
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kufunguliwa kipindi cha kwanza cha Bunge la Ushauri la Kiislamu na kuanza mwaka wa tatu wa…
-
Ayatullah al-Udhma Nouri Hamadani:
DuniaWote wanapaswa kufuata maamuzi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Tunawashukuru sana wananchi kutokana na mikusanyiko ya usiku
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani, huku akitoa shukrani na pongezi kwa mshikamano wa kitaifa na ushiriki mkubwa wa wananchi katika mikusanyiko ya usiku, alisisitiza: Kila jambo ambalo Kiongozi…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
Dunia“Uwajibikaji na kuwatumikia watu” ni miongoni mwa sifa dhahiri za shahidi Ayatullah Raisi
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa pili tangia shahada ya shahidi Ayatullah Raisi na kwa heshima…
-
Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi katika Mkoa wa Kurdistan:
DuniaTaifa la Iran limesimama imara mbele ya mashinikizo na vitisho
Hawza/ Mwakilishi wa Walii Faqihi katika Mkoa wa Kurdistan, huku akirejelea hali ya eneo pamoja na vikwazo vya miongo kadhaa iliyopita, alisisitiza kwamba: Taifa la Iran licha ya mashinikizo…
-
DuniaUjumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kutokana na mnasaba wa Siku ya Kuilinda Lugha ya Kifarsi na Kumuenzi Ferdowsi
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa Siku ya Kuilinda Lugha ya Kifarsi na Kumuenzi Ferdowsi alisisitiza kwamba: Taifa pendwa la Iran katika “Ulinzi…
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa Siku ya Kitaifa ya Ghuba ya Uajemi:
DuniaGhuba ya Uajemi; ni neema ya Mwenyezi Mungu na inayotamaniwa na wageni/ Enzi mpya ya Ghuba ya Uajemi na Mlango wa Hormuz iko katika kuundwa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei amesema: Moja ya neema zisizo na mfano za Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa mataifa ya Kiislamu ya eneo letu, hususan watu watukufu wa Iran ya Kiislamu,…
-
DiniNeno la Walii | Tawfiki ya kushukuru: Neema kubwa katika mtazamo wa Qur’ani
Hawza/ Katika sehemu hii ya maelezo, imeashiriwa maana ya ibara ya Qur’ani «أَوْزِعْنِی» ambayo ina maana ya ilhamu na tawfiki ya kivitendo kwa ajili ya kushukuru. Kushukuru neema si tu kulipa…
-
DuniaUjumbe wa pongezi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan kwa Kiongozi wa Mapinduzi; kushindwa kwa Marekani ni fahari ya ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan, katika ujumbe aliouelekeza kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kupongeza ushindi wa Iran dhidi ya Marekani na utawala…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran:
DuniaUwepo wa wananchi katika uwanja uendelee
Hawza/ Ujumbe wa Mheshimiwa Ayatollah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, kutokana na mnasaba wa siku arobaini tangia kuuawa kishahidi Kiongozi Mkuu…
-
Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kulielekea Taifa la Iran:
DuniaPandeni mche wa matumaini katika upeo wa Iran / Kila hatua katika mwelekeo wa kupanua ustawi na kujenga mustakabali angavu wa Iran ni kitendo stahili na kinachofaa
Hawza/ Wakati huu ambapo adui mdhalimu na asiye na huruma wa Kimarekani na Kizayuni hana mipaka ya kibinadamu, na kimaadili katika unyama wake, na hata maeneo ya asili na mazingira ya nchi yetu…
-
DuniaKiongozi wa Mapinduzi Iran, atoa shukran zake kwa Maraji' na wananchi wa Iraq
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei, Kiongozi Mtukufu wa Mapinduzi, katika ujumbe wake ametoa shukrani zake kwa Mara'ji' wa kidini na wananchi wa Iraq kutokana na msimamo wao wa…
-
DuniaKiongozi wa Mapinduzi Iran atoa Ujumbe wa rambirambi kufuatia kuuawa kishahidi Generali Alireza Tangsiri
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi Iran, ametuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kuuawa kishahidi Kamanda wa Jeshi la Majini, Alireza Tangsiri.
-
DuniaWatu elfu 7 Watia saini “Ahadi ya Wanazuoni wa Hawza kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran” hadi sasa
Hawza/ Hadi sasa zaidi ya wanazuoni elfu 7 wa masomo ya hawza wamesaini “Ahadi ya Wanazuoni wa hawza kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu,” na mchakato huu unaendelea na unaongezeka kila…
-
DuniaWanazuoni wa Kisuni nchini Iraq, waonesha mshikamano na kutoa kiapo cha utii kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran: Katika vita hii Hamko peke yenu
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Iraq ametuma rambirambi zake kufuatia kuuawa kwa baadhi ya makamanda wa muqawama, na ametangaza mshikamano kamili wa wanazuoni wa Kisuni wa Iraq na…
-
DuniaUjumbe wa Noruzi wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa mnasaba wa kuingia mwaka 1405 (H.S), Mwaka wa " Kujizatiti kiuchumi chini ya Umoja wa Kitaifa na Usalama wa Kitaifa"
Hawza/ Ujumbe wa Noruzi wa Ayatollah Sayyid Mojtaba Husseini Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa mnasaba wa kuanza mwaka wa 1405 umechapishwa.
-
Mwanaharakati wa Kidini kutoka Lebanon:
DuniaShahada ya Kiongozi wa Mapinduzi ni Matokeo ya Muqawama Wake Dhidi ya Siasa ya Kidikteta ya Marekani
Hawza/ Mwanaharakati wa kidini kutoka Lebanon alisema: "Sote hapa Lebanon tunaendelea na njia ya muqawama chini ya uongozi wa Ayatollah Mujtaba Khamenei ili kumaliza uvimbe huu wa kansa, kama…
-
DuniaViongozi elfu 11 miongoni mwa walimu wa hawza watoa kiaga cha utii kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Waalimu elfu 11 wa hawza wake kwa waume kutoka miji ya Qum, Khorasan, Isfahan, na mikoa mingine ya Iran wametoa kiaga cha utii kwa Ayatollah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi…
-
Mtafiti wa Kiiraq:
DuniaUchaguzi wa Ayatollah Sayyid Mujtaba Khamenei unaashiria kuendelea kwa njia ya Muqa'wama
Hawza/ Sheikh Muhammad al-Bayati, mtafiti wa Kiislamu kutoka Iraq, amesisitiza kuwa; uteuzi wa Ayatollah Sayyid Mujtaba Khamenei kama kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu umeleta amani katika jamii…