Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu (19)
-
Kiongozi wa Mashia wa Bahrain:
DuniaMamilioni ya watu wako tayari kujitoa muhanga kwa ajili ya Ayatullah Khamenei
Hawza/ Kiongozi wa Mashia wa Bahrain, katika taarifa aliyotoa, amesisitiza kuwa Ayatullah Khamenei ni shakhsia iliyofikia kilele cha juu kabisa kielimu, kiroho na kisiasa; ni kiongozi ambaye…
-
Ayatollah A‘arafi katika kikao cha Kamati ya Maendeleo ya Utamaduni wa Mahdawiyya na Kusubiri:
HawzaFikra ya Mahdawiyya na kusubiri imejengeka ndani ya roho ya Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Utamaduni wa Mahdawiyya na Kungoja amesisitiza kwamba: Mahdawiyya na kungoja ni fikra yenye nyanja nyingi iliyojikita ndani ya roho ya Mapinduzi ya…
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki yatoa onyo kwa mabeberu:
DuniaJaribio lolote la kuivamia heshima ya Wilaya litajibiwa kwa tufani ya hasira ya Umma wa Kiislamu
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki, huku ikitoa onyo kwa Marekani na Israel, imesisitiza: Jaribio lolote la kuvunja au kuvamia heshima ya Wilaya na Uongozi ni mstari mwekundu…
-
DuniaWananchi wa Pakistan wahuisha kiaga chao cha utii kwa Ayatullah Imam Khamenei
Hawza/ Kongamano tukufu la “Safari ya Imam Hussein (a.s.) na Kuhuishwa Ahadi ya Uaminifu” lilifanyika kwa fahari kubwa katika mji wa Karachi, Pakistan, kwa ushiriki wa wanazuoni wa dini, wasomi…
-
Katibu wa Baraza Kuu la Hawza:
DuniaKumtukana Kiongozi wa Mapinduzi ni dalili ya ukosefu wa uchambuzi na uelewa pungufu wa adui/ Watekelezaji, wahusika wa moja kwa moja na wachochezi wa ghasia ni muharibi na waasi
Hawza/ Ayatollah Shab-Zendadar, huku akisisitiza kuwa kumtukana Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni dalili ya ukosefu wa uchambuzi sahihi na uelewa pungufu wa maadui, alisema: Katika fiqhi ya Kiislamu,…
-
Ayatullah udhma Jawadi Amoli katika somo la juu la fiqhi:
HawzaMarekani na utawala wa Kizayuni hawana uwezo wa kuidhuru Iran
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amoli, huku akiongoza dua kwa ajili ya kulindwa mfumo wa Kiislamu, alisisitiza kuwa: Marekani na utawala wa Kizayuni hawana uwezo wa kuidhuru njia hii, na kwa idhini ya…
-
Harakati ya Amali ya Kiislamu:
DuniaKutishia kumuua Ayatollah udhma Khamenei ni njama ya kishetani; makelele ya Trump hayadumu na hatima yake ni pipa la taka la historia
Hawza/ Harakati ya Amali ya Kiislamu ya Lebanon, kwa kulaani vikali vitisho vya Donald Trump dhidi ya Ayatollah Khamenei, ilisema hatua hiyo kuwa ni njama ya kishetani na uonevu wa Kimarekani-Kizayuni…
-
Tamko la Wawakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi wa Iran kotoka mikoa mbalimbali ya nchi hiyo
DuniaKila aina ya dharau au kuvunjiwa heshima Imamu wa Umma wa Kiislamu kutaangamiza uwepo wa utawala wa Kizayuni
Hawza/ Wawakilishi wa Walii Faqih kutoka mikoa tofauti ya Iran, mwishoni mwa kikao cha mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Iran na baadhi ya viongozi wa nchi hiyo, walisema kuwa: aina yoyote ya…
-
DuniaWanazuoni wa Jamhuri ya Azerbaijan walaani chuki na uhalifu wa Wazayuni nchini Iran; wasisitiza juu ya kuchukuliwa hatua kali dhidi ya vibaraka wa Kizayuni–Marekani
Hawza/ Wanazuoni wa dini na wanafunzi wa elimu ya Kiislamu wa Jamhuri ya Azerbaijan, wakieleza chuki na hasira kali dhidi ya matukio ya kigaidi ya hivi karibuni nchini Iran, wameeleza kuwa vitendo…
-
Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhmaa Makarem Shirazi kuhusu matukio ya hivi karibuni nchini Iran
DuniaUtetezi thabiti wa Maraji juu ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarem Shirazi amesisitiza: Kila mtu au utawala wowote utakaomtishia Kiongozi wa Mapinduzi na marjaiya (uongozi wa kidini), au—Mungu apishe mbali—ukajaribu kuwadhuru,…
-
Ayatullah al-‘Udhmaa Nouri Hamedani katika mkutano na maimamu wa misikiti ya Tehran Iran:
DuniaAina yoyote ya kumshambulia au kumdhuru Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ina hukumu ya “muharib” / Sielewi watu mashuhuri wanaonyamazia wanafikiria nini
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani alisisitiza: Rais wa Marekani ajue kwamba yeyote atakayethubutu kumshambulia au kumdhuru Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni “muharib” (mtu anae upiga vita uislamu).…
-
DuniaRadi amali ya Ofisi ya Tabligh ya Hawza ya Qom Iran, kutokana na kauli za fedheha za Trump
Hawza/ Ofisi ya tabligh ya Hawza ya Qom, katika tamko kali, ililaani kauli za rais wa Marekani kuwa ni dharau dhidi ya matukufu ya Kishia na uongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, na ikasisitiza:…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaWananchi wa Pakistan hawatamwacha yeyote nyuma katika urafiki wao na Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba yake alisema: Wakoloni na Wazayuni daima wamekuwa wakipinga waziwazi Mapinduzi ya Kiislamu, wameweka vikwazo visivyo vya…
-
Harakati ya Nujabaa:
DuniaKumtazama vibaya Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran ni sawa na kuanzisha vita vikubwa / Wairaq wako tayari kupigana bega kwa bega na Wairan dhidi ya Marekani
Hawza/ Firas al-Yasir, mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Nujabaa, alieleza kwamba, hata “kumtazama kwa jicho baya” Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sawa na kuanzisha vita vikubwa, na akasisitiza…
-
Msimamizi wa Msikiti wa Jamkaran Qum Iran:
DuniaTaifa la Iran limesimama tayari kujitoa mhanga kwa ajili ya kumtetea Kiongozi wa Mapinduzi / Watu huru duniani hawatawaacha wanaoidharau Wilaya
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ajāq-Nezhād, huku akisisitiza juu ya nafasi ya uwepo wa watu kwenye kuelewa vurugu na njama za hivi karibuni za maadui, alisema: wananchi wa Iran kutikana na…
-
Ayatullah Al-udhma Nouri Hamedani:
HawzaMadai ya haki yapitie njia sahihi/ Kiongozi wa Mapinduzi ametetea kwa uthabiti haki za wananchi
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani katika kikao chake na Hujjatul-Islam wal-Muslimin Haj Ali Akbari, walisisitiza kwamba Maimamu wa Swala za Ijumaa ni kiungo kati ya wananchi na mfumo wa…
-
Kiongozi wa Mapinduzi:
DuniaNgao ya chuma ya umoja wa wananchi, viongozi na vikosi vya ulinzi isidhurike / Taifa la Iran linasimama imara mbele ya madai ya Marekani
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo asubuhi katika hafla ya maombolezo ya kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ridha (a.s) akiwa pamoja na makundi mbalimbali ya wananchi, alisisitiza kuwa:…
-
DuniaAyatullah Khamenei: Ikiwa Marekani itafanya ukhabithi dhidi ya taifa la Iran, itazabwa kofi kali
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameionya Marekani dhidi ya kutumia lugha ya vitisho dhidi ya Iran.
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuingia Mwaka Mpya wa 1404:
DuniaMwaka wa "Uwekezaji katika Uzalishaji" / Mwaka wa 1403, Mwaka wa Kuonyesha Uwezo, Nguvu ya Mapenzi na Roho ya Juu ya Kiimani kwa Watu wa Iran
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Khamenei, alitoa ujumbe wa mwaka mpya wa 1404 Hijria Shamsia, akitangaza kuwa mwaka huu utakuwa mwaka wa "Uwekezaji katika Uzalishaji."