Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu (100)
-
DuniaUbunifu wa Kuvutia wa Waindonesia katika Kuonesha Mshikamano wao na Iran/ Gwaride la Magari Yenye Picha za Mashahidi wa Iran Jijini Jakarta
Hawza/ Harakati ya kitamaduni iliyoanzishwa na vijana wa Indonesia katika kuunga mkono malengo na misingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia gwaride la mfano la magari yaliyopambwa kwa picha…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu atoa rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei ametuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki dunia kwa Ayatullah Haj Sheikh Ishaq Fayyadh.
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum alisema:
DuniaNjia sita za kukabiliana na vita mchanganyiko vya adui katika ujumbe wa mwisho wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Adui ameielekeza nguvu yake katika maeneo mawili nyeti na ya kimkakati, na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ametoa njia sita za kukabiliana nayo ambazo…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi:
DuniaKhomeini Mkuu na shahidi Khamenei walihuisha utayari wa taifa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei amesema: Khomeini Mkuu na shahidi Khamenei waligundua na kuhuisha utayari wa taifa.
-
DuniaSimulizi ya Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Qom Iran, kuhusu usiku wa kuchaguliwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Kutii na kutekeleza amri za kiongozi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa mjini Qom alisema: Baraza la Wataalamu wa Uongozi lilikutana usiku wa tarehe 19 Ramadhani, mmoja wa wajumbe wa ofisi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
DuniaTofauti zisizo na msingi na hata zenye msingi, zisigeuzwe kuwa mizozo na mifarakano
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kufunguliwa kipindi cha kwanza cha Bunge la Ushauri la Kiislamu na kuanza mwaka wa tatu wa…
-
Ayatullah al-Udhma Nouri Hamadani:
DuniaWote wanapaswa kufuata maamuzi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Tunawashukuru sana wananchi kutokana na mikusanyiko ya usiku
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani, huku akitoa shukrani na pongezi kwa mshikamano wa kitaifa na ushiriki mkubwa wa wananchi katika mikusanyiko ya usiku, alisisitiza: Kila jambo ambalo Kiongozi…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
Dunia“Uwajibikaji na kuwatumikia watu” ni miongoni mwa sifa dhahiri za shahidi Ayatullah Raisi
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa pili tangia shahada ya shahidi Ayatullah Raisi na kwa heshima…
-
Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi katika Mkoa wa Kurdistan:
DuniaTaifa la Iran limesimama imara mbele ya mashinikizo na vitisho
Hawza/ Mwakilishi wa Walii Faqihi katika Mkoa wa Kurdistan, huku akirejelea hali ya eneo pamoja na vikwazo vya miongo kadhaa iliyopita, alisisitiza kwamba: Taifa la Iran licha ya mashinikizo…
-
DuniaUjumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kutokana na mnasaba wa Siku ya Kuilinda Lugha ya Kifarsi na Kumuenzi Ferdowsi
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa Siku ya Kuilinda Lugha ya Kifarsi na Kumuenzi Ferdowsi alisisitiza kwamba: Taifa pendwa la Iran katika “Ulinzi…
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa Siku ya Kitaifa ya Ghuba ya Uajemi:
DuniaGhuba ya Uajemi; ni neema ya Mwenyezi Mungu na inayotamaniwa na wageni/ Enzi mpya ya Ghuba ya Uajemi na Mlango wa Hormuz iko katika kuundwa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei amesema: Moja ya neema zisizo na mfano za Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa mataifa ya Kiislamu ya eneo letu, hususan watu watukufu wa Iran ya Kiislamu,…
-
DiniNeno la Walii | Tawfiki ya kushukuru: Neema kubwa katika mtazamo wa Qur’ani
Hawza/ Katika sehemu hii ya maelezo, imeashiriwa maana ya ibara ya Qur’ani «أَوْزِعْنِی» ambayo ina maana ya ilhamu na tawfiki ya kivitendo kwa ajili ya kushukuru. Kushukuru neema si tu kulipa…
-
DuniaUjumbe wa pongezi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan kwa Kiongozi wa Mapinduzi; kushindwa kwa Marekani ni fahari ya ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Katibu Mkuu wa Chama cha Ustawi wa Kitaifa cha Afghanistan, katika ujumbe aliouelekeza kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kupongeza ushindi wa Iran dhidi ya Marekani na utawala…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran:
DuniaUwepo wa wananchi katika uwanja uendelee
Hawza/ Ujumbe wa Mheshimiwa Ayatollah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, kutokana na mnasaba wa siku arobaini tangia kuuawa kishahidi Kiongozi Mkuu…
-
Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kulielekea Taifa la Iran:
DuniaPandeni mche wa matumaini katika upeo wa Iran / Kila hatua katika mwelekeo wa kupanua ustawi na kujenga mustakabali angavu wa Iran ni kitendo stahili na kinachofaa
Hawza/ Wakati huu ambapo adui mdhalimu na asiye na huruma wa Kimarekani na Kizayuni hana mipaka ya kibinadamu, na kimaadili katika unyama wake, na hata maeneo ya asili na mazingira ya nchi yetu…
-
DuniaKiongozi wa Mapinduzi Iran, atoa shukran zake kwa Maraji' na wananchi wa Iraq
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei, Kiongozi Mtukufu wa Mapinduzi, katika ujumbe wake ametoa shukrani zake kwa Mara'ji' wa kidini na wananchi wa Iraq kutokana na msimamo wao wa…
-
DuniaKiongozi wa Mapinduzi Iran atoa Ujumbe wa rambirambi kufuatia kuuawa kishahidi Generali Alireza Tangsiri
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi Iran, ametuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kuuawa kishahidi Kamanda wa Jeshi la Majini, Alireza Tangsiri.
-
DuniaWatu elfu 7 Watia saini “Ahadi ya Wanazuoni wa Hawza kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran” hadi sasa
Hawza/ Hadi sasa zaidi ya wanazuoni elfu 7 wa masomo ya hawza wamesaini “Ahadi ya Wanazuoni wa hawza kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu,” na mchakato huu unaendelea na unaongezeka kila…
-
DuniaWanazuoni wa Kisuni nchini Iraq, waonesha mshikamano na kutoa kiapo cha utii kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran: Katika vita hii Hamko peke yenu
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Iraq ametuma rambirambi zake kufuatia kuuawa kwa baadhi ya makamanda wa muqawama, na ametangaza mshikamano kamili wa wanazuoni wa Kisuni wa Iraq na…
-
DuniaUjumbe wa Noruzi wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa mnasaba wa kuingia mwaka 1405 (H.S), Mwaka wa " Kujizatiti kiuchumi chini ya Umoja wa Kitaifa na Usalama wa Kitaifa"
Hawza/ Ujumbe wa Noruzi wa Ayatollah Sayyid Mojtaba Husseini Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa mnasaba wa kuanza mwaka wa 1405 umechapishwa.
-
Mwanaharakati wa Kidini kutoka Lebanon:
DuniaShahada ya Kiongozi wa Mapinduzi ni Matokeo ya Muqawama Wake Dhidi ya Siasa ya Kidikteta ya Marekani
Hawza/ Mwanaharakati wa kidini kutoka Lebanon alisema: "Sote hapa Lebanon tunaendelea na njia ya muqawama chini ya uongozi wa Ayatollah Mujtaba Khamenei ili kumaliza uvimbe huu wa kansa, kama…
-
DuniaViongozi elfu 11 miongoni mwa walimu wa hawza watoa kiaga cha utii kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Waalimu elfu 11 wa hawza wake kwa waume kutoka miji ya Qum, Khorasan, Isfahan, na mikoa mingine ya Iran wametoa kiaga cha utii kwa Ayatollah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi…
-
Mtafiti wa Kiiraq:
DuniaUchaguzi wa Ayatollah Sayyid Mujtaba Khamenei unaashiria kuendelea kwa njia ya Muqa'wama
Hawza/ Sheikh Muhammad al-Bayati, mtafiti wa Kiislamu kutoka Iraq, amesisitiza kuwa; uteuzi wa Ayatollah Sayyid Mujtaba Khamenei kama kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu umeleta amani katika jamii…
-
DuniaTaarifa ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki katika kuunga mkono uongozi wa Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei
Hawza/ Chama cha Wanazuoni wa Ahlul-Bayt cha Uturuki (AHLA-DER) kimetoa taarifa ambamo pamoja na kuonesha masikitiko na mshikamano na Umma wa Kiislamu kufuatia kuuawa kishahidi kwa baadhi ya…
-
DuniaShirika la Waislamu wa Kishia la Urusi lampongeza Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei
Hawza/ Jaffarov, Rais wa Shirika la Waislamu wa Kishia Urusi, katika ujumbe wake ametoa pongezi kwa kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei kuwa kiongozi wa tatu wa Jamhuri ya Kiislamu…
-
DuniaKiongozi wa Ansarullah Yemen ampongeza Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei kwa kuchaguliwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Sayyid Abdul-Malik al-Houthi, kiongozi wa Ansarullah Yemen, ametoa pongezi kwa kuchaguliwa kwa Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei kuwa kiongozi wa tatu wa Mapinduzi ya Iran.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
DuniaTunawahakikishia kuwa hatutasamehe kulipa kisasi damu ya mashahidi/ Uwepo madhubuti uendelee kudumishwa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Husseini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake wa kwanza alisisitiza: Kwa vyovyote vile, tutalipiza kutoka kwa adui fidia; na ikiwa atakataa,…
-
DuniaHarakati ya Hamas yampongeza Mtukufu Ayatollah Mujtaba Khamenei kwa kuchaguliwa kuwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran
Hawza/ Harakati ya Hamas katika ujumbe wake imesemwa kwamba; tunatoa pongezi zetu za dhati kabisa kwa mnasaba wa kuchaguliwa Mtukufu Ayatollah Sayyid Mujtaba Khamenei.
-
DuniaUjumbe wa pongezi wa Waziri Mkuu wa Pakistan kwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Muhammad Shehbaz Sharif, Waziri Mkuu wa Pakistan, katika ujumbe wake alimpongeza Ayatollah Sayyid Mujtaba Khamenei kwa kuchaguliwa kuwa Kiongozi wa tatu wa Mapinduzi ya Jamhuri ya Kiislamu…
-
Katibu Mkuu wa Harakati ya Nujabaa:
DuniaMhimili mzima wa muqawama unasikiliza amri ya Ayatollah Sayyid Mujtaba Khamenei
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Akram Al-Kaabi katika ujumbe wake amesema: Mtukufu Ayatollah Sayyid Mujtaba Khamenei, kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu ujue kwamba, mhimili mzima wa muqawama pamoja…