Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo asubuhi katika hafla ya maombolezo ya kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ridha (a.s) akiwa pamoja na makundi mbalimbali ya wananchi, alisisitiza kuwa:…
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Khamenei, alitoa ujumbe wa mwaka mpya wa 1404 Hijria Shamsia, akitangaza kuwa mwaka huu utakuwa mwaka wa "Uwekezaji katika Uzalishaji."