Jaamiatul-Mudarrisin (10)
-
Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom Iran:
DuniaNjia na Madhehebu ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah bado ipo hai / Hizbullah haitawaacha Wazayuni
Hawza/ Njia ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na madhehebu yake bado ipo hai, na moyo na nafsi za wafuasi wake zinasukumwa kuielekea harakati, jihadi na maendeleo, bila shaka, mkono wa nguvu…
-
Barua ya Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum kwa Wanazuoni wa Al-Azhar:
DuniaWanazuoni wa Kiislamu wawasaidie wanyonge wa Ghaza
Hawza/ Watu wasio na hatia na wanaokabiliwa na njaa huko Ghaza wanachinjwa hadharani mbele ya macho ya dunia, hata wakiwa wamesimama kwenye foleni za chakula, ni wajibu na ni jambo zuri kwamba…
-
Taarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum, Kuhusu Kulaani Mauaji ya Kigaidi Dhidi ya Baadhi ya Mawaziri wa Yemen:
DuniaUhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni Hauwezi Kudhoofisha Kudai Haki na Kusimama Imara Watu wa Yemen
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum (J'amiatul-Mudarrisin) imetoa taarifa na kulaani shambulio la kinyama lililofanywa na utawala muhalifu wa Kizayuni mjini Sanaa, na kupelekea kuuawa…
-
DuniaTaarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom Irani [J'amiatul Mudarris'in] Kuhusiana na Kulaani Mpango wa Kuzuia na Kuuteka Kikamilifu Ukanda wa Ghaza / Aibu iliyowapata waongo wanaodai haki za Binadamu
Hawza/ Mpango dhalimu na kinyume cha ubinadamu wa kuiteka Ghaza kwa hakika utashindwa, na mapambano ya Kiislamu huko Ghaza, kwa idhini na msaada wa Mwenyezi Mungu, yatapats ushindi wa mwisho…
-
HawzaMwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Ukimya unaofanywa na nchi za kiislamu mbele ya mauaji ya kimbari ya watu wa Ghaza ni aibu
Hawza/ Ayatullah Tabasi amesema: Hii leo ukimya mbele ya jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto ni usaliti, ukimya unaofanywa na baadhi ya nchi za Kiislamu mbele ya mauaji…
-
Barua ya wazi ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza (J'amiatul-Mudrrisin) kwa Maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu:
HawzaLeo ni wajibu kwa maulamaa wa umma kupaza sauti kwa ajili ya kuwaokoa watu wa Palestina
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Leo ni wajibu na jukumu juu ya maulamaa wa umma kuvunja ukimya dhidi ya jinai hii ya wazi na ukimya wa madola ya kisiasa ya nchi za Kiislamu, pamoja…
-
HawzaZaidi ya mafakihi na walimu 400 wa Hawza ya Qom waiunga mkono kikamilifu fatwa ya kihistoria ya maraaji’ wa taqlid
Hawza/ Zaidi ya watu 400 miongoni mwao ni mafakihi na walimu wanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom "J'amiat Mudarisin" wametangaza uungaji mkono wao wa wazi na wa dhati kwa fatwa ya…
-
DuniaMatembezi makubwa kwa ajili ya Imam Husein (as) yafanyika Tanzania
Hawza/ Matembezi makubwa na yaliyohudhuriwa na watu wengi yamefanyika katika jiji la Daresalam nchini Tanzania
-
Taasisi ya juu ya hawza yamtahadharisha Trump:
HawzaKuivunjia heshima Marjiat na nafasi kiongozi wa mapinduzi ni sawa na kutangaza vita na uma wote wa Kiislamu
Hawza/ Katika maelezo ya Pamoja yaliyo tolewa na Jaamiat Mudarisn, shura ya juu na markazi ya uongozi wa hawza yanasema kwamba; Aina yeyote ile ya vitisho na kuivunjia heshima nafasi ya Marjiat…
-
Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom (Jamiatul Mudarrisin):
HawzaMapenzi kwa Imam Khomeini (r.a.) bila kumtii Kiongozi wa dini (walii faqih) ni madai ya uongo
Leo hii Kiongozi mwenye busara wa Mapinduzi amezishika kwa mikono yake fikra zenye nuru za Imam adhimu na anawaalika wote kushikamana na malengo ya Imam na Mapinduzi. Mapenzi kwa Imam bila kumtii…