Jaamiatul-Mudarrisin (6)
-
DuniaJumuiya ya walimu wa hawza ya Qum, yakosoa vitendo vya kinyama vya serikali za Kiarabu dhidi ya Mashia/ Hatua yoyote dhidi ya Mashia ni hatua ya Marekani na Mazayuni
Hawza/ Jumuiya ya walimu wa hawza ya Qum, huku ikilaani vitendo vya kupinga Uislamu na vya kinyama vya serikali za Kiarabu dhidi ya jamii ya Mashia, imesisitiza: Serikali za Kiarabu kupitia vitendo…
-
DuniaRadi Amali ya Jumuiya ya Wanazuoni Qum Iran, Kuhusiana na Kauli za hivi karibuni zilizojaa matusi dhidi ya Ahlul-Bayt (a.s.)
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Chuo cha Elimu ya Dini cha Qom, kwa kutoa tamko rasmi, imeonesha msimamo wake dhidi ya kauli za matusi na dharau zilizotolewa dhidi ya Ahlul-Bayt wa Isma (a.s.)…
-
Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom Iran:
DuniaNjia na Madhehebu ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah bado ipo hai / Hizbullah haitawaacha Wazayuni
Hawza/ Njia ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na madhehebu yake bado ipo hai, na moyo na nafsi za wafuasi wake zinasukumwa kuielekea harakati, jihadi na maendeleo, bila shaka, mkono wa nguvu…
-
Barua ya Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum kwa Wanazuoni wa Al-Azhar:
DuniaWanazuoni wa Kiislamu wawasaidie wanyonge wa Ghaza
Hawza/ Watu wasio na hatia na wanaokabiliwa na njaa huko Ghaza wanachinjwa hadharani mbele ya macho ya dunia, hata wakiwa wamesimama kwenye foleni za chakula, ni wajibu na ni jambo zuri kwamba…
-
Taarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum, Kuhusu Kulaani Mauaji ya Kigaidi Dhidi ya Baadhi ya Mawaziri wa Yemen:
DuniaUhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni Hauwezi Kudhoofisha Kudai Haki na Kusimama Imara Watu wa Yemen
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum (J'amiatul-Mudarrisin) imetoa taarifa na kulaani shambulio la kinyama lililofanywa na utawala muhalifu wa Kizayuni mjini Sanaa, na kupelekea kuuawa…
-
DuniaTaarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom Irani [J'amiatul Mudarris'in] Kuhusiana na Kulaani Mpango wa Kuzuia na Kuuteka Kikamilifu Ukanda wa Ghaza / Aibu iliyowapata waongo wanaodai haki za Binadamu
Hawza/ Mpango dhalimu na kinyume cha ubinadamu wa kuiteka Ghaza kwa hakika utashindwa, na mapambano ya Kiislamu huko Ghaza, kwa idhini na msaada wa Mwenyezi Mungu, yatapats ushindi wa mwisho…