Imaam Khomein (16)
-
DuniaKikao cha kitamaduni nchini Tunisia chafanyika kwa kuzingatia fikra za Imam Khomeini na Imam Khamenei
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa kumbukumbu za uaminifu na kushikamana na misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu, Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tunisia kiliandaa kikao cha fikra chenye anuani…
-
DuniaTaasisi ya Furqan Yaadhimisha Hafla ya Ghadeer Sambamba na Kumbukumbu ya Kufariki Imam Khomeini (r.a)
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa hisia za kiroho, elimu na mapenzi kwa Ahlul-Bayt (a.s), Taasisi ya Furqan nchini Tanzania imeadhimisha hafla maalumu ya Sikukuu ya Ghadeer sambamba na mnasaba…
-
DuniaMwimbaji Mmarekani awasilisha shairi la kiirfani la Imam Khomeini katika sherehe za Ghadir huko Jakarta
Hawza/ Sambamba na kufanyika hafla ya kumbukumbu ya miaka thelathini na saba ya kufariki kwa Mtukufu Imam Khomeini (ra) pamoja na sherehe kubwa ya Idi Tukufu ya Ghadir Khum huko Jakarta, Mustafa…
-
HawzaMkutano wa kielimu/ “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu” wafanyika Tanzania
Hawza/ Mkutano wa kielimu na kitamaduni wenye anuani isemayo “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu”, uliokuwa na lengo la kuchunguza tukio la Ghadir kwa mtazamo wa Shia na Ahlu Sunna,…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaImam Khomeini (r.a), alikuwa nembo ya mwamko na mapambano dhidi ya ubeberu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesema: Imam Khomeini (r.a) kupitia ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwasilisha mfano wenye mafanikio wa serikali…
-
Sheikh Ibrahim Zakzaky:
DuniaUlimwengu leo hii unahitajia kurejea fikra za Imaam Khomein (ra)
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa dunia ya leo inahitaji kurejea katika fikra za Imam (r.a.)
-
Sheikh Naim Qasim:
DuniaTunajivunia kwamba tulimfanya Imam Khomeini kuwa mfano wa maisha yetu na tukaunga mkono uthabiti na haki
Hawza/ Sheikh Naim Qasim, Katibu Mkuu wa Hizbullah, katika taarifa iliyotolewa kufuatia kumbukumbu ya mwaka wa kufariki kwa Imam Khomeini, alisisitiza kwamba; Mapinduzi ya Iran yalianza kutoka…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi:
DuniaKhomeini Mkuu na shahidi Khamenei walihuisha utayari wa taifa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei amesema: Khomeini Mkuu na shahidi Khamenei waligundua na kuhuisha utayari wa taifa.
-
DuniaKongamano la uhamasishaji kuhusu mafanikio ya Imam Khomeini (r.a.) nchini Nigeria
Hawza/ Katika mwendelezo wa ratiba za wiki ya kumbukumbu ya Imam Khomeini (r.a.), Jukwaa la Wasomi wa Vyuo Vikuu na Wahadhiri (Academic Forum) la Harakati ya Kiislamu chini ya uongozi wa Sheikh…
-
Ayatullah A'raafi katika ujumbe wa uchambuzi na kimkakati amefafanua:
HawzaSifa kuu 9 za kimkakati za harakati kubwa ya taifa la Iran / Kwa nini tarehe 15 Khordad bendera ilipeperushwa juu ya paa la Iran?
Hawza/ Mwezi wa Khordad katika historia ya Mapinduzi matukufu ya Kiislamu ni mwezi uliojaa matukio yenye kuamua hatima, yaliyochanganyika na siri nyingi zenye mafunzo na mafunzo ya kudumu. Miongoni…
-
DuniaSimulizi ya Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Qom Iran, kuhusu usiku wa kuchaguliwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Kutii na kutekeleza amri za kiongozi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa mjini Qom alisema: Baraza la Wataalamu wa Uongozi lilikutana usiku wa tarehe 19 Ramadhani, mmoja wa wajumbe wa ofisi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu…
-
DuniaMadrasa ya Imam Khomeini (rh) ya Najaf Ashraf Yafungua Mlango wa Kupokea Wanafunzi
Hawza/ Madrasa ya Hawza ya Imam Khomeini (rh) mjini Najaf Ashraf nchini Iraq imefungua usajili wa wanafunzi wapya wanaokidhi masharti kwa mwaka wa masomo 1405–1406 Shamsia (2026 - 2027) Miladia.
-
DuniaKongamano lenye Mhimili wa Fikra za Imam Khomeini (ra) kufanyika nchini Nigeria
Hawza/ “Jukwaa la Kielimu la Harakati ya Kiislamu” (AFIM) nchini Nigeria, chini ya uongozi wa Sheikh Ibrahim Yaqub Zakzaky, limetangaza kufanyika kwa duru ya thelathini na saba ya “Wiki ya Imam”…
-
Ayatullah A‘rafi katika ujumbe wake:
HawzaUjumbe wa kihistoria na wa kistaarabu wa “Hawza Inayoongoza na Bora” ni kiini cha fikra za Kiongozi Shahidi/ Mambo matano muhimu ya Mkuu wa Hawza
Hawza/ Msiba wenye kuunguza moyo na shahada ya dhulma ya Imam na Kiongozi Shahidi Ayatullah al-Udhma Khamenei (q.s), ulizalisha mwamko wa kushangaza na mapinduzi makubwa yaliyoenea nchini Iran,…
-
DuniaWakenya Waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Qudsi + Picha
Hawza/ Waumini wa dini ya Kiislamu nchini Kenya wameungana kwa mshikamano wa kipekee na Waislamu wenzao duniani kote kwa kushiriki katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Qudsi.
-
HawzaMkurugenzi wa Hawza nchini Iran, atuma ujumbe wa pongezi kwa kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei
Hawza/ Ni matumaini yangu Taifa tukufu la Irani litachukua kiaga na kumtii Walii Faqih, kama ilivyo kuwa zama za Imaam Khomein (ra) na Imaam Shahidi radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, na…