Imaam Khomein (5)
-
DuniaKampeni ya Kimataifa ya “Khomeini ni kwa ajili ya watu wote” yafanyika; Ujumbe wa Imam waenea katika Upeo wa Mataifa
Hawzah/ Katika maadhimisho ya mwaka wa kumbukumbu ya kufariki kwa Imam Khomeini (ra), kampeni ya kimataifa ya “Khomeini kwa Wote” ikiwa na hashtag (#KhomeiniForAll) imeakisi ujumbe wake wa kimataifa…
-
Mwenyekiti wa Harakati ya Uamsho ya Umma wa Mustafa nchini Pakistan:
DuniaUjumbe wa kimapinduzi wa Imam Khomeini (ra) ndio njia pekee ya kuukomboa Umma wa Kiislamu
Hawza / Katika maadhimisho ya mwaka wa thelathini na sita tangia kufariki kwa kiongozi mkubwa wa Mapinduzi ya Kiislamu, hadhrat Imam Khomeini (ra), mkusanyiko mkubwa uliohudhuriwa na maulamaa…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
HawzaImam Khomeini alikuwa ni mchanganyiko kamili wa elimu na matendo
Hawza/ Ayatollah Jawadi Amoli amesema: Imamu Khomeini (ra) alielewa kwa usahihi kila alichokifahamu, na alitenda kwa usahihi kila alichokitenda. Alikuwa ni mtu aliyekusanya kwa ukamilifu kati…
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Maadhimisho ya Miaka 36 ya Kufariki Imam Khomeini (ra) Amefafanua:
DuniaMaendeleo, Usalama na Ustawi ni kwa Kuendeleza Njia ya kiakili ya Imam Khomeini (ra)
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, asubuhi ya leo, mbele ya umati mkubwa na wenye hamasa katika Haram takatifu ya Imam Khomeini (ra), akizungumza kuhusu athari dhahiri za…
-
DuniaKenya waandaa kongamano la kuadhimisha miaka 36 tangia kufariki kwa Imam Khomeini (ra)
Hawaza/ Wananchi wa Kenya wameshirikiana na Baadhi ya Wairani wanao ishi katika nchi hiyo kwa ajili ya kuadhimisha miaka 36 tangia kufariki kwa Imam Khomeini (ra).