Hashdu Shab (13)
-
Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Iraq:
DuniaFatwa ni Ilhamu ya Kiungu na Hashdu al-Shaabi ni Mradi wa Marjaiyya
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Humam Hammudi ameielezea fatwa ya Jihadi Kifai iliyotolewa na Marjaiyya ya Kidini kuwa ni “ilhamu ya Kiungu”, na akaashiria kwamba; Hashdu al-Shaabi ni mwakilishi…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaHivi karibuni tunatarajia kusikia habari ya kuanguka Serikali ya Trump na kuvunjika kwa Marekani
Hawza: Hujjat al-Islam wa al-Muslimin Sayyid Sadr al-Din al-Qubanchi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf, katika khutba za Swala ya Ijumaa, alilishukuru na kulipongeza jeshi la muqawama…
-
DuniaJuhudi za wabunge wa Iraq kwa ajili ya kuufunga ubalozi wa Marekani
Hawza/ Ushindani ndani ya bunge la Iraq kuhusu kamati za “kiserikali (za mamlaka)” hauishii hapo, bali unaendelea hadi kufikia kilele cha mvutano wa kibunge kwa kukusanya saini rasmi kwa ajili…
-
DuniaChama cha Kiislamu cha Mu'talifah Chatuma Ujumbe wa Rambirambi kwa Hashd al‑Shaabi, Iraq
Hawza/ Kitengo cha Kimataifa cha Chama cha Mu'talifah, kimetoa salamu za rambirambi kutokana na shahada ya kundi la wapiganaji wa Hashd al‑Shaabi Iraq, katika shambulio la Wamarekani na Wazayuni.
-
DuniaFaalih Alfaya'dh, Atoa pongezi kutokana na kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Raisi wa harakati ya Hashdu-sha'bi ya Iraqi, ametoa pongezi kutokana na kuchaguliwa Ayatullah Sayyed Mujtaba Khamenei, kwa anuani ya kuwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu, na kusema:…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaHashdu Shaabi Imeiokoa Iraq Dhidi ya Mifarakano
Hawza/ Ayatollah Sayyid Yasin Mousawi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, huku akisisitiza nafasi ya kipekee na isiyopingika ya Hashdu Shaabi katika kuiokoa Iraq dhidi ya mifarakano na kusambaratika…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Baghdad ataka msimamo mmoja wa Kiislamu na Kiarabu kuhusiana na Ghaza
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Yasin Musawi, huku akikosoa ukimya na kutofanya lolote kwa baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu mbele ya mauaji ya Wapalestina, amesisitiza juu ya ulazima wa kuchukua…
-
Mwakilishi wa Harakati ya Amal Nchini Iran:
HawzaSilaha za Muqawama wa Hizbullah ni Urithi wa Damu za Mashahidi
Hawza/ Salah Fahsi amesema: Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu bado wanataka kunyang'anywa silaha Jeshi la Hizbullah, lakini shambulizi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Qatar liliwafanya wafuasi…
-
Imam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaKuuwawa kishahidi Waziri Mkuu na viongozi mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano ya Yemen
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanji alisema: Kuuwawa kishahidi Waziri Mkuu wa Yemen pamoja na viongozi wengine 21 mashuhuri wa Yemen hakukuathiri mwendelezo wa mapambano…
-
DuniaSheria ya Hashd al-Shaabi imecheleweshwa kati ya shinikizo la kimataifa na migawanyiko ya ndani na bunge lililo chini ya utawala
Hawza/ Katikati ya mazingira ya kisiasa yaliyojaa vurugu na mgawanyiko, sheria ya kuratibu vikosi vya Hashd al-Shaabi, moja ya sheria muhimu za kiserikali na kiusalama, bado imesalia kusimama…
-
DuniaOfisi ya Ammar Hakim: Uongo Kuhusu Msimamo wa Tofauti wa Ammar Hakim Kuhusu Vikosi vya Hashd al-Shaabi Haukubaliki Kwa Njia Yoyote
Hawza/ Ofisi ya vyombo vya habari ya Rais wa Muungano wa Vikosi vya Kitaifa vya Iraq imekataa uvumi unaosema kwamba Sayyid Ammar Hakim, kiongozi wa muungano huo, ana msimamo tofauti kuhusu vikosi…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Baghdad: Kuondoka kwa Marekani ni matokeo ya shinikizo la wananchi wa Iraq / Israel haina ujasiri wa kushambulia Iraq
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Yasin Musawi alisisitiza kwamba kuondoka kwa majeshi ya Marekani kutoka Iraq ni matokeo ya “shinikizo la wananchi, bunge na muqawama” na wala si matakwa ya Washington,…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Najafu Ashraf, Akosoa kuhusiana na kuenezwa baadhi ya upotovu wa kidini na kimaadili katika majlisi za Huseini
Hawza / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi alisema: “Tunaamini kuwa Hashd al-Sha‘bi ni nukta ya nguvu ya Iraq na Hashd al-Sha‘bi ni alama ya heshima na fahari ya Iraq, kuvunjwa…