Ayatullah Saidii (22)
-
Ayatullah Sadii katika Swala ya Ijumaa Qum:
DuniaWananchi wanataka kulipiza kisasi damu ya Imam shahidi na wanafunzi wa Minab/ Pongezi kwa Umma wa Kimapinduzi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum amesema: Kwa zaidi ya usiku 200, wananchi wenye kushikamana na Wilaya, wazalendo na wenye imani wameendelea kubaki uwanjani wakiwa na imani juu ya nusura…
-
Ayatullah Saidi:
DuniaKuingia Bibi Fatima Ma’suma (s.a.) Jijini Qum Ilikuwa Mwanzo wa Harakati ya Kistaarabu ya Kueneza Maarifa ya Ahlulbayt (as)
Hawza/ Msimamizi wa Haram Tukufu ya Bibi wa Karama, huku akisisitiza nafasi ya kihistoria na kistaarabu ya kuwasili kwa Bibi Fatima Ma’suma (s.a.) katika mji huu mtukufu, amesema kuwa; tukio…
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa mjini Qom:
DuniaAhadi adhimu ya wananchi kulielekea Jua la Mapinduzi ilikuwa ni kupinga kwa nguvu ubeberu ulimwenguni
Hawza/ Khatiibu wa Swala ya Ijumaa mjini Qom amesema kuwa; Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi alikuwa mfano bora wa utawala wa Kiislamu wa Kiirani katika dunia ya kisasa, akisisitiza: “Maadui walitumia…
-
Ayatullah Saidii:
DuniaMaadui Wanataka Kulipiza Kupitia Kuharibifu Utamaduni Kuanzia Qum; Umoja ni Nguzo ya Kimkakati Kwenye Jamii
Hawza/ Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Qom alisema: Neno la Imam Khomeini la kuhamasisha mapambano dhidi ya dhuluma na ubeberu lilitoka Qom na lilitikisa majumba ya mabeberu, Sasa Ulaya, Marekani…
-
Ayatullah Saiidi katika Swala ya Ijumaa mjini Qom:
DuniaUstahimilivu ni somo kubwa la Arubaini katika zama zetu za leo
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa Qom amesema: Arubaini ina mafunzo makubwa, na miongoni mwa mafunzo hayo ni ustahimilivu. Imam Hussein (as) kupitia harakati yake alibainisha kwamba; kipimo…
-
Ayatullah Saiidi katika Swala ya Ijumaa ya Qom:
DuniaArubaini ya Imam Hussein (as), ni alama ya umoja wa Umma wa Kiislamu/ Mshikamano wa wananchi umeidhalilisha Marekani na Wazayuni
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Qom amesema kuwa; Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi alikuwa akiitazama Swala ya Ijumaa kuwa ni kiungo muhimu katika mlolongo wa nguvu laini (Soft Power) wa…
-
Ayatullah Saidii:
DuniaBaadhi wanapaswa kujinasua kutoka katika dhana potofu ya kushikamana na mazungumzo yasiyo na manufaa na yenye madhara
Hawza/ Imamu wa Swala ya Ijumaa wa mji wa Qum amesema: Baadhi wanapaswa kujinasua kutoka katika dhana potofu ya kushikamana na mazungumzo yasiyo na manufaa na yenye madhara, kwa kuwa kufanya…
-
Ayatullah Saeedi katika Hotuba ya Swala ya Ijumaa Qom:
DuniaMazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ni Uwekezaji wa Kimkakati kwa Mustakabali
Hawza / Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Qom amesema: Shughuli za mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ni uwekezaji wa kimkakati kwa ajili ya mustakabali na ni chanzo cha nishati kwa harakati…
-
Ayatullah Saidi katika Swala ya Ijumaa ya Qum:
DuniaKwa kumfuata Hadhrat Abbas (as), tuko tayari kutii amri za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Mafunzo 4 ya Suratul-Fath katika zama za leo
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum amesema: Kwa kuzingatia historia ya Marekani, tunajua kwamba haitekelezi ahadi zake, lakini kwa kuheshimu maelekezo ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, tumedumisha…
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum alisema:
DuniaNjia sita za kukabiliana na vita mchanganyiko vya adui katika ujumbe wa mwisho wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Adui ameielekeza nguvu yake katika maeneo mawili nyeti na ya kimkakati, na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ametoa njia sita za kukabiliana nayo ambazo…
-
DuniaSimulizi ya Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Qom Iran, kuhusu usiku wa kuchaguliwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Kutii na kutekeleza amri za kiongozi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa mjini Qom alisema: Baraza la Wataalamu wa Uongozi lilikutana usiku wa tarehe 19 Ramadhani, mmoja wa wajumbe wa ofisi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu…
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum Iran:
DuniaKhorramshahr yetu ya leo ni kuulinda Mlango wa Hormuz na kuvunja utukufu wa Marekani/ Adui anajitahidi kuigawanya jamii katika makundi mawili na kueneza mifarakano katika mikusanyiko
Hawza/Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisisitiza kuwa: Imam mtukufu marehemu alisema: “Khorramshahr aliikomboa Mwenyezi Mungu.” Hii ni kanuni kwamba kila mahali tuliposimama kwa mapambano…
-
Ayatullah Saeedi katika Swala ya Ijumaa ya Qum:
DuniaHatutaondoka barabarani mpaka adui ashindwe kikamilifu
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum, huku akirejelea umuhimu wa uwepo wa wananchi mitaani, alisema: Leo kwa amri ya Walii Faqihi hatutaondoka mitaani mpaka tutakapowapigisha magoti maadui…
-
Ayatullah Sa‘idi katika Swala ya Ijumaa ya Qom afafanua:
DuniaMhimili 10 ya kimkakati ya ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kutokana na mnasaba wa Siku ya Ghuba ya Uajemi/ Iran inaidhalilisha Marekani
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom alielezea mihimili 10 ya kimkakati ya ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kutokana na mnasaba wa Siku ya Ghuba ya Uajemi na akasisitiza hoja…
-
Ayatullah Saeedi katika Swala ya Ijumaa ya Qom Iran:
DuniaIkiwa tutasuasua katika usimamizi wa Mlango wa Hormuz, wengine wataingia/ Diplomasia ya kujibu tu imekatazwa
Hawza/ Imamu wa Ijumaa wa Qom, huku akibainisha kuwa; Iran inapaswa kuchukua hatua ya awali katika Mlango wa Hormuz na kutoka katika hali ya kujibu tu kwenda katika hali ya kuwa mbunifu, mtunga…
-
Ayatullah Saeedi katika Swala ya Ijumaa ya Qom:
DuniaTaifa la Iran limebadilisha mlinganyo wa nguvu duniani /Wanadiplomasia wawadhalilishe maadui
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema: Kama vile majeshi yetu yanavyolenga shabaha zake kwa usahihi wa hali ya juu (kupiga kwa nukta maalumu), vivyo hivyo maafisa wa diplomasia wanapaswa…
-
Ayatullah Saeedi katika swala ya Ijumaa Qom Iran:
DuniaHatutompa Trump Nafasi ya Kuamua Hatima ya Vita
Hawza/ Khatibu ya Ijumaa Qom, huku akibainisha kuwa Iran haitoweza kumpa Trump msaliti ruhusa ya kuamua hatima ya vita, alisema: Marekani, Magharibi na wote waliokuwa wakitumia Mlango wa Hormoz…
-
Ayatollah Saeedi katika swala ya Eid al-Fitr:
DuniaTaifa la Iran litasimama juu ya ahadi yake kwenye Wilayat al-Faqih hadi mwisho wa uhai
Hawza/ Imamu wa Ijumaa wa Qom Iran, huku akibainisha kwamba muumini lazima atimize ahadi na kiapo chake, alisema: Mwaka huu, ambapo kwa shahada ya kiongozi wetu mpendwa, uongozi wa mambo ya waumini…
-
Ayatollah Sa‘idi:
DuniaMpango wa Marekani kwa Iran katika matukio ya hivi karibuni ulikuwa na muundo unaofanana na Venezuela
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Katika matukio ya hivi karibuni, mpango mkuu wa Marekani ulikuwa na mfano unaofanana na ule wa Venezuela. Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliwafikishia…
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Qom Iran:
DuniaMaktaba ya Fātimiyya ndiyo uti wa mgongo wa harakati za kimungu katika historia
Hawza/ Ayatullah Sa’īdī alisema: Harakati kubwa za kimungu katika historia zimejengeka juu ya malezi, uongofu na mfumo wa fikra wa maktaba ya Fātimiyya.
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa Qom Iran:
DuniaMakubaliano na Marekani ni sawa na kukubali udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti – Iran yenye nguvu inatimia kupitia uchumi thabiti
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: maana ya Marekani inaposema mazungumzo na makubaliano ya amani, si kitu kingine isipokuwa ni udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti mbele ya…
-
Ayatollah Saidi katika Swala ya Ijumaa ya Qom Iran:
DuniaTaifa la Iran halitakubali mazungumzo ya udhalilishaji / Iran yenye nguvu ndiyo njia pekee ya kutibu matatizo yake
Hawza / Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom alisema: Marekani na washirika wake baada ya shambulio la moja kwa moja dhidi ya vituo vya nyuklia, kwa maneno ya jeuri, walianza kuwatishia Wairani…