Ayatullah Saidii (15)
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum alisema:
DuniaNjia sita za kukabiliana na vita mchanganyiko vya adui katika ujumbe wa mwisho wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Adui ameielekeza nguvu yake katika maeneo mawili nyeti na ya kimkakati, na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ametoa njia sita za kukabiliana nayo ambazo…
-
DuniaSimulizi ya Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Qom Iran, kuhusu usiku wa kuchaguliwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Kutii na kutekeleza amri za kiongozi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa mjini Qom alisema: Baraza la Wataalamu wa Uongozi lilikutana usiku wa tarehe 19 Ramadhani, mmoja wa wajumbe wa ofisi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu…
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum Iran:
DuniaKhorramshahr yetu ya leo ni kuulinda Mlango wa Hormuz na kuvunja utukufu wa Marekani/ Adui anajitahidi kuigawanya jamii katika makundi mawili na kueneza mifarakano katika mikusanyiko
Hawza/Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisisitiza kuwa: Imam mtukufu marehemu alisema: “Khorramshahr aliikomboa Mwenyezi Mungu.” Hii ni kanuni kwamba kila mahali tuliposimama kwa mapambano…
-
Ayatullah Saeedi katika Swala ya Ijumaa ya Qum:
DuniaHatutaondoka barabarani mpaka adui ashindwe kikamilifu
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum, huku akirejelea umuhimu wa uwepo wa wananchi mitaani, alisema: Leo kwa amri ya Walii Faqihi hatutaondoka mitaani mpaka tutakapowapigisha magoti maadui…
-
Ayatullah Sa‘idi katika Swala ya Ijumaa ya Qom afafanua:
DuniaMhimili 10 ya kimkakati ya ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kutokana na mnasaba wa Siku ya Ghuba ya Uajemi/ Iran inaidhalilisha Marekani
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom alielezea mihimili 10 ya kimkakati ya ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kutokana na mnasaba wa Siku ya Ghuba ya Uajemi na akasisitiza hoja…
-
Ayatullah Saeedi katika Swala ya Ijumaa ya Qom Iran:
DuniaIkiwa tutasuasua katika usimamizi wa Mlango wa Hormuz, wengine wataingia/ Diplomasia ya kujibu tu imekatazwa
Hawza/ Imamu wa Ijumaa wa Qom, huku akibainisha kuwa; Iran inapaswa kuchukua hatua ya awali katika Mlango wa Hormuz na kutoka katika hali ya kujibu tu kwenda katika hali ya kuwa mbunifu, mtunga…
-
Ayatullah Saeedi katika Swala ya Ijumaa ya Qom:
DuniaTaifa la Iran limebadilisha mlinganyo wa nguvu duniani /Wanadiplomasia wawadhalilishe maadui
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema: Kama vile majeshi yetu yanavyolenga shabaha zake kwa usahihi wa hali ya juu (kupiga kwa nukta maalumu), vivyo hivyo maafisa wa diplomasia wanapaswa…
-
Ayatullah Saeedi katika swala ya Ijumaa Qom Iran:
DuniaHatutompa Trump Nafasi ya Kuamua Hatima ya Vita
Hawza/ Khatibu ya Ijumaa Qom, huku akibainisha kuwa Iran haitoweza kumpa Trump msaliti ruhusa ya kuamua hatima ya vita, alisema: Marekani, Magharibi na wote waliokuwa wakitumia Mlango wa Hormoz…
-
Ayatollah Saeedi katika swala ya Eid al-Fitr:
DuniaTaifa la Iran litasimama juu ya ahadi yake kwenye Wilayat al-Faqih hadi mwisho wa uhai
Hawza/ Imamu wa Ijumaa wa Qom Iran, huku akibainisha kwamba muumini lazima atimize ahadi na kiapo chake, alisema: Mwaka huu, ambapo kwa shahada ya kiongozi wetu mpendwa, uongozi wa mambo ya waumini…
-
Ayatollah Sa‘idi:
DuniaMpango wa Marekani kwa Iran katika matukio ya hivi karibuni ulikuwa na muundo unaofanana na Venezuela
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Katika matukio ya hivi karibuni, mpango mkuu wa Marekani ulikuwa na mfano unaofanana na ule wa Venezuela. Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliwafikishia…
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Qom Iran:
DuniaMaktaba ya Fātimiyya ndiyo uti wa mgongo wa harakati za kimungu katika historia
Hawza/ Ayatullah Sa’īdī alisema: Harakati kubwa za kimungu katika historia zimejengeka juu ya malezi, uongofu na mfumo wa fikra wa maktaba ya Fātimiyya.
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa Qom Iran:
DuniaMakubaliano na Marekani ni sawa na kukubali udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti – Iran yenye nguvu inatimia kupitia uchumi thabiti
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: maana ya Marekani inaposema mazungumzo na makubaliano ya amani, si kitu kingine isipokuwa ni udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti mbele ya…
-
Ayatollah Saidi katika Swala ya Ijumaa ya Qom Iran:
DuniaTaifa la Iran halitakubali mazungumzo ya udhalilishaji / Iran yenye nguvu ndiyo njia pekee ya kutibu matatizo yake
Hawza / Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom alisema: Marekani na washirika wake baada ya shambulio la moja kwa moja dhidi ya vituo vya nyuklia, kwa maneno ya jeuri, walianza kuwatishia Wairani…
-
Ayatullah Saidi katika Swala ya Ijumaa Qom, nchi Iran:
DuniaUshirikiano wa wananchi umeangamiza njama za Marekani na utawala wa Kizayuni / “Umoja” ndii suluhisho katika kuueneza Uislamu duniani
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: “Utawala wa Kizayuni ulidhani kwamba, kwa kudhoofisha imani ya wananchi na kuchichea kukata tamaa ungeweza kutikisa misingi ya serikali, lakini mshikamano…
-
Ayatullah Saidi katika khutba za Sala ya Ijumaa:
Dunia"Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom Irani, amesema: Arubaini ni harakati ya pamoja kuelekea kwa Imamu na Hujjat wa Mwenyezi Mungu, Arubaini ina uhusiano wa karibu mno na Mahdawiyya kiasi kwamba kusema…