akhlaq (9)
-
Darsa ya Akhlaq
DiniAlama ya Kwanza ya Matwaghuti na Wafuasi Wao: Kwa Nini Hatupaswi Kuhadaliwa na Matwaghuti?
Hawza/ Kwa mtazamo wa Qur’ani na Ahlul-Bayt (as), kile ambacho watu duniani wanakifanyia juhudi ili kukipata si chochote isipokuwa “hutam”; yaani, mali ya muda mfupi na inayotoweka, ambayo ni…
-
Darsa la Akhlaq | Kiongozi shahidi wa Mapinduzi:
DiniKukumbuka kuwa dunia inaisha humwacha mwanadamu huru kutokana na kushikamana nayo kupita kiasi
Hawza/ Kiongozi shahidi wa Mapinduzi akirejelea hadithi: «لِدْ لِلْمَوْتِ وَاجْمَعْ لِلْفَنَاءِ وَابْنِ لِلْخَرَابِ», alisisitiza kwamba; kila kitu ambacho mwanadamu hukikusanya duniani hatimaye…
-
DiniUfafanuzi wa Hadithi ya Akhlaq | Subira katika mitihani, utiifu na kuacha maasi kwa mujibu wa simulizi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi
Hawza/ Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi, akirejelea hadithi: «فَإِنِ اسْتَطَعْتَ أَنْ تَعْمَلَ بِالصَّبْرِ مَعَ الْیَقِینِ فَافْعَل», alifafanua maana ya subira katika nyanja tatu: mitihani, utiifu…
-
DiniDarasa la Akhla'q | Watu wenye akili zaidi kwa mtazamo wa Mtume Muhammad (saww)
Hawza/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei katika ufafanuzi wa Hadithi kutoka kwa Mtume Mtukufu (s.a.w.w.) mwanzoni mwa darsa ya Bahthul-Kharij ya Fiqhi, aliashiria umuhimu wa kuamiliana kwa upole…
-
DuniaJe! Ni mahitaji gani humfikisha mwanadamu kwenye ukamilifu?
Hawza/ Mwanadamu haitaji tu mahitaji ya kimada na ya kihayawani, bali ana hitaji la juu zaidi nalo ni kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, lengo la mwisho la Mitume na Uislamu pia ni kumtambua Mwenyezi…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani Katika Darsa la Akhlaq:
DiniElimu Ambayo Haiwahudumii Watu ni Sawa na Ujinga/ Mashindano ya Silaha ni Alama ya Ujinga
Hawza/ Pamoja na kutetea elimu, jihadharini; elimu inayopaswa kuenea ni ile ambayo itaiokoa jamii na kuipeleka kwenye daraja la ubinadamu. Lakini elimu inayosababisha binadamu kuwaua binadamu…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
DiniWito wa kuonana na Malakuti ni heshima ya juu kabisa kwa mwanadamu/ kufunguliwa njia ya kuwa arif
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amuli amesisitiza: Qur’ani ni kitabu cha adabu na kinaonesha heshima kamili kwa mwanadamu. Mwenyezi Mungu anasema: (فَاتَّبِعُوا مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا),…
-
DiniAyatullahul-‘Uzma Jawadi Amuli: Jamii inaongozwa na maadili, si kwa elimu pekee
Hawza/ Mtume Mtukufu (saww) pamoja na kuwa na elimu pana, alisifiwa kwa sababu ya maadili yake adhim; kwani jamii inaongozwa na maadili, si kwa elimu pekee. Watu waliongozwa na mwenendo wa Mtume,…
-
DuniaKwa nini uongo na kiburi hiki chote?
Hawza / Ulimwengu umejaa uzuri, mpangilio na nuru. Hata hivyo, mwanadamu kwa kujikita katika sura ya nje, kuchanganyikiwa kwa mawazo, na kusema uongo, anavuruga njia ya kimaumbile (fitra) na…