Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah (16)
-
Msaidizi wa Kimataifa wa Hawza:
DuniaKile tulichokiona Lebanon ni Hizbullah imara, yenye mshikamano na muundo madhubuti wa kiuongozi
Hawza/ Msaidizi wa kimataifa wa hawza ameeleza shughuli za ujumbe wa kielimu uliotumwa kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki kwenye kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama nchini Lebanon:
DuniaKulinda Muqawama na damu za Mashahidi ni amana iliyopo shingoni mwetu
Hawza / Hospitali ya Darul-Hikma huko Baalbek imeadhimisha kumbukumbu ya mwaka wa shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah, Sayyid Hashim Safiuddīn, pamoja na mashahidi watatu.
-
Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza akiwa Baalbek:
DuniaKutoa heshima kwa Shahidi Musawi na kusisitiza Mazungumzo ya Muqawama nchini Lebanon
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Hussein Kuhsari, Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza, katika kuendeleza ziara yake nchini Lebanon, ametembelea eneo la Bekaa na mji wa kihistoria…
-
Balozi wa Zamani wa Iran Nchini Lebanon:
DuniaShahada ya dhulma ya Nasrallah Imeandaa Mazingira ya Kuimarika kwa Jabhatu’l-Muqawama
Hawza / Balozi wa zamani wa Iran nchini Lebanon amebainisha kuwa: Sayyid Hassan Nasrallah ni mtu mkubwa ambaye shahada yake ya kidhulma imeifanya Jabhatu’l-Muqawama kuwa hai zaidi na yenye nguvu…
-
DuniaUjumbe wa Hawza kutoka Qom Iran Watembelea Nyumba za Mashahidi wa Hizbullah
Hawza / Ujumbe wa Hawza wa Jamhuri ya Kiislamu Iran, ukiwa katika miji ya Lebanon, ulizitembelea na kuziheshimu familia za mashahidi watatu wa Hizbullah.
-
Mwanazuoni wa Pakistan:
DuniaSayyid Hassan Nasrullah kwa Kutumia Maisha Yake Katika Njia ya Haki, Aliigeuza Shahada Kuwa Heshima Kubwa Zaidi Yake
Hawza / Hujjatul-Islam Sheikh Muhammad Jawad Hafizi, katika mkutano wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa Shahidi wa Muqawama Sayyid Hassan Nasrullah, aliiita shahada kuwa ni daraja ya juu zaidi,…
-
Kumbukumbu ya Sayyid Hassan Nasrallah na makamanda wa muqawama nchini Afrika Kusini:
DuniaKusisitizwa kuendelezwa kwa njia ya mashahidi
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid Hashim Safiuddin, hafla ya kumbukumbu imefanyika nchini Afrika Kusini kwa kuhudhuriwa…
-
Ayatollah Khatami katika Haram Tukufu Bibi Masuma
DuniaKusitisha au kuahirisha urutubishaji ni sawa na kujisaliisha taifa la Iran / Kumbukumbu ya Sayyid Hassan Nasrallah ni sehemu ya kuendelea kwa muqawama
Hawza/ Ayatollah Khatami alisema: urithi uliobaki kutoka kwa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah kwenye ulimwengu wa Kiislamu ni njia ya muqawama, na utajiri wa kiroho aliouacha ni ule utakaouendeleza…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaShahada ya Sayyid Hassan Nasrullah imefungua ukurasa mpya wa kuunga mkono jukwaa la mapambano
Hawzah / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi Sayyid Hassan Nasrallah, amesema: Damu…
-
Rais wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
DuniaMapambano ni urithi wa milele wa Sayyid Hassan Nasrullah kwa ajili ya mustakabali wa Umma wa Kiislamu
Hawzah / Seneta Raja Nasir Abbas Jafari katika mkutano wa “Mashaahidi wa Umma” amesisitiza kuwa: Ni jukwaa la mapambano pekee ndilo linalolinda Umma wa Kiislamu dhidi ya njama za ubeberu.
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen:
DuniaSayyid Hassan Nasrullah ni shahidi wa Uislamu na ubinadamu
Hawza/ Sayyid Abdulmalik Badreddin, kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen, katika hotuba yake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya shahada ya Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa…
-
Mjumbe Mwandamizi wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu Lebanon:
DuniaWajibu wetu ni kutekeleza majukumu na kupambana na adui
Hawza/ Sheikh Hassan Abdullah alisema: “Wapo baadhi ya watu leo wanaodhani kwamba tumeshindwa, sisi katu hatujashindwa, kushindwa ni pale tu ambapo adui anafanikisha malengo yake.”
-
Sheikh Naeem Qasim:
DuniaKamwe hatutaacha silaha za muqawama
Hawza / Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon katika sherehe za kumbukumbu ya mwaka wa kwanza tangia kupata shahada Sayyid Hassan Nasrullah na Sayyid Hashim Safiuddin mjini Beirut alisema: “Ewe Nasrullah,…
-
Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom Iran:
DuniaNjia na Madhehebu ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah bado ipo hai / Hizbullah haitawaacha Wazayuni
Hawza/ Njia ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na madhehebu yake bado ipo hai, na moyo na nafsi za wafuasi wake zinasukumwa kuielekea harakati, jihadi na maendeleo, bila shaka, mkono wa nguvu…
-
Kuhuisha kumbukumbu ya Sayyid wa Muqawama:
DuniaKuanzia mapenzi maalumu ya Shahidi Nasrallah kwa Wairani hadi ahadi ya Imam Khomeini (r.a) kwa Sayyid wa Muqawama
Hawza/ Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah: “Tangia mwanzo yalikuwepo mapenzi na upendo kati yangu na ndugu zangu Wairani, marafiki zangu walikuwa wakiniambia: wewe unawapenda Wairani na Wairani…
-
Ayatollah Arafi katika uzinduzi wa bango la kongamano la Sayyid al-Shuhada wa Muqawama:
HawzaShahidi Nasrallah ni shule ya kifikra na ya kimapinduzi yenye athari ya kiistratejia / “Umanau al-Rusul”; hatua ya kuwafahamisha vijana urithi wa kihistoria
Hawza/ Ayatollah Arafi, akisisitiza nafasi maalumu ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah (r.a.), amemtaja si tu kama kamanda na kiongozi mashuhuri wa muqawama, bali pia kama mmiliki wa shule ya…