Papa Leon wa kumi na nne (19)
-
DuniaWito wa Papa wa Kuiokoa Ghaza; Wananchi Bado Wako Katika Mateso
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne ameonya kuhusu kuendelea kwa mgogoro wa kibinadamu huko Ghaza na kuwataka viongozi wote wenye dhamana kuwezesha haraka njia za utoaji misaada na ujenzi upya wa…
-
DuniaVatican Yaingia Katika Mjadala wa Akili Mnemba; Papa Leo wa Kumi na Nne Aonya Kuhusu Ukiritimba wa Teknolojia
Hawza/ Waraka wa kwanza wa Kanisa uliotolewa na Papa Leo wa Kumi na Nne umejikita katika suala la akili mnemba (AI) na umeonya kuhusu mkusanyiko wa nguvu za kiteknolojia mikononi mwa kampuni…
-
DuniaBalozi wa Iran Vatican ametunukiwa tuzo ya juu zaidi ya kidiplomasia ya Papa
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne amemtunuku Dkt. Mohammad Hussein Mukhtari, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Kiti Kitakatifu cha Vatican, tuzo ya juu zaidi ya heshima ya kidiplomasia…
-
DuniaAyatollah Aṙāki amshukuru Papa Leo XIV kwa misimamo ya kishujaa/ Kufuata Injili maana yake ni kusimama dhidi ya dhana ya uongo ya nguvu za kibabe
Ayatullah Aṙāki katika barua aliyomwandikia Papa Leon XIV, kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki, ameandika: Wakati ulipotaja vitisho vya “kuangamizwa kwa ustaarabu mzima” na “uvamizi wa nchi nyingine”…
-
DuniaRadi amali ya Ayatullah Jawadi Amoli kuhusu kumdhalilisha Papa/ Heshima ya viongozi wa kidini duniani lazima ihifadhiwe
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli katika ujumbe wake alielezea masikitiko yake juu ya dharau iliyofanywa na Rais wa Marekani dhidi ya Papa Leo wa Kumi na Nne, kiongozi mkuu wa Wakatoliki…
-
DuniaUkosoaji mpya wa Papa dhidi ya Trump na Netanyahu: Dunia inaharibiwa mikononi mwa madikteta wachache
Hawza/ Kufuatia matamshi ya hivi karibuni ya Donald Trump kuhusu vita dhidi ya Iran na kuongezeka kwa mvutano kutoka Washington na Tel Aviv, Papa amewalaani viongozi wanaotumia dini vibaya ili…
-
DuniaPapa alimjibu Trump kwa njia ya mafumbo na kumfedhehesha
Hawza/ Papa alimjibu Trump: Vita, vurugu, dhulma na uongo huumiza moyo wa Mwenyezi Mungu.
-
DuniaBarua ya shukrani ya Ayatullah Rajabi kwa misimamo ya Papa Leon wa Kumi na Nne / Trump ni Firauni wa zama hizi
Hawza/ Rais wa Taasisi ya Elimu na Utafiti ya Imam Khomeini (rh), huku akilaani matusi ya Trump mhalifu dhidi ya kiongozi wa Wakristo wa dunia, alitahadharisha kwamba; iwapo wafuasi wa Nabii…
-
Ayatollah Arafi katika barua yake ya kumshukuru Papa wa kumi na nne:
HawzaKiongozi mtukufu wa Kanisa Katoliki duniani; sisi wana hawza tunathamini misimamo hii ya kimaadili na kibinadamu mliyoionesha, na tunaamini hivyo, umeendelea kubaki mwaminifu kwa ujumbe wa kweli wa Ukristo
Hawza/ Katika zama ambazo ukimya mbele ya dhulma umegeuka kuwa lugha ya kawaida ya wenye nguvu na wale wanaodai haki za binadamu, na viongozi wengi duniani wamenyamaza au katika mizunguko ya…
-
DuniaPapa Amemjibu Vipi Waziri wa Vita wa Marekani?
Hawza/ Kauli za Papa zimezua mjadala mkubwa kutokana na mvutano wa hivi karibuni, na wakati huo huo, utata kuhusu matumizi ya lugha ya kidini na baadhi ya maofisa wa Marekani kutetea vitendo…
-
DuniaUhalifu wa Israel umefanya Papa aungane na wanaoiunga mkono Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne huko Vatican alitoa wito wa kukomesha mateso na manyanyaso dhidi ya watu wa Ukanda wa Ghaza, hususan wale wanaoishi katika mahema na maeneo ya makazi ya muda chini…
-
DuniaPapa Ashiriki Katika Kikao Kilicho Husisha Dini Tofauti Katika Mji wa Beirut
Hawza/ Kikao kati ya Waislamu na Wakristo kilifanyika katika Uwanja wa Mashahid wa Beirut, na Papa Leo pia alishiriki katika mkutano huo. Baada ya kuwasili kwake, alikaribishwa na wanazuoni wa…
-
DuniaKipi Kilijiri Katika Mazungumzo Kati ya Sheikh Al-Khatib na Papa Laon?
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Waislamu wa Kishia wa Lebanon alisema katika mazungumzo yake na Papa: Utamaduni wetu wa kiroho umejengwa juu ya undugu wa kibinadamu; nasi…
-
DuniaUtawala wa Kizayuni Waendeleza Mashambulizi Huko Dhahiya ya Kusini sambamba na safari ya Papa Lebanon
Hawza/ Utawala wa Kizayuni uliendelea na mashambulizi yake dhidi ya maeneo ya kusini mwa Lebanon; mashambulizi haya yalifanyika sambamba na safari ya Papa Leon wa Kumi na Nne kuelekea Lebanon.
-
DuniaZiara ya Kwanza ya Papa Leo Katika Msikiti Maarufu wa Istanbul
Hawza/ Papa Leo pamoja na ujumbe wake wametembelea kwa mara ya kwanza Msikiti maarufu nchini Uturuki unaojulikana kwa jina la Msikiti wa Bluu.
-
DuniaPapa Leo: Waandishi wa Habari wa Ghaza Wako Mstari wa Mbele wa Kuusambaza Ukweli
Hawza/ Papa Leo, katika hotuba yake ya Alhamisi, aliwaheshimu waandishi wa habari mashahidi Ghaza na kusema kwamba; wao wako mstari wa mbele katika kufikisha sauti ya ukweli kutoka maeneo ya…
-
DuniaHali Mbaya Sana ya Ghaza Yamshtua Papa
Hawza/ Papa, katika hotuba yake, alieleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu hali ya Ghaza na kusema kuwa; daima anaomba hili suala la Ghaza liishe kwa heri
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaMheshimiwa Papa; Je, ikiwa Nabii Isa (as) angelikuwepo, angeweza kustahimili hali ya kutisha ya Ghaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni?
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamedani katika barua yake kwa Papa amesema: Katika hali hii ya kutisha ya Ghaza, je, ikiwa Manabii wa Mwenyezi Mungu kama Nabii Isa (as) na Nabii Muhammad (saw)…
-
DuniaPapa ataka kukomeshwa unyama unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa kumi na nne, huku akielezea masikitiko yake juu ya shambulio la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya kanisa la Kikatoliki katika Ukanda wa Ghaza, ametoa wito wa…