Matembezi ya Arobaini (11)
-
DuniaMshikamano kati ya Wanazuoni wa Kishia na Kisunni nchini Bangladeshi katika Kuiheshimu Arubaini ya Imam Husein (a.s.)
Hawza/ Kwa mara ya kwanza nchini Bangladeshi, wanazuoni wa Kishia na Kisunni wameungana kwa pamoja katika kugawa tabarruk za Imam Husein (a.s.) katika mji wa Khulna; hatua ambayo ni ishara ya…
-
Kwa kutegemea mfumo sahihi wa kuhesabu kielektroniki;
DuniaAtaba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) yatangaza idadi ya mazuwari waliohudhuria katika Ziara ya Arubaini mwaka huu
Hawza/ Ataba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) imetangaza uwepo wa zaidi ya mazuwari milioni 21 kwenye maadhimisho ya ziara ya Arubaini, taarifa hii imetolewa kwa kutumia mfumo sahihi wa kuhesabu…
-
HawzaHawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq
Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza, sambamba na kuthamini uwepo wa mamilioni ya waty katika tukio hili kubwa la kimungu na kistaarabu la Arubaini, na pia kutoa shukrani zake kutokana na ukarimu…
-
Ayatullah Saidi katika khutba za Sala ya Ijumaa:
Dunia"Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom Irani, amesema: Arubaini ni harakati ya pamoja kuelekea kwa Imamu na Hujjat wa Mwenyezi Mungu, Arubaini ina uhusiano wa karibu mno na Mahdawiyya kiasi kwamba kusema…
-
Ayatollah Al-Udhma Makarim Shirazi:
DuniaArubaini ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na utu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Makarim amesisitiza kuwa: Arubaini si matembezi tu; ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na ubinadamu ambayo haina mfano wowote duniani.
-
Ayatullah Al-Udhma Jawad Amuli:
Dunia Lengo Kuu la Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) Lilikuwa ni Kufundisha na Kuwatakasha watu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amuli amesema: Ziara ya Arubaini humwondoa mwanadamu katika tabia ya kuwa na huzuni ya kupita kiasi, pupa na ubinafsi wa kuzuia mema, na lengo kuu la…
-
DuniaMaukibu (Hema) ya kupinga uzayuni katika njia ya kuelekea kwenye Arubaini ya Imam Husein (as); Maonyesho ya jinai zinazofanywa na Marekani kwenye nguzo ya 794
Hawza/ Kwenye njia ya matembezi ya Arubaini, karibu na nguzo ya 794, kumewekwa hema (Maukibu) tofauti yenye sura ya maonyesho ya kimataifa; mahali ambapo picha na vielelezo vya jinai za utawala…
-
DuniaUwepo wa kuvutia wa mazuwari wa Nigeria katika matembezi ya Arubaini ya Imam Husein (as)
Hawza/ Kikosi cha mazuwari wa kinigeria, kutokana na juhudi za Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, kimeshiriki kwenye matembezi ya Arubaini.
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sistani Ulaya: Arubaini ya Husseini; Ujumbe wa mwamko, uaminifu na kusimama imara mbele ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Murtadha Kashmiri, mwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani katika bara la Ulaya, katika ujumbe wake kwa mazuwari wa Arubaini amesisitiza…
-
DuniaAkili Mnemba Katika kutoa Huduma kwenye Arbaeen ya Hussein
Hawza/ Leo, badala ya kulalamikia vikwazo vya vyombo vya habari, inapaswa kutumika akili mnemba kwa ajili ya kuunda “chombo cha habari huru na chenye akili”; chombo cha habari ambacho kitaweza…
-
DuniaSheikh Zakzaky awapokea mazuwari wa Kinigeria kabla ya kuondoka kuelekea matembezi ya Arubaini ya Husein (as)
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Ibrahim Zakzaky, amewapokea mahujaji wote wa Nigeria wanaokusudia kuelekea Karbala katika siku za Arubaini ya Husein, kabla ya kuondoka kwao…