Mafunzo katika Qurani (4)
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DiniKwa nini uaminifu ni muhimu zaidi kuliko swala ndefu?
Hawza/ “Msitazame mtu kwa urefu wa swala zake, bali tazameni uaminifu wake.” Kauli hii ya Imam Sadiq (as) inaonesha kwamba uaminifu ndicho kipimo cha msingi cha kumtambua mtu.
-
Mafunzo katika Qur'ani:
DiniKwa nini tunapaswa kumkimbilia Mwenyezi Mungu? / Qur’ani inajibu Swali la Aflaton
Hawza/ Aflaton, anaufananisha ulimwengu na upinde wa mshale, ambapo Mungu ndiye mpiga mshale na binadamu ndiye shabaha. Lakini tofauti na uwindaji mwingine wote, njia pekee ya kuokoka katika…
-
Mafunzo katika Qur'ani:
DiniKwa Amali hii mshindeni shetani
Hawza/ Qur’ani Tukufu kwa kusisitiza juu ya maneno mazuri, inatufundisha kwamba kauli nzuri si tu kwamba inapanda mbegu za mapenzi katika nyoyo, bali pia inazuia unafiki na uadui, kinyume chake…
-
Mafunzo katika Qur'ani:
DiniKurejesha Ubaya kwa Wema
Hawza/ Kuishi vizuri na watu si fadhila za kimaadili tu, bali ni njia ya uongofu na kumbadilisha adui kuwa urafiki, kisa cha mtu kutoka Shamu na muamala wa upole wa Imam Hasan (a.s) ni mfano…