Madrasa na hawza ya Imaam Swadiq (as) (13)
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaAmani, Umoja na Mshikamano wa Taifa ni Nguzo Kuu Inayopaswa Kuenziwa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania amewaomba wananchi na waumini wote nchini kuendelea kuilinda amani ya taifa, kudumisha umoja wa wananchi pamoja na kuimarisha mshikamano wa kijamii kama…
-
Kaimu Mkurugenzi wa Hawza ya Imaam Swa’adiq (as) Katika Ujumbe wake wa Hijjah:
DuniaViongozi tengeni Muda katika Kusikiliza Kero za Wananchi Wenu
Hawza/ Katika mwendelezo wa miongozo ya kiroho na kijamii iliyotolewa katika Ujumbe Maalum wa Hijja wa mwaka huu 2026, Kaimu Mkurugenzi wa Hawza ya Imaam Swa’adiq (as) iliyopo jijini Dar es Salaam,…
-
DuniaMahafali ya Qur’ani Yafanyika Tanzania kwa Ajili ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani + Picha
Hawza/ Katika hali ya furaha, utulivu na matarajio mema ya kiroho, Mahafali kubwa ya Qur’ani Tukufu imefanyika nchini Tanzania kwa lengo la kuukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania:
DuniaIbada tano muhimu zinazohimizwa kufanywa ndani ya Mwezi wa Rajabu
Hawza/ Mwanazuoni mashuhuri nchini Tanzania, Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) na Mkurugenzi wa Hawza ya Imam Swaadiq (a.s), amesisitiza…
-
Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania:
DuniaMwezi wa Rajabu ni Mwezi wa Amani, Huruma na Kufanya Ibada
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) amesisitiza kuwa mwezi wa Rajabu ni kipindi maalum cha amani, utulivu, na kufanya ibada, aliyasema hayo wakati akihutubia kwenye…
-
DuniaSheikh Jalala Afanya Ziara ya Kushtukiza Katika Markaz ya Imam Ridhwa (a.s) Arusha Tanzania + Picha
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameendelea na ziara zake mkoani Arusha ambapo leo tareh 6 December amefanya ziara ya kushtukiza…
-
DuniaHawza ya Imam Swa'diq Kigogo yatangaza kuanza usajili wa masomo kwa mwaka 2026
Hawza ya Imam Swa'diq (AS), iliyopo eneo la Kigogo Post jijini Dar es Salaam, imetangaza rasmi kuanza kwa utaratibu wa usajili mpya wa wanafunzi kwa mwaka 2026, kwa lengo la kuwapokea vijana…
-
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC):
DuniaAmani na Maadili Mema ndio Utambulisho halisi wa Mtanzania
Hawza/ Katika kongamano maalumu la amani lililofanyika nchini Tanzania, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) alitoa hotuba yenye kugusa moyo kuhusu umuhimu wa kulinda misingi…
-
DuniaSheik Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) ahudhuria hafla ya utangulizi wa maulidi mkoani Arusha
Hawza/ Jumamosi ya jana ambayo ni sawa na taeh 11 Oktoba, Sheik Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) alihudhuria hafla ya utangulizi wa maulidi iliyofanyika Mkoani Arusha.
-
DuniaHauli ya Marehemu Sheikh Abdallah Seifu yafanyika Mnang'ole Lindi
Hawza/ Hauli ya aliekuwa Sheikh wa kwanza wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC), Hayati Sheikh Abdallah Seifu Linganaweka Imefanyika jana Jumamosi kijijini kwake Mnong'ole Lindi.
-
DuniaPicha/ Maulidi ya Kitaifa yafanywa na Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC)
Hawza/ Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC), ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), chini ya usimamizi wa Samaht Sheikh Jalala Hemedi Mwakindenge, usiku wa kuamkia leo zimeadhimisha…
-
DuniaMaulidi ya kinamama yafanyika nchini Tanzania
Hawza/ Jumuiya ya Shiya Ithnaasharia Tanzania (TIC) ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), ambayo makazi yake makuu yapo Kigogo Post jijini Daresalam, jana iliadhimisha hafla kubwa ya…
-
DuniaTanzania Ithnaasharia Community (TIC) yatangaza Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) ya Mwaka huu
Hawza/ Tanzania Ithnaasharia Community ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as) wametoa tangazo rasmi la Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) mwaka huu wa 2025