Madrasa na hawza ya Imaam Swadiq (as) (9)
-
DuniaSheikh Jalala Afanya Ziara ya Kushtukiza Katika Markaz ya Imam Ridhwa (a.s) Arusha Tanzania + Picha
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameendelea na ziara zake mkoani Arusha ambapo leo tareh 6 December amefanya ziara ya kushtukiza…
-
DuniaHawza ya Imam Swa'diq Kigogo yatangaza kuanza usajili wa masomo kwa mwaka 2026
Hawza ya Imam Swa'diq (AS), iliyopo eneo la Kigogo Post jijini Dar es Salaam, imetangaza rasmi kuanza kwa utaratibu wa usajili mpya wa wanafunzi kwa mwaka 2026, kwa lengo la kuwapokea vijana…
-
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC):
DuniaAmani na Maadili Mema ndio Utambulisho halisi wa Mtanzania
Hawza/ Katika kongamano maalumu la amani lililofanyika nchini Tanzania, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) alitoa hotuba yenye kugusa moyo kuhusu umuhimu wa kulinda misingi…
-
DuniaSheik Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) ahudhuria hafla ya utangulizi wa maulidi mkoani Arusha
Hawza/ Jumamosi ya jana ambayo ni sawa na taeh 11 Oktoba, Sheik Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) alihudhuria hafla ya utangulizi wa maulidi iliyofanyika Mkoani Arusha.
-
DuniaHauli ya Marehemu Sheikh Abdallah Seifu yafanyika Mnang'ole Lindi
Hawza/ Hauli ya aliekuwa Sheikh wa kwanza wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC), Hayati Sheikh Abdallah Seifu Linganaweka Imefanyika jana Jumamosi kijijini kwake Mnong'ole Lindi.
-
DuniaPicha/ Maulidi ya Kitaifa yafanywa na Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC)
Hawza/ Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC), ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), chini ya usimamizi wa Samaht Sheikh Jalala Hemedi Mwakindenge, usiku wa kuamkia leo zimeadhimisha…
-
DuniaMaulidi ya kinamama yafanyika nchini Tanzania
Hawza/ Jumuiya ya Shiya Ithnaasharia Tanzania (TIC) ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), ambayo makazi yake makuu yapo Kigogo Post jijini Daresalam, jana iliadhimisha hafla kubwa ya…
-
DuniaTanzania Ithnaasharia Community (TIC) yatangaza Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) ya Mwaka huu
Hawza/ Tanzania Ithnaasharia Community ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as) wametoa tangazo rasmi la Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) mwaka huu wa 2025
-
DuniaHawza ya Imaam Swadiq (as) yapokea ugeni kutoka katika maktaba ya Sayyed Hakim (ra) Najaf Ashraf nchini Iraqi
Hawza/ Madrasa na hawza ya Imaam Swadiq (as) leo hii imepokea ugeni mzito kutoka katika Maktaba ya Sayyid Hakim (ra), na ugeni huo umekaribishwa vizuri katika hawza hiyo.