Haki za binadamu (22)
-
DuniaMtangazaji wa televisheni wa Kuwait ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu kwa tuhuma za kuiunga mkono Iran
Hawza / Mamlaka ya mahakama ya Kuwait imethibitisha hukumu iliyotolewa dhidi ya Zainab Dashti, mtangazaji wa televisheni rasmi ya Kuwait.
-
DuniaSauti ya Mafunzo ya Qur’ani Yavuma Ndani ya Magofu ya Ghaza
Hawza/ Katikati ya magofu yaliyosababishwa na vita na mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel huko Ghaza, Shule ya Qur’ani ya Nur katika mji wa Khan Yunis imeunda mazingira ya utulivu wa kiroho…
-
DuniaLengo la Serikali ya Bahrain ni Kuondoa Madhehebu ya Shia Nchini Bahrain
Hawza/ Jumuiya ya Kiislamu ya Al-Wefaq ya Taifa la Bahrain imesisitiza kwamba; juhudi za utawala wa Bahrain za kuonyesha ibada na nembo za dini kuwa ni vitendo vya uhalifu, pamoja na kuhusisha…
-
DuniaWito wa Kampeni ya Kimataifa ya Kutetea Haki za Wafungwa wa Palestina
Hawza/ Makundi ya kimataifa yanayotetea haki za binadamu yameanzisha kampeni mpya na kuyataka makumi ya nchi kuingilia kati kuhusu hali mbaya na kuzuiliwa maelfu ya Wapalestina wasio na hatia…
-
DuniaUkandamizaji wa Mfululizo Dhidi ya Mashia wa Bahrain; Maombolezo katika Kisiwa Hiki Kidogo Yamepigwa Marufuku
Hawza/ Ukandamizaji huu mkali umeelekezwa dhidi ya shakhsia mashuhuri na wafuasi wa jamii ya kidini ya Mashia katika kisiwa hiki kidogo cha Ghuba ya Uajemi.
-
DuniaUtekelezaji wa Aina Mpya ya ubaguzi nchini Bahrain; Kufungwa Jela kwa Sababu ya Madhehebu
Hawza/ Latifa Al-Husseini, mwandishi na mwanahabari wa Lebanon, aliandika: Nchini Bahrain, ili kugusa maumivu na mapigo ya mioyo ya watu si lazima mtu awe na uraia wa nchi hiyo au awe raia wa…
-
DuniaKurejea kwa Marekani katika zama za utumwa
Hawza/ maelfu ya wanaharakati wa kiraia walipinga kupunguzwa kwa haki za kupiga kura za watu weusi na mabadiliko ya mipaka ya maeneo ya uchaguzi.
-
Katika taarifa ya Majma’ ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) ilisisitizwa:
DuniaKunyang’anywa uraia wananchi wa Bahrain ni ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu
Hawza/ Majma’ ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kwa kutoa taarifa rasmi, imelaani hatua ya utawala wa Aal Khalifa ya kufuta uraia wa makumi ya wananchi pamoja na kuwakamata baadhi ya wanazuoni…
-
DuniaTaarifa ya Makao Makuu ya Haki za Binadamu kulaani ukiukwaji mkubwa wa haki za msingi za watoto wa Kiirani huko Imarati
Hawza/ Makao Makuu ya Haki za Binadamu imetoa taarifa rasmi yakulaani hatua ya Imarati ya kufuta leseni za shughuli za shule za Kiirani na kuwafukuza wanafunzi kutoka katika mazingira ya elimu,…
-
DuniaChuki dhidi ya Wakristo yaongezeka nchini Israel
Hawza/ Ripoti zinaonesha kutokea kwa tukio jipya la mashambulizi ya kimfumo ya Waisraeli dhidi ya Wakristo, ambapo katika tukio hilo, mtawa mmoja alishambuliwa upande wa Quds ya Mashariki inayokaliwa…
-
DuniaBaraza la Wanazuoni wa Kishia Afghanistan lalaani mauaji ya halaiki ya Mashia nchini humo
Hawza/ Baraza la Wanazuoni wa Kishia Afghanistan limetaja shambulio dhidi ya raia wasio na silaha huko Harat kuwa ni muendelezo wa mauaji ya kimfumo dhidi ya Mashia, na limetaka wahusika watambuliwe…
-
Sheikh Issa Qasim:
DuniaKuuawa kishahidi na kuteswa Sayyid Mousawi ni kuihudumia dhulma ya kimataifa na “kunyonya damu” za watu wema duniani
Hawza/ Sheikh Issa Qasim, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Bahrain, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kuuawa kishahidi kwa Sayyid Muhammad Mousawi chini ya mateso mabaya ya Wizara ya Mambo…
-
DuniaKikundi Kazi cha Umoja wa Mataifa, Chalaani kuwekwa kizuizini na kuteswa vijana wanne wa Bahrain
Hawza/ Kikundi Kazi cha Umoja wa Mataifa kimechapisha maoni yake kuhusu kuwekwa kizuizini vijana wanne wa Bahrain waliohukumiwa vifungo vya kati ya miezi sita hadi miaka mitatu na miezi miwili.
-
DuniaB'aqir Darw'ish: Mamlaka za Bahrain hazina idhini ya wananchi
Hawza/ Mkuu wa "Chama cha Bahrain cha Haki za Binadamu" amekosoa sera za serikali ya Bahrain katika kudhibiti maoni ya umma.
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaHaki ya kijamii inategemea haki ya kiuchumi
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Sajid Ali Naqvi amesisitiza katika ujumbe wake kwamba; kwa kuendelea kutawala mifumo dhalimu ya kiuchumi na kisiasa, haiwezekani kufanikisha haki ya kijamii. Ameongeza…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaKupigania mfumo wa haki duniani ni jukumu letu sote
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi amesema katika hotuba yake kuwa: Lengo na jitihada za ubeberu ni kuiimarisha Israel kwa nguvu na uonevu huku Palestina ikifutwa, lakini…
-
Ayatullah Jawadi Amoli:
DuniaKusimama dhidi ya haki husababisha mtu na jamii kuangamia/ Msisitizo juu ya kuutibu moyo uliochoka kwa hekima na dhikri
Hawza/ Mtukifu Ayatullah Jawadi Amoli amesisitiza: Yeyote anayesimama dhidi ya haki, bila shaka atashindwa; hata hivyo, kila mwanadamu katika mfumo huu wa uhai ana wajibu wa kutekeleza jukumu…
-
Mjumbe wa Baraza la Uangalizi:
HawzaKaulimbiu ya Kudai Uhuru ya Magharibi ni Kisingizio cha Kuhadaa Maoni ya Walimwengu/ Uhuru wa Kweli Upo Kwenye Kumuabudu Mwenyezi Mungu
Hawza/ Ayatullah Modarresi, huku kukosoa vikali mienendo ya kindumakuwili inayofanywa na nchi za Magharibi katika kujitetea kwa madai ya uhuru na haki za binadamu, alisisitiza: Magharibi inayojitambul…
-
DuniaUfaransa Yakosolewa vikali kutokana na Kuwazuia Wanawake Wachezaji Kuvaa Hijabu
Hawza/ Wanaotetea haki za binadamu wameitaka Ufaransa iondoe sheria inayokataza wanawake wanamichezo kuvaa hijabu, huku mjadala kuhusu suala hili ukizidi kushika kasi katika siku za hivi karibuni.
-
Kituo cha Uangalizi wa Haki za Binadamu Syria:
DuniaTangia kuanguka serikali iliyopita, watu 10,672 wameuawa nchini Syria
Hawza/ Kituo cha Uangalizi wa Haki za Binadamu Syria kimetangaza kwamba kimeorodhesha vifo vya watu 10,672, wakiwemo 3,020 waliouawa katika mauaji ya kiholela kwa kunyongwa.
-
DuniaMwanaharakati wa kisiasa wa Bahrain akamatwa
Hawza/ Mamlaka za Bahrain zimemkamata kijana mmoja kwa sababu ya kuchapisha maoni ya kuiunga mkono Iran kwenye mtandao wa Instagram, hatua hii imechukuliwa kama sehemu ya sera za kuendeleza ukandamiza…
-
Ayatollah al-Udhma Makarim Shirazi:
HawzaHaki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi maana yake ni jinai na kuua maelfu ya wanawake na watoto
Hawaza/ Mtukufu Ayatollah Makarim Shirazi amesisitiza kuwa: Haki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi ni dhana isiyo na maana wala maudhui ya kweli, wao hawana imani na heshima ya mwanadamu wala…