Haki za binadamu (7)
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaKupigania mfumo wa haki duniani ni jukumu letu sote
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi amesema katika hotuba yake kuwa: Lengo na jitihada za ubeberu ni kuiimarisha Israel kwa nguvu na uonevu huku Palestina ikifutwa, lakini…
-
Ayatullah Jawadi Amoli:
DuniaKusimama dhidi ya haki husababisha mtu na jamii kuangamia/ Msisitizo juu ya kuutibu moyo uliochoka kwa hekima na dhikri
Hawza/ Mtukifu Ayatullah Jawadi Amoli amesisitiza: Yeyote anayesimama dhidi ya haki, bila shaka atashindwa; hata hivyo, kila mwanadamu katika mfumo huu wa uhai ana wajibu wa kutekeleza jukumu…
-
Mjumbe wa Baraza la Uangalizi:
HawzaKaulimbiu ya Kudai Uhuru ya Magharibi ni Kisingizio cha Kuhadaa Maoni ya Walimwengu/ Uhuru wa Kweli Upo Kwenye Kumuabudu Mwenyezi Mungu
Hawza/ Ayatullah Modarresi, huku kukosoa vikali mienendo ya kindumakuwili inayofanywa na nchi za Magharibi katika kujitetea kwa madai ya uhuru na haki za binadamu, alisisitiza: Magharibi inayojitambul…
-
DuniaUfaransa Yakosolewa vikali kutokana na Kuwazuia Wanawake Wachezaji Kuvaa Hijabu
Hawza/ Wanaotetea haki za binadamu wameitaka Ufaransa iondoe sheria inayokataza wanawake wanamichezo kuvaa hijabu, huku mjadala kuhusu suala hili ukizidi kushika kasi katika siku za hivi karibuni.
-
Kituo cha Uangalizi wa Haki za Binadamu Syria:
DuniaTangia kuanguka serikali iliyopita, watu 10,672 wameuawa nchini Syria
Hawza/ Kituo cha Uangalizi wa Haki za Binadamu Syria kimetangaza kwamba kimeorodhesha vifo vya watu 10,672, wakiwemo 3,020 waliouawa katika mauaji ya kiholela kwa kunyongwa.
-
DuniaMwanaharakati wa kisiasa wa Bahrain akamatwa
Hawza/ Mamlaka za Bahrain zimemkamata kijana mmoja kwa sababu ya kuchapisha maoni ya kuiunga mkono Iran kwenye mtandao wa Instagram, hatua hii imechukuliwa kama sehemu ya sera za kuendeleza ukandamiza…
-
Ayatollah al-Udhma Makarim Shirazi:
HawzaHaki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi maana yake ni jinai na kuua maelfu ya wanawake na watoto
Hawaza/ Mtukufu Ayatollah Makarim Shirazi amesisitiza kuwa: Haki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi ni dhana isiyo na maana wala maudhui ya kweli, wao hawana imani na heshima ya mwanadamu wala…