Jumatatu 8 Desemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Dalili za wazi zinaonesha kudorora kwa Marekani kwa mujibu wa hati ya hivi karibuni ya serikali ya Trump

    Imefafanuliwa katika ripoti ya habari–Uchambuzi ya Shirika la Habari la Hawza:

    DuniaDalili za wazi zinaonesha kudorora kwa Marekani kwa mujibu wa hati ya hivi karibuni ya serikali ya Trump

    Hawza/ Kuchapishwa kwa Hati ya Mkakati wa Usalama wa Taifa wa Marekani kunadhihirisha wazi kwamba, kinyume na majigambo ya viongozi wa Ikulu ya White House, Marekani katika ulimwengu wa leo haina…

    2025-12-07 15:24
  • Kamati ya Elimu ya Ataba Abbasiyya, Yaitembelea Taasisi ya Elimu na Utamaduni wa Kiislamu nchini Iran

    DuniaKamati ya Elimu ya Ataba Abbasiyya, Yaitembelea Taasisi ya Elimu na Utamaduni wa Kiislamu nchini Iran

    Hawza/ Wajumbe wa kamati ya elimu kutoka katika Ataba Tukufu Abbasiyya walihudhuria katika Taasisi ya Elimu na Utamaduni wa Kiislamu, na katika kikao cha pamoja na wakurugenzi na marais wa vitengo…

    2025-12-07 13:00
  • Venezuela: Makubaliano ya Kusitisha Vita Ghaza Kimsingi Hayana Athari

    DuniaVenezuela: Makubaliano ya Kusitisha Vita Ghaza Kimsingi Hayana Athari

    Hawza/ Serikali ya Venezuela kwa sauti isiyo ya kawaida imekemea mashambulizi ya Israel dhidi ya Palestina, Lebanon na Syria na ikakosoa vikali ukimya wa taasisi za kimataifa mbele ya “mchakato…

    2025-12-07 12:00
  • Wafanyakazi Katika Kampuni ya Ndege ya AirAsia Watavaa Hijabu

    DuniaWafanyakazi Katika Kampuni ya Ndege ya AirAsia Watavaa Hijabu

    Hawza/ kampuni ya ndege ya AirAsia ambayo inajumuisha nchi kadhaa za Asia ikiwemo Indonesia, imetangaza kwamba kuanzia mwanzoni mwa mwaka 2026 wafanyakazi wake wa kike watavaa sare inayojumuisha…

    2025-12-07 11:00
  • Wananchi wa Ujerumani, Wapinga Safari Aliyoifanya Waziri Mkuu wa Nchi Hiyo ya Kusafiri Kwenda Israel

    DuniaWananchi wa Ujerumani, Wapinga Safari Aliyoifanya Waziri Mkuu wa Nchi Hiyo ya Kusafiri Kwenda Israel

    Hawza/ Wanaharakati wanao ihami Palestina na wanachama wa kundi la Amnesty International, siku ya Ijumaa waliandaa maandamano katika kituo cha Berlin, yakiwa na lengo la kupinga safari iliyopangwa…

    2025-12-07 10:00
  • Wizara ya Mambo ya Ndani ya Palestina: Kila Msaliti Itampata yeye Hatima ya Abushabab

    DuniaWizara ya Mambo ya Ndani ya Palestina: Kila Msaliti Itampata yeye Hatima ya Abushabab

    Hawza, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa la Palestina imethibitisha kwamba; kifo cha Yaser Abushabab ambaye alikuwa mmoja wa washirika wa utawala wa uvamizi wa Israel kinaonyesha “hatima…

    2025-12-07 09:00
  • Mradi Hatari wa “Mikataba ya Is-haq”, Mtego Mpya wa Israel kwa Agentina

    DuniaMradi Hatari wa “Mikataba ya Is-haq”, Mtego Mpya wa Israel kwa Agentina

    Hawza/ Serikali ya Javier Milei, katika mazingira yaliyojaa lawama za kimataifa dhidi ya mashambulizi ya Israel huko Ghaza, imeanzisha mpango wenye sura nyeusi unaoitwa “Mikataba ya Is-haq”.

    2025-12-07 08:00
  • Ardhi ya Mitume Imetapakaa Damu ya Waliodhulumiwa, na Dunia Imenyamaza

    Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:

    DuniaArdhi ya Mitume Imetapakaa Damu ya Waliodhulumiwa, na Dunia Imenyamaza

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake, alisisitiza kuwa licha ya kuwepo kwa kile kinachoitwa makubaliano ya amani ya kulazimishwa, uvamizi na uhalifu wa…

    2025-12-07 07:00
  • Inafaa Trump Ahukuhukumiwe Kwenye mahakama za kimataifa, na si Kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel

    Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:

    DuniaInafaa Trump Ahukuhukumiwe Kwenye mahakama za kimataifa, na si Kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji alisema: Miongoni mwa mambo ya kushangaza zaidi ni kwamba Trump amedai kuwa serikali ya Iraq imependekeza apewe Tuzo ya Amani ya Nobel!…

    2025-12-07 06:00

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom