Sheikh Ahmad Qabalan (17)
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHatuitoi Lebanon kwa Wazayuni na Mawakala Wao
Hawza/ Mufti Mkuu wa Ja'faria na mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon amesema: Kinachotokea leo kinaiweka mamlaka ya Lebanon mikononi mwa wale walioigeuza kuwa mtaji wa kisiasa na zawadi ya kiusalama…
-
DuniaSheikh Qabalan amwambia Aoun: Kama kusingekuwa na Muqawama, adui Muisraeli angefika hadi Ikulu ya Rais
Hawza / Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon, katika ujumbe wake kwa Rais wa Lebanon, amesema: Yeyote anayehimiza Muqawama kujiondoa kusini mwa mto huku wakati huohuo asidai kuondoka kwa jeshi la…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Tunajivunia uhusiano wetu wa milele na Iran
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria na mwanazuoni wa Kishia wa Lebanon amesema kuwa: Sitisho lolote la vita au njia yoyote itakayotufikisha kwenye matokeo haya, pamoja na mambo yanayohitajika kwa ajili…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaIsrael Imeshindwa katika “Vita Vyake Vikubwa” na Hakuna Dhamana ya Kulinda Mamlaka ya Lebanon Isipokuwa Muqawama
Hawza/ Mufti Mkuu wa Kijaafari na mwanazuoni wa Kishia nchini Lebanon, akirejelea kushindwa kwa kimkakati kwa Marekani na utawala wa Kizayuni, aliongeza: Leo ni wakati wa kihistoria sana.
-
DuniaSheikh Qablan alisema nini katika barua yake kali kumuelekea Rais wa Lebanon?
Hawza/ Mufti wa Ja‘fari mashuhuri na mwanazuoni wa Kishia wa Lebanon, katika barua ya wazi aliyomwandikia Joseph Aoun, alibainisha kuwa; Lebanon inashikamana na hati yake ya kitaifa na misingi…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Hatutaruhusu Lebanon kuuzwa kwa kisingizio chochote
Hawza/ Sheikh Ahmad Qabalan, amesema kuwa; kwa hali yeyote ile tunasimama na Lebanon na hatutaruhusu iuzwe kwa kisingizio chochote kile.
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaKunyamaza mbele ya kupetukwa mistari myekundu ya Lebanon si halali
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mkuu wa Ja‘fari na mwanachuoni wa Kishia wa Lebanon, alisisitiza kwamba muqawama, jeshi la Lebanon, amani ya ndani, kulinda mamlaka ya taifa…
-
Mufti Mkuu wa Jaafaria wa Lebanon:
DuniaSerikali ioneshe ustahiki wake wa kitaifa
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria wa Lebanon alisema: Tupo katika wakati wa machafuko ya kimataifa yanayoongozwa na Washington, huku Ulaya ikisalimu amri, jambo ambalo linaupeleka Umoja wa Mataifa…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHistoria Imethibitisha Kwamba Sisi ni Watu Wakubwa Kuliko Migawanyiko
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon amesema: Mwanadamu ndiye kitu kitakatifu zaidi miongoni mwa vitakatifu vya Mwenyezi Mungu, na hakuna utakatifu wowote kwa maslahi ya mwanadamu isipokuwa…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaTunaweza Kuilinda Lebanon Dhidi ya Migogoro Hatari Zaidi Kupitia Umoja wa Kitaifa
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon amesisitiza kuwa historia yetu, pamoja na ugumu wake wote, inaonesha wazi kwamba tunaweza kuilinda Lebanon kupitia umoja wa kitaifa na ushiriki mpana wa…
-
DuniaMwanazuoni Mashuhuri wa Lebanon Aitaka Serikali Kuchukua Msimamo Jasiri
Hawza/ Mufti wa Jaafari na mwanazuoni mashuhuri wa Kishia nchini Lebanon amesema: Hakuna shaka kwamba tajriba ya mwisho ya eneo na dunia imetuweka sisi Walebanon mbele ya ukweli mmoja wa kitaifa:…
-
DuniaMwanazuoni Sheikh Ahmad Qabalan, Atoa Tahadhari Kuhusiana na Mchakato wa Uchaguzi Nchini Lebanon
Hwaza/ Mufti wa ngazi ya juu wa Jaʻfari na mwanazuoni mshia wa Lebanon, alisema: Kinachoendelea kusini ni janga la uhuru wa kitaifa kwa maana kamili na ugaidi wa wazi wa Kizayuni. Tunakazia tena…
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Muqawama ndiyo nguvu ya Lebanon na uwezo wake wa kipekee wa kusimama imara
Hawza / Hujjat al-Islam Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti mashuhuri wa Ja‘fari wa Lebanon alisema: “Israeli ni adui wa kiasili na Muqawama ni nguvu ya Lebanon na uwezo wake wa kipekee kwa ajili ya…
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaWalitaka suala la Palestina lisahaulike, lakini sasa limekuwa suala la kimataifa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi amesema: Shambulizi la Israeli dhidi ya Doha na mabomu yaliyorushwa Yemen yamekabiliwa na ukimya wa dunia, isipokuwa baadhi ya matamko…
-
DuniaSheikh Qabalan: Marekani ni mshirika kamili wa Israel katika uhalifu wake wote
Hawza / Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mkuu wa Ja‘fari wa Lebanon, katika tamko lake amesema: “Kwa nguvu zote na kwa uthabiti, tunalaani vikali ugaidi wa Kizayuni na unyama wa Israel.”
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Dhamira ya Imam Musa Sadr ilikuwa ni mamlaka ya Lebanon, ushirikiano wa Kiislamu na Kikristo na maelewano kati yao
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti mashuhuri wa Ja‘fari, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutekwa Imam Sayyid Musa Sadr na wenzake wawili, ametoa ujumbe
-
DuniaMufti wa Jaafari Lebanon: Iran ni chimbuko la heshima ya kila mwanadamu huru katika ulimwengu huu na uaminifu wetu kwa Tehran ni kama uaminifu wetu kwa Mawalii wakuu
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan amesema: Iran ndiyo iliyouangamiza mradi wa Mashariki ya Kati na ikaibatilisha matumaini ya Washington na Tel Aviv yanayotokana na ugaidi, uvamizi pamoja na uharibifu