Sheikh Ahmad Qabalan (5)
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Muqawama ndiyo nguvu ya Lebanon na uwezo wake wa kipekee wa kusimama imara
Hawza / Hujjat al-Islam Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti mashuhuri wa Ja‘fari wa Lebanon alisema: “Israeli ni adui wa kiasili na Muqawama ni nguvu ya Lebanon na uwezo wake wa kipekee kwa ajili ya…
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaWalitaka suala la Palestina lisahaulike, lakini sasa limekuwa suala la kimataifa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi amesema: Shambulizi la Israeli dhidi ya Doha na mabomu yaliyorushwa Yemen yamekabiliwa na ukimya wa dunia, isipokuwa baadhi ya matamko…
-
DuniaSheikh Qabalan: Marekani ni mshirika kamili wa Israel katika uhalifu wake wote
Hawza / Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mkuu wa Ja‘fari wa Lebanon, katika tamko lake amesema: “Kwa nguvu zote na kwa uthabiti, tunalaani vikali ugaidi wa Kizayuni na unyama wa Israel.”
-
DuniaSheikh Ahmad Qabalan: Dhamira ya Imam Musa Sadr ilikuwa ni mamlaka ya Lebanon, ushirikiano wa Kiislamu na Kikristo na maelewano kati yao
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti mashuhuri wa Ja‘fari, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutekwa Imam Sayyid Musa Sadr na wenzake wawili, ametoa ujumbe
-
DuniaMufti wa Jaafari Lebanon: Iran ni chimbuko la heshima ya kila mwanadamu huru katika ulimwengu huu na uaminifu wetu kwa Tehran ni kama uaminifu wetu kwa Mawalii wakuu
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan amesema: Iran ndiyo iliyouangamiza mradi wa Mashariki ya Kati na ikaibatilisha matumaini ya Washington na Tel Aviv yanayotokana na ugaidi, uvamizi pamoja na uharibifu