Hawza ya Najaf (15)
-
DuniaHafla ya Kumuenzi Ayatullah al-Udhma Fayyadh Yafanyika kwa Uratibu Uliopangwa na Haram Takatifu ya Hussein na Abbasi kati ya Haram Mbili Karbala
Hawza/ Hafla ya kumuenzi Ayatullah al-Udhma Muhammad Is’haq Fayyadh imefanyika kwa uratibu wa Haram Takatifu ya Husseini na Haram Takatifu ya Abbasi, kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa Ayatullah…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu atoa rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei ametuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki dunia kwa Ayatullah Haj Sheikh Ishaq Fayyadh.
-
HawzaBaraza Kuu la Hawza za latuma Ujumbe wa Rambirambi kufuatia kufariki Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Baraza Kuu la Hawza limetoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mtukufu Ayatullah Muhammad Ishaq Fayyadh, mmoja wa Marajii wa Taqlid wa Najaf Ashraf.
-
Ayatullah Makarim Shirazi:
DuniaBaraka za Ayatullah Fayyadh ndani ya Hawza ya Najaf hazitasahaulika
Hawza/ Ayatullah Makarim Shirazi ametuma salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah Hajj Sheikh Ishaq Fayyadh, mmoja wa Mar'ajii wakubwa wa Taqlid wa Najaf.
-
DuniaAyatullah al-Udhma Nouri Hamadani atoa salamu za rambirambi kuielekea Hawza ya Najaf
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Nouri Hamedani ametuma salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Fayyadh (ra), mmoja wa Maraji' wakubwa wa taqlid wa Najaf.
-
Ayatullah A'rafi katika ujumbe wa rambirambi:
HawzaUbunifu wa kielimu, kifiqhi na huduma za kidini pamoja na tablighi vilimfanya Ayatullah al-Udhma Fayyadh kuwa shakhsia mashuhuri
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema: Ubunifu wa kielimu na kifiqhi sambamba na huduma za kidini na tablighi za Ayatullah al-Udhma Fayyadh, hasa mchango wake usiosahaulika katika kufufua…
-
DuniaAyatullah al-Udhma Bashir Najafi: Leo mzee na Sheikh wa Najaf Ashraf ametutoka
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Sheikh Bashir Najafi, mmoja wa Maraji' wa taqlid wa Najaf Ashraf, katika taarifa yake ametoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad…
-
DuniaWaziri Mkuu wa Iraq atangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Ali Al-Zaidi, kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad Is’haq Fayyadh, ametangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa nchini Iraq.
-
DuniaUtaratibu wa ratiba ya mazishi na kuzikwa mwili wa Ayatullah al-Udhma Fayyadh watangazwa
Hawza/ Maelezo ya ratiba ya mazishi ya mwili wa Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad Is’haq Fayyadh, ambaye leo Alhamisi ameaga dunia, yametangazwa.
-
DuniaMarji' na Mwanazuoni Mkubwa wa Najafu Afariki Dunia
Hawza/ Dunia imepata mshtuko wa ghafla baada ya Madrasa ya Ahlulbayt (as) kuondokewa na Mwanazuoni mkubwa katika zama hizi, Marji' mkubwa Ayatullah Muhammad Is-ha'q Fayyadhi (ra)
-
DuniaMadrasa ya Imam Khomeini (rh) ya Najaf Ashraf Yafungua Mlango wa Kupokea Wanafunzi
Hawza/ Madrasa ya Hawza ya Imam Khomeini (rh) mjini Najaf Ashraf nchini Iraq imefungua usajili wa wanafunzi wapya wanaokidhi masharti kwa mwaka wa masomo 1405–1406 Shamsia (2026 - 2027) Miladia.
-
DuniaMaadhimisho ya Maelfu ya miaka ya Kuanzishwa kwa Hawza ya Najaf Ashraf kufanyika
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ahmad Swafi, wakati alipo itembelea “Kamati Kuu ya Kuhuisha Turathi”, alisisitiza ulazima wa kuelekeza juhudi zote kwa ajili ya kufanikisha maadhimisho…
-
DuniaMaadhimisho ya Milenia ya Hawza ya Najaf Yaanza; Msisitizo juu ya Kufufua Turathi za Sheikh Tusi
Hawza/ Hafla ya ufunguzi wa kikao cha awali cha kongamano la kwanza la kielimu la kuadhimisha miaka elfu moja ya Hawza ya Kielimu ya Najaf Ashraf ilifanyika Jumatano, tarehe 11 February, chini…
-
DuniaMmoja wa walimu wa Hawza ya Najaf Ashraf afariki dunia
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Muhammad Ali Bahr al-Ulum, mmoja wa walimu wa Hawza ya Najaf Ashraf, ameaga dunia
-
DuniaLebeika; Hawza na Wanazuoni tunaitikia Amri ya Kiongozi wa Waislamu / Tupo tayari kutekeleza wadhifa kwa kuzitoa nafsi zetu
Hawza/ Wanazuoni na wanafunzi wa Hawza wenye ghera (wivu) na dini na mapinduzi, sambamba na kufanya upya kiapo na ahadi yao kwa Kiongozi wa Waislamu wa ulimwengu, wameupa thamani utekelezaji…