Ghadir (20)
-
Dunia“Kutoka Ghadir hadi Minab” Maonesho maalum ya picha pamoja na kumbukumbu yaliyounganisha historia, imani na ubinadamu kupitia picha zenye kuonesha haki, kujitoa na uthabiti
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania kiliandaa maonesho maalumu ya picha na kumbukumbu yaliyopewa anuani ya “Kutoka Ghadir hadi Minab”, yakilenga kuunganisha…
-
DuniaTaasisi ya Furqan Yaadhimisha Hafla ya Ghadeer Sambamba na Kumbukumbu ya Kufariki Imam Khomeini (r.a)
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa hisia za kiroho, elimu na mapenzi kwa Ahlul-Bayt (a.s), Taasisi ya Furqan nchini Tanzania imeadhimisha hafla maalumu ya Sikukuu ya Ghadeer sambamba na mnasaba…
-
DuniaJumuiya ya Shia Ithnaasharia (TIC) Mkoani Mwanza Tanzania, Yaadhimisha Hafla ya Ghadeer kwa Hamasa Kubwa + Picha
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa furaha, mapenzi na mshikamano wa Kiislamu, Jumuiya ya Shia Ithnaasharia (TIC) Mkoani Mwanza, Tanzania, imefanya hafla kubwa ya kuadhimisha Sikukuu ya Ghadeer,…
-
DuniaMwimbaji Mmarekani awasilisha shairi la kiirfani la Imam Khomeini katika sherehe za Ghadir huko Jakarta
Hawza/ Sambamba na kufanyika hafla ya kumbukumbu ya miaka thelathini na saba ya kufariki kwa Mtukufu Imam Khomeini (ra) pamoja na sherehe kubwa ya Idi Tukufu ya Ghadir Khum huko Jakarta, Mustafa…
-
HawzaMkutano wa kielimu/ “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu” wafanyika Tanzania
Hawza/ Mkutano wa kielimu na kitamaduni wenye anuani isemayo “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu”, uliokuwa na lengo la kuchunguza tukio la Ghadir kwa mtazamo wa Shia na Ahlu Sunna,…
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen:
DuniaAmirul-Muuminina Ali (as), ni kipimo cha imani
Hawza/ Abdul-Malik Badruddin al-Houthi, kiongozi wa Ansarullah ya Yemen, alizungumzia kwa kina suala la kutangazwa kwa “haki ya Wilayah” kwa Imam Ali (as) na amri ya Mwenyezi Mungu kwa Mtume…
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum alisema:
DuniaNjia sita za kukabiliana na vita mchanganyiko vya adui katika ujumbe wa mwisho wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Adui ameielekeza nguvu yake katika maeneo mawili nyeti na ya kimkakati, na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ametoa njia sita za kukabiliana nayo ambazo…
-
DuniaGhadir; mhimili wa umoja wa Umma wa Kiislamu na hati ya kudumu ya kusimamia haki
Hawza/ Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini la Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, huku akisisitiza nafasi ya kimkakati ya tukio la Ghadir katika kuunda utambulisho wa Kiislamu, amesema:…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi:
DuniaKhomeini Mkuu na shahidi Khamenei walihuisha utayari wa taifa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei amesema: Khomeini Mkuu na shahidi Khamenei waligundua na kuhuisha utayari wa taifa.
-
DuniaMihimili 18 ya Dhahabu katika Khutba ya Ghadir
Hawza/ Marehemu Ibn Jabr aliyefariki katika karne ya saba Hijria katika kitabu chake chenye thamani kubwa Nahj al-Iman, ameeleza khutba yenye urefu wa wastani kuhusu kuelezea hadhi, nafasi na…
-
Ujumbe wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama:
DuniaHizbullah imesimama dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kuhamasishwa na Wilayah na utamaduni wa Ashura
Hawza/ Sheikh Naim Qassem katika ujumbe wake kwenye Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama alisisitiza: Hizbullah ya Lebanon, kwa kuhamasishwa na madhehebu ya Imam Ali (as) na harakati…
-
DuniaKwa mnasaba wa kuadhimisha Idi Kubwa ya Mwenyezi Mungu; Ataba Tukufu ya Alawi yafanya hafla ya kupandisha bendera ya Ghadir
Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi imefanya hafla ya kupandisha bendera ya Ghadir katika viwanja na eneo la Haram Tukufu ya Amirul-Muuminin (as).
-
Ujumbe wa Ayatullah al-Udhma Makarim Shirazi kuelekea Kongamano la Pili la Kimataifa la Ghadir na Muqawama;
DuniaWafuasi wa madhehebu ya Ghadir wapo mstari wa mbele katika kukabiliana na ubeberu wa kimataifa / Muqawama wa leo wa Umma wa Kiislamu ni matunda ya mafundisho ya madhehebu ya Ghadir
Hawza/ Ayatullah Makarim Shirazi katika ujumbe wake kuelekea Kongamano la Kimataifa la Ghadir na Muqawama, huku akisisitiza kwamba Muqawama wa leo wa Umma wa Kiislamu ni matunda ya mafundisho…
-
DuniaBendera ya Hadithi ya Ghadir kupeperushwa Katika Haram ya Qamar Bani Hashim
Hawza/ Kamati ya wahudumu wa Haram ya Hadhrat Abbas (as), imepokea bendera ya Hadithi ya Ghadir kutoka kwa Bodi ya Wadhamini wa Haram Tukufu ya Alawi, kwa ajili ya kufungwa katika eneo maalumu.
-
DuniaAtaba Tukufu ya Alawi Yatangaza Ratiba za Haram ya Amirul-Muuminina (as) Katika Siku za Idi ya Ghadir Khum
Hawza/ Kitengo cha habari cha Ataba Tukufu ya Alawi kimetangaza mkusanyiko wa programu za Wiki ya Idi ya Ghadir Khum katika awamu yake ya kumi na tano.
-
DuniaAtaba Tukufu ya Alawi Yafunga Maelfu ya Mabango na Bendera ndani ya Najaf Ashraf Kutokana na Mnasaba wa Idi ya Ghadir Khum
Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi ndani ya Najaf Ashraf, katika mkesha wa Idi ya Ghadir Khum, imeanza kufunga maelfu ya mita za mraba za mabango, bendera na picha za matangazo katika mfumo wa mpango…
-
DiniGhadir kwa mujibu wa Kauli za Imam Shahidi
Hawza/ Kwa mtazamo wa Imam na Kiongozi wetu Shahidi, Ghadir ni miongoni mwa masuala ambayo yanapita mipaka ya mtazamo wa kihistoria na huhesabiwa kuwa mojawapo ya misingi muhimu zaidi ya itikadi…
-
Ayatollah al-Udhma Makarim Shirazi:
HawzaAya ya Tabligh ndiyo ushahidi wa wazi zaidi wa Qur’ani kuhusu Uimamu
Hawza/ Ayatollah Makarim Shirazi amesema kuwa: Aya ya 67 haiwezi kueleweka ila kwa tafsiri ya wilaya, na ndiyo ushahidi wa wazi zaidi wa Qur’ani kuhusu Uimamu na uongozi wa Mtume Mtukufu (saww).
-
DuniaMwanazuoni wa Kihindi: Ghadir ni mchoro wa ramani ya mwongozo wa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Ali Haidar Fereshta, katika mahojiano na mwandishi wa habari wa Hawza, amesema kuwa Ghadir ni zaidi ya tangazo la urithi wa uongozi; ni mfano kamili wa mfumo wa uongozi…
-
Ayatollah Ramadhani:
HawzaGhadir ni tafsiri halisi ya demokrasia ya kidini
Hawza/ Mwakilishi wa watu wa Gilan katika Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Majlisi Khubragan Rahbari), Ayatollah Reza Ramadhani, amesisitiza juu ya umuhimu wa tukio la Ghadir na kusema kuwa "Ghadir…