Jumatatu 27 Julai 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Hatua mpya za vyombo vya usalama vya Bahrain dhidi ya Maulamaa wa Kishia zafichuliwa

    DuniaHatua mpya za vyombo vya usalama vya Bahrain dhidi ya Maulamaa wa Kishia zafichuliwa

    Hawza/ Shirika la Salam la Demokrasia na Haki za Binadamu nchini Bahrain limesikitishwa na kulaani ukiukaji wa haki za binadamu pamoja na vitendo visivyofaa vilivyofanywa dhidi ya idadi ya maulamaa…

    2026-07-27 08:30
  • Wananchi wa Bahrain wabebe jukumu la kumsimamisha mtawala wa Bahrain!

    Muungano wa Vijana wa Mapinduzi wa Bahrain:

    DuniaWananchi wa Bahrain wabebe jukumu la kumsimamisha mtawala wa Bahrain!

    Hawza/ Muungano wa Vijana wa Mapinduzi ya Februari 14 nchini Bahrain umeionya tena serikali ya Aal Khalifa kwamba; kuendelea kutegemea nguvu za uvamizi na uharibifu zinazoongozwa na watu wanaowataja…

    2026-07-27 07:30
  • Vyama vya Mapinduzi vya Bahrain yvatoa wito wa mshikamano na Maulamaa waliofungwa magerezani

    DuniaVyama vya Mapinduzi vya Bahrain yvatoa wito wa mshikamano na Maulamaa waliofungwa magerezani

    Hawza/ Wawakilishi wa vyama vya mapinduzi vya Bahrain wamesisitiza yaliyopo katika taarifa ya Ayatullah Sheikh Issa Qassim, ambayo imeelezea hali ya Bahrain kuwa ni "tishio la uwepo" dhidi ya…

    2026-07-27 06:30
  • Zaidi ya Wapalestina 40 wakamatwa katika uvamizi uliofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni huko Ukingo wa Magharibi

    DuniaZaidi ya Wapalestina 40 wakamatwa katika uvamizi uliofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni huko Ukingo wa Magharibi

    Hawza/ Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni, katika kuendeleza mashambulizi yao katika maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi, wamevamia mji wa Tal ulioko magharibi mwa Nablus na kuwakamata zaidi…

    2026-07-27 05:30
  • Netanyahu hana nafasi mjini London

    Meya wa London:

    DuniaNetanyahu hana nafasi mjini London

    Hawza/ Meya wa London amesisitiza kwamba Benjamin Netanyahu anapaswa kukamatwa iwapo atasafiri kwenda Uingereza, na ametangaza kuwa atailazimisha serikali kuu ya nchi hiyo kutekeleza hati ya…

    2026-07-27 04:30
  • Washambulieni Mashia wa Bahrain na mtapewa uraia!

    Kauli ya Mtawala wa Bahrain Kulielekea Kundi la Kigaidi la al-Jolani:

    DuniaWashambulieni Mashia wa Bahrain na mtapewa uraia!

    Hawza/ Rashid Abdullah Al Khalifa, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bahrain, katika ziara rasmi nchini Syria, alikutana na Abu Mohammad al-Jolani, kiongozi wa Jabhat al-Nusra, ambao wametajwa katika…

    2026-07-27 03:30
  • Kisasi cha damu ya Mazuwari wa Imam Hussein (as) kitakuwa jinamizi la mauti kwa wavamizi

    Kataib Sayyid al-Shuhadaa (as):

    DuniaKisasi cha damu ya Mazuwari wa Imam Hussein (as) kitakuwa jinamizi la mauti kwa wavamizi

    Hawza/ Ofisi ya Muqawama wa Kiislamu ya Kataib Sayyid al-Shuhadaa (as) imeeleza kuwa; kitendo cha kigaidi cha Marekani na utawala wa Kizayuni cha kuwalenga mazuwari wasio na ulinzi wa Haram ya…

    2026-07-27 02:30
  • Matembezi ya Arubaini yamedhihirisha kushindwa mipango ya Marekani

    Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:

    DuniaMatembezi ya Arubaini yamedhihirisha kushindwa mipango ya Marekani

    Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi amesisitiza kwamba; matembezi ya Arubaini si tukio la kidini au ibada pekee, bali ni nembo kubwa ya Mwenyezi Mungu yenye nyanja za kidini, kisiasa, kijamii…

    2026-07-27 01:30
  • Mkutano Mkuu wa Kamati ya Arubaini ya Hawza na Masheikh, pamoja na Viongozi wa Kikabila wa Mkoa wa Al-Muthanna Wafanyika/ Yasisitizwa Umoja na Mshikamano wa Umma wa Kiislamu

    DuniaMkutano Mkuu wa Kamati ya Arubaini ya Hawza na Masheikh, pamoja na Viongozi wa Kikabila wa Mkoa wa Al-Muthanna Wafanyika/ Yasisitizwa Umoja na Mshikamano wa Umma wa Kiislamu

    Hawza/ Mkuu wa Kamati ya Arubaini ya Hawza za Kielimu amekutana na kufanya mazungumzo na kundi la masheikh pamoja na viongozi wa makabila wa Mkoa wa Al-Muthanna.

    2026-07-27 00:26

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan
  • Italiano
  • Hausa
  • indonesia
  • 中文

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom