syria (5)
- 
                                        
                                        Kituo cha Uangalizi wa Haki za Binadamu Syria:
DuniaTangia kuanguka serikali iliyopita, watu 10,672 wameuawa nchini Syria
Hawza/ Kituo cha Uangalizi wa Haki za Binadamu Syria kimetangaza kwamba kimeorodhesha vifo vya watu 10,672, wakiwemo 3,020 waliouawa katika mauaji ya kiholela kwa kunyongwa.
 - 
                                        
                                        DuniaVikosi vya Al-Jaulani vyaongeza kasi ya kuhamisha koo mjini Damaskas
Hawza/ Vyanzo vya habari vya kuaminika vimeripoti kuhusu kuongezeka kwa operesheni za kuhamisha watu kwa mfumo maalumu inazofanywa na vikosi vya al-Jaulani, ambavyo vinalenga koo mbalimbali mjini…
 - 
                                        
                                        DuniaWanajeshi wa Sweida nchini Syria wametangaza kuundwa kwa “Gadi ya Kitaifa”
Hawzah/ Makundi ya kijamii katika mkoa wa Sweida nchini Syria, makazi ya Wadrusi, katika siku za hivi karibuni wametangaza kuungana kwao katika Gadi ya Kitaifa kwa lengo la kuunganisha jitihada…
 - 
                                        
                                        Kiongozi wa Chama cha Ukombozi wa taifa la Syria:
DuniaMfumo wa sasa wa Syria unafanya kazi chini ya amri ya Wamarekani na Wazayuni
Hawza / Mahmoud al-Muwalidi alitoa tuhuma za moja kwa moja dhidi ya mfumo wa sasa wa Syria na kuuelezea kuwa ni "nakala iliyoundwa" inayofanya kazi chini ya amri ya Wamarekani na Wazayuni.
 - 
                                        
                                        Ayatollah A'arafi akilaani mauaji ya wasio na hatia nchini Syria:
HawzaNjia pekee ya kumaliza mgogoro wa Syria ni juhudi za kuleta amani na umoja wa kitaifa / Ulamaa wenye basira ulimwenguni na viongozi wa dini zote wakemee mauaji ya kikatili
Naomba vikundi vyote vyenye silaha nchini Syria, kuheshimu misingi ya Kiislamu na binadamu na kujiepusha na vurugu na mauaji ya wasio na hatia, katika kipindi hiki nyeti ambapo Marekani pamoja…