marekani (7)
-
HawzaTaarifa ya Hawza Kuhusiana na Kauli za dhihaka za Trump / Serikali za ukanda huu zisiingie katika mitego ya upuuzi Huo
Uongozi wa hawza, sambamba na kulaani upuuzi wa Rais mwenye dhalili wa Marekani — ambao umetolewa kwa nia ya kuiunga mkono serikali ya Kizayuni na kuchochea mifarakano baina ya nchi za Kiislamu…
-
DuniaMaandamano Makubwa yafanyika katika Miji ya Marekani yakilenga Kusitishwa Mara Moja vita vinavyo endelea huko Ghaza
Maandamano makubwa yamefanyika siku ya Ijumaa katika miji kadhaa nchini Marekani huku yakihudhuriwa na watu wengi, watu hao walidai kusitishwa mara moja kwa vita huko Ghaza na kusema kuwa njia…
-
DuniaMfumo wa Tawala iliyopo kwa niaba ya Marekani
Kuna nguvu moja tu iliyopo kwa niaba katika Dunia hii, na hiyo ni utawala haram wa Kizayuni
-
DuniaWafanyakazi wa Microsoft wavuruga sherehe, wasema AI ya shirika imechangia mauaji ya kimbari Gaza
Wafanyakazi wa shirika la Microsoft la Marekani wameandamana wakati wa tukio la sherehe ya miaka 50 ya kuanzisha kampuni hiyo, wakitangaza upinzani wao dhidi ya kutumiwa teknolojia ya Akili Mnemba…
-
DuniaVisa za wanafunzi 300 wanaoipinga Israel katika vyuo vikuu vya Marekani zafutwa
Marekani imefuta visa za wanafunzi wa kigeni 300 kwa sababu ya kushiriki maandamano ya kuunga mkono Palestina katika vyuo vikuu vya nchi hiyo.
-
DuniaAyatullah Khamenei: Ikiwa Marekani itafanya ukhabithi dhidi ya taifa la Iran, itazabwa kofi kali
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameionya Marekani dhidi ya kutumia lugha ya vitisho dhidi ya Iran.
-
DuniaTrump atahadharishwa: Vita na Iran havifanani na utembeaji kwenye 'maonyesho ya mitindo'
Ted Galen Carpenter, mchambuzi mashuhuri wa masuala ya kijeshi wa Marekani amemtahadharisha rais wa nchi hiyo Donald Trump na matokeo hatari ya kuanzisha vita dhidi ya Iran.