Sheikh Ibrahim Zakzaky (10)
-
DuniaMatumaini ya Sheikh Zakzaky Kuhusiana na Kuenea Amani Duniani
Hawza/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, jana alikutana na kundi la machifu na viongozi wa makabila ya kaskazini mwa nchi hiyo na kufanya nao mazungumzo.
-
DuniaKatika nchi hii ya Kiafrika, mshikamano na watu wanyonge wa Palestina na ziara ya Atabati Tukufu huonekana kama kosa
Hawza/ Baada ya kupita miezi kadhaa tangia maandamano ya amani ya Siku ya Quds nchini Nigeria ambayo yalivamiwa kwa ukatili mkubwa na majeshi yenye silaha ya Nigeria na kwa masikitiko makubwa…
-
DuniaSherehe za Wiki ya Umoja nchini Nigeria
Hawza / Sherehe na hotuba zenye maudhui ya kuadhimisha Wiki ya Umoja na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (swww) pamoja na Imam Ja‘far al-Sadiq (as) zinafanyika kote nchini Nigeria…
-
DuniaSheikh Zakzaky awapokea mazuwari wa Kinigeria kabla ya kuondoka kuelekea matembezi ya Arubaini ya Husein (as)
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Ibrahim Zakzaky, amewapokea mahujaji wote wa Nigeria wanaokusudia kuelekea Karbala katika siku za Arubaini ya Husein, kabla ya kuondoka kwao…
-
DuniaSheikh Ibrahim Zakzaky: Quds ni alama ya imani na mapambano kwa ajili ya Umma wa Kiislamu
Hawza/ Kufuatia matukio ya hivi karibuni katika Ukanda wa Ghaza na dunia kuwaunga mkono wananchi wanyonge wa Palestina, pamoja na kulaaniwa kwa jinai za kibinadamu zinazofanywa na utawala wa…
-
HawzaUmuhimu wa kutambua nyakati kwa mtazamo wa Sheikh Ibrahim Zakzaky
Hawzah/ Ayatollah Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema: “Hata kama chaguo la mwisho katika njia ya muqawama ni kufa kishahidi, bado hiyo ni furaha kubwa zaidi, kama alivyochagua Imam Hussein (as) katika…
-
DuniaSheikh Zakzaky: Iran Iko Katika Upande Sahihi wa kihistoria na Inajilinda Vizuri
Hawza/ Sheikh Zakzaky amesema kuwa; Iran inajilinda vyema dhidi ya uvamizi wa adui Mzayuni, huku dunia nzima ikishuhudia vipimo viwili vya haki za binadamu vinavyotumika na Magharibi, pamoja…
-
DuniaKiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria akukutana na Kundi la wasanii
Hawza/ Kundi la wasanii kutoka Nigeria limekutana na kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria, Sayyid Ibrahim Zakzaky, huko Abuja.
-
HawzaNigeria yaandaa hafla ya kumbukumbu ya mashahidi waliopata shahada kwa ajili ya kuwahudumia wananchi
Hawza/ Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria inayoongozwa na Sheikh Ibrahim Zakzaky iliandaa hafla ya kumbukumbu ya kufikia mwaka mmoja wa mashahidi wa ajali ya ndege iliyotokea mwezi Mei, siku…
-
DuniaSheikh Ibrahim Zakzaky aomba kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa nchini Nigeria
Hawza/ Sheikh Sayyid Ibrahim Zakzaky amekutana na baadhi ya watu waliokuwa wamefungwa kwa muda wa miaka sita lakini hatimaye wameachiwa huru baada ya kufutiwa mashtaka.