Sheikh Ibrahim Zakzaky (17)
-
Sheikh Zakzaky:
DuniaLengo la Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ni kuitumikia jamii kwa ikhlasi
Hawza/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amesisitiza kwamba; shughuli za vitengo mbalimbali vya harakati hiyo kwa hakika zinafanyika kwa ajili ya “kuokoa na…
-
Sheikh Ibrahim Zakzaky:
DuniaUlimwengu leo hii unahitajia kurejea fikra za Imaam Khomein (ra)
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa dunia ya leo inahitaji kurejea katika fikra za Imam (r.a.)
-
DuniaKongamano la uhamasishaji kuhusu mafanikio ya Imam Khomeini (r.a.) nchini Nigeria
Hawza/ Katika mwendelezo wa ratiba za wiki ya kumbukumbu ya Imam Khomeini (r.a.), Jukwaa la Wasomi wa Vyuo Vikuu na Wahadhiri (Academic Forum) la Harakati ya Kiislamu chini ya uongozi wa Sheikh…
-
Sheikh Ibrahim Zakzaky:
DuniaMapenzi kwa Ahlul-Bayt (a.s.) si madai tu, bali ni vitendo na kujitolea
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, huku akirejelea nafasi ya juu ya Ahlul-Bayt (a.s.), alisisitiza: Mapenzi kwa Ahlul-Bayt (a.s.) si madai ya maneno tu, bali ni kufuata kwa vitendo…
-
DuniaKongamano lenye Mhimili wa Fikra za Imam Khomeini (ra) kufanyika nchini Nigeria
Hawza/ “Jukwaa la Kielimu la Harakati ya Kiislamu” (AFIM) nchini Nigeria, chini ya uongozi wa Sheikh Ibrahim Yaqub Zakzaky, limetangaza kufanyika kwa duru ya thelathini na saba ya “Wiki ya Imam”…
-
Ujumbe wa kufunga kongamano la vijana wa Fentua nchini Nigeria:
DuniaNi mwanadamu aliyejirekebisha pekee ndiye anayeweza kurekebisha wengine
Hawza/ Baraza la Vijana wa Harakati ya Kiislamu chini ya uongozi wa Sheikh Sayyid Ibrahim Yaqub Zakzaky katika eneo la Fentua (eneo la Sayyid Zakzaky), limefanya mkusanyiko wa kielimu na kitamaduni…
-
Sheikh Ibrahim Zakzaky:
DuniaKufikisha ujumbe wa dini kupitia tabia na vitendo ni muhimu zaidi kuliko hotuba
Hawza/ Kongamano la tatu la “Kamati ya Malezi na Ulinganiaji” kwa uwepo wa Ibrahim Zakzaky nchini Nigeria lilihitimisha shughuli zake.
-
DuniaSheikh Ibrahim Zakzaky: Uislamu uko juu ya ukabila na rangi
Hawza/ Kongamano la pili la “Umoja wa Washairi” limehitimishwa kwa hotuba ya Sheikh Ibrahim Zakzaky katika mji wa Abuja.
-
DuniaMahufadhi wa Qur’ani Tukufu nchini Nigeria waliadhimisha kumbukumbu ya wanafunzi mashahidi wa Minab
Hawza/ Harakati ya Kiislamu chini ya uongozi wa Ibrahim Yaqoub Zakzaky iliandaa hafla ya toleo la kumi na tano ya sherehe ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu. Katika hafla hiyo, zaidi ya wanafunzi mia…
-
DuniaKundi la wanafunzi wa Kiafrika Wakuta na Sheikh Ibrahim Zakzaky + Picha
Hawza/ Kundi la wanafunzi wa kiume na wa kike kutoka hawza za Iran, Iraq na Lebanon walimtembelea Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, katika makazi yake na kufanya …
-
DuniaMatumaini ya Sheikh Zakzaky Kuhusiana na Kuenea Amani Duniani
Hawza/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, jana alikutana na kundi la machifu na viongozi wa makabila ya kaskazini mwa nchi hiyo na kufanya nao mazungumzo.
-
DuniaKatika nchi hii ya Kiafrika, mshikamano na watu wanyonge wa Palestina na ziara ya Atabati Tukufu huonekana kama kosa
Hawza/ Baada ya kupita miezi kadhaa tangia maandamano ya amani ya Siku ya Quds nchini Nigeria ambayo yalivamiwa kwa ukatili mkubwa na majeshi yenye silaha ya Nigeria na kwa masikitiko makubwa…
-
DuniaSherehe za Wiki ya Umoja nchini Nigeria
Hawza / Sherehe na hotuba zenye maudhui ya kuadhimisha Wiki ya Umoja na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (swww) pamoja na Imam Ja‘far al-Sadiq (as) zinafanyika kote nchini Nigeria…
-
DuniaSheikh Zakzaky awapokea mazuwari wa Kinigeria kabla ya kuondoka kuelekea matembezi ya Arubaini ya Husein (as)
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Ibrahim Zakzaky, amewapokea mahujaji wote wa Nigeria wanaokusudia kuelekea Karbala katika siku za Arubaini ya Husein, kabla ya kuondoka kwao…
-
DuniaSheikh Ibrahim Zakzaky: Quds ni alama ya imani na mapambano kwa ajili ya Umma wa Kiislamu
Hawza/ Kufuatia matukio ya hivi karibuni katika Ukanda wa Ghaza na dunia kuwaunga mkono wananchi wanyonge wa Palestina, pamoja na kulaaniwa kwa jinai za kibinadamu zinazofanywa na utawala wa…
-
HawzaUmuhimu wa kutambua nyakati kwa mtazamo wa Sheikh Ibrahim Zakzaky
Hawzah/ Ayatollah Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema: “Hata kama chaguo la mwisho katika njia ya muqawama ni kufa kishahidi, bado hiyo ni furaha kubwa zaidi, kama alivyochagua Imam Hussein (as) katika…
-
DuniaSheikh Zakzaky: Iran Iko Katika Upande Sahihi wa kihistoria na Inajilinda Vizuri
Hawza/ Sheikh Zakzaky amesema kuwa; Iran inajilinda vyema dhidi ya uvamizi wa adui Mzayuni, huku dunia nzima ikishuhudia vipimo viwili vya haki za binadamu vinavyotumika na Magharibi, pamoja…