Mapinduzi ya kiislamu ya Iran (34)
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi:
DuniaKhomeini Mkuu na shahidi Khamenei walihuisha utayari wa taifa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei amesema: Khomeini Mkuu na shahidi Khamenei waligundua na kuhuisha utayari wa taifa.
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu daima yamesimama dhidi ya ubeberu wa Marekani na Israel
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba yake alisema: ikiwa duniani kuna yeyote aliyesimama dhidi ya ubeberu wa Marekani na Israel na kuupinga kwa mapambano,…
-
DuniaMlipuko wa hisia za watu wa Qum katika kuadhimisha Siku ya Qudsi/ Kiapo cha utii cha umma kwa Walii wa Amri/ Tuko tayari kujitoa hadi roho kwa ajili ya Iran
Hawza/ Matembezi ya kuvunja nguvu za maadui ya Siku ya Qudsi mwaka huu katika chimbuko la Mapinduzi ya Kiislamu pia yana wageni maalumu; leo miili mitakatifu ya mashahidi wapendwa inabebwa juu…
-
Ayatullah A’rafi katika Matembezi ya Kimataifa ya Siku ya Qudsi:
DuniaUwepo wa wananchi uwanjani, kujitolea kwa vikosi vya ulinzi na uongozi wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sababu tatu za nguvu ya mfumo mtukufu wa Jamhuri ya Kiislamu/ Tunapaswa kulishukuru taifa kubwa la Iran
Hawza/ Ayatullah A’rafi amesema: uwepo wa wananchi uwanjani, kujitolea kwa vikosi vya ulinzi na uongozi wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sababu tatu za nguvu ya mfumo mtukufu wa Jamhuri ya Kiislamu,…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi:
DuniaHatari zaidi kuliko Manowari ni silaha inayoweza kuizamisha hiyo Manowari hadi kwenye kina cha bahari
Hawza/ Kiongozi Mkuu, katika kujibu vitisho vya Marekani, amesema: Hatari kuliko manowari ni silaha inayoweza kuipeleka hadi kina cha bahari.
-
DuniaKikao cha kielimu kwa anuani “Utambuzi wa kimapinduzi wa wanawake” chafanyika mjini Karachi, Pakistan
Hawza/ Kikao cha kielimu chenye anuani “Utambuzi wa kimapinduzi wa wanawake” kilifanyika kwa ushiriki wa walimu na wanafunzi katika Hawza ya wanawake ya mji wa Karachi, Pakistan, ambapo ilisisitizwa…
-
Mtafiti na mwandishi wa Kituruki:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu yaliurudisha tena Uislamu katika zama za kisasa kama mhusika hai katika uwanja wa historia
Hawza/ Yusuf Tazegun, mtafiti na mwandishi wa Kituruki, alisema: Sifa iliyo wazi zaidi ya Imam Khomeini (r.a) ni kwamba aliizingatia dini si kwa ajili ya Akhera pekee, bali pia kwa ajili ya kupanga…
-
Mwakilishi wa Sheikh Issa Qassim:
DuniaVitisho vya Rais wa Marekani ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na uvamizi wa mamlaka ya Iran
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Abdallah Al-Daqqaq amesema; vitisho vya Rais wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni “ukiukaji wa kanuni za kimataifa…
-
Mkurugenzi wa Hawza ya Wabahreini mjini Qom:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni kwa ajili ya Waislamu wote na hata watu huru duniani
Hawza/ Sheikh Abdallah Al-Daqqaq, Mkurugenzi wa Hawza ya Wabahreini mjini Qom, ameelezea ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuwa ni “mlipuko wa nuru”, huku akisisitiza kuwa; haukuishia ndani ya…
-
Mjumne wa Harakati ya Amal ya Lebanon:
DuniaUhusiano wetu na Iran ni wa kihistoria, wa kina na wenye mizizi imara
Hawza/ Harakati ya Amal nchini Lebanon imeandaa hafla ya kumheshimu Mojtaba Amani, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon.
-
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlus‑Sunna Iraq:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu si kwamba yaliibadilisha Iran pekee, bali eneo lote
Hawza/ Sheikh Khaled al‑Mulla, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlus-Sunna Iraq, huku akisisitiza nafasi ya mabadiliko iliyoletwa na Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, alielezea kuwa ni hatua…
-
Alia al-Yasir, mwandishi wa habari:
Dunia22 Bahman si tarehe tu, bali ni alama ya ustahimilivu dhidi ya mfumo wa utawala wa kimataifa
Hawza/ Alia al-Yasir, mwandishi wa habari wa Iraq, huku akisisitiza ujumbe wa kimataifa wa Mapinduzi ya Kiislamu, aliielezea 22 Bahman kuwa ni alama ya ustahimilivu na kusimama kidete dhidi ya…
-
DuniaWananchi wa Pakistan washiriki kwa wingi katika matembezi ya kifahari ya maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Sambamba na maadhimisho ya miaka arobaini na saba tangu ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, miji mbalimbali ya Pakistan ilishuhudia kufanyika matembezi na mikusanyiko mikubwa ambapo…
-
DuniaUakisi mpana wa maandamano ya tarehe 22 Bahman katika vyombo vya habari vya dunia
Hawza/ ushiriki wa hamasa wa wananchi wa Iran katika maandamano ya tarehe 22 Bahman, kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka arobaini na saba ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, umeibua radi amali…
-
DuniaRais wa Pakistan atoa ujumbe wa pongezi kutokana na maadhimisho ya miaka arobaini na saba ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Asif Ali Zardari, Rais wa Pakistan, katika ujumbe wake alisisitiza uhusiano wa kihistoria na wa kitamaduni ulio na mizizi ya kina kati ya Tehran na Islamabad, na akatoa pongezi kwa mnasaba…
-
DuniaEneo la Kurdistan ya Iraq Lasherehekea Maadhimisho ya Miaka ya 47 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Hafla ya kuadhimisha kumbukumbu ya miaka ya arobaini na saba ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, kwa ushiriki mkubwa wa wasomi wa kisiasa, kitamaduni, kidini na kijamii kutoka…
-
Ayatullah A‘rafi atoa shukrani kwa taifa tukufu la Iran:
HawzaUwepo unaoleta umoja na sherehe kubwa ya Wairani unaongeza mara dufu na kuufanya kuwa mzito sana wajibu wetu na wa viongozi
Hawza/ Mkuu wa Hawza za Elimu ya Dini amesema: Ujumbe wa wazi wa taifa ni kusimama imara juu ya malengo ya Uislamu, Mapinduzi na mashahidi watukufu, kufuata uongozi wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi…
-
DuniaUjumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki kwa mnasaba wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki, kutokana na mnasaba wa Siku ya Kitaifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imetoa ujumbe wa pongezi.
-
DuniaSheikh Zakzaky atoa ujumbe wa pongezi kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria alitoa ujumbe wa pongezi kwa maadhimisho ya miaka arobaini na saba ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, akiwapongeza Waislamu duniani,…
-
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon:
DuniaJamhuri ya Kiislamu haitaafikiana juu ya haki yake ya kupata na kutumia teknolojia ya nyuklia ya amani
Hawza/ Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon alisema: katika njia ya maendeleo, Jamhuri ya Kiislamu kamwe haitapuuzia haki yake halali na isiyoweza kujadiliwa ya kupata na kutumia…
-
Mkondo wa Kiislamu wa Muqawama nchini Lebanon:
DuniaIran inatekeleza nafasi ya unabii katika kukabiliana na Firauni wa zama hizi, yaani Uzayuni-Marekani
Hawza/ Mkondo wa Kiislamu wa Muqawama nchini Lebanon ulitoa pongezi kwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika maadhimisho ya miaka arobaini na saba ya ushindi wake, huku ukipongeza uongozi wake…
-
DuniaWanazuoni wa Kiislamu na wasomi ulimwenguni watoa wito wa kuitikia kauli ya Kiongozi wa Waislamu duniani
Hawza/ Baadhi ya shakhsia mashuhuri za kielimu na kifikra katika ulimwengu wa Kiislamu, wakijibu kauli ya Kiongozi wa Mapinduzi, kwa kutuma ujumbe wa pamoja wa video, wameitaja tarehe 22 Bahman…
-
DuniaRipoti kuhusiana na hamasa isiyo na mfano iliyo oneshwa na taifa la Iran; 22 Bahman 1404; siku iliyozinduliwa ngome kubwa zaidi katika Taifa la Iran
Hawza/ Wananchi wa Qum wakiwa sambamba na watu wa maeneo yote ya Iran walithibitisha kwamba ngome muhimu zaidi ya nchi ya Iran na silaha yenye athari kubwa zaidi ya ulinzi ni uwepo huu mpana…
-
DuniaSherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika makazi ya ubalozi wa Vatican
Hawza/ Sherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika makazi ya ubalozi wa Vatican, huku baadhi ya maafisa wa Vatican na mabalozi kadhaa pamoja na wakuu wa uwakilishi wa nchi mbalimbali…
-
DuniaSherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yafanyika nchini Armenia
Hawza/ Sherehe ya Mapinduzi kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika mji wa Kapan nchini Armenia kwa ushiriki wa Wairani na Waarmenia wenye…
-
Rais wa Baraza la Wadhamini wa Muungano wa Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon:
DuniaJamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mapinduzi kwa Umma mzima wa Kiislamu
Hawza/ Sheikh Ghazi Hanina, Rais wa Baraza la Wadhamini wa Muungano wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, huku akisisitiza juu ya asili ya Kiislamu na malengo ya kimataifa ya Mapinduzi ya Iran,…
-
HawzaAyatullah A‘rafi ashiriki katika matembezi ya kuzivunja nguvu za adui ya 22 Bahman
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, ameshiriki sambamba na wananchi wa kimapinduzi na wachamungu katika matembezi ya kishujaa na ya kuzivunja nguvu za adui ya tarehe 22 Bahman mjini Qum.
-
Ayatullah Shab Zende-dar katika maandamano ya 22 Bahman:
DuniaWananchi wameonesha kuwa wamesimama pamoja na Mapinduzi na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza za Elimu za Kiislamu, akirejelea ushiriki mkubwa na wa kishujaa wa wananchi watiifu kwa uongozi wa Wilaya na wa kimapinduzi katika maandamano ya 22 Bahman,…
-
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Maleki:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu yaliwatoa Wairani kwenye ukandamizaji wa utawala wa Twa'ghuti na kuwafikisha kwenye “uhuru”
Hawza/ Naibu Mkurugenzi wa Hawza ya Ilimu ya Dini ya Qom, huku akisisitiza nafasi muhimu ya Mapinduzi ya Kiislamu katika kuiokoa Iran kutoka katika ukandamizaji wa kitamaduni na kidini wa enzi…
-
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithaasharia Tanzania (TIC)
DuniaUshindi wa Uislamu upo kwenye kushikamana na Uislamu asili wa Muhammad (saww) na tamaduni ya Karbalaa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Mashia nchini Tanzania (TIC) ,Maulana Sheikh Hemed Jalala katika hafla ya mazazi ya Imam Mahd (aj) sambamba na maadhimisho ya miaka 47 tangia Mapinduzi ya Jamhuri…