Mapinduzi ya kiislamu ya Iran (18)
-
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon:
DuniaJamhuri ya Kiislamu haitaafikiana juu ya haki yake ya kupata na kutumia teknolojia ya nyuklia ya amani
Hawza/ Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon alisema: katika njia ya maendeleo, Jamhuri ya Kiislamu kamwe haitapuuzia haki yake halali na isiyoweza kujadiliwa ya kupata na kutumia…
-
Mkondo wa Kiislamu wa Muqawama nchini Lebanon:
DuniaIran inatekeleza nafasi ya unabii katika kukabiliana na Firauni wa zama hizi, yaani Uzayuni-Marekani
Hawza/ Mkondo wa Kiislamu wa Muqawama nchini Lebanon ulitoa pongezi kwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika maadhimisho ya miaka arobaini na saba ya ushindi wake, huku ukipongeza uongozi wake…
-
DuniaWanazuoni wa Kiislamu na wasomi ulimwenguni watoa wito wa kuitikia kauli ya Kiongozi wa Waislamu duniani
Hawza/ Baadhi ya shakhsia mashuhuri za kielimu na kifikra katika ulimwengu wa Kiislamu, wakijibu kauli ya Kiongozi wa Mapinduzi, kwa kutuma ujumbe wa pamoja wa video, wameitaja tarehe 22 Bahman…
-
DuniaRipoti kuhusiana na hamasa isiyo na mfano iliyo oneshwa na taifa la Iran; 22 Bahman 1404; siku iliyozinduliwa ngome kubwa zaidi katika Taifa la Iran
Hawza/ Wananchi wa Qum wakiwa sambamba na watu wa maeneo yote ya Iran walithibitisha kwamba ngome muhimu zaidi ya nchi ya Iran na silaha yenye athari kubwa zaidi ya ulinzi ni uwepo huu mpana…
-
DuniaSherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika makazi ya ubalozi wa Vatican
Hawza/ Sherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika makazi ya ubalozi wa Vatican, huku baadhi ya maafisa wa Vatican na mabalozi kadhaa pamoja na wakuu wa uwakilishi wa nchi mbalimbali…
-
DuniaSherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yafanyika nchini Armenia
Hawza/ Sherehe ya Mapinduzi kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika mji wa Kapan nchini Armenia kwa ushiriki wa Wairani na Waarmenia wenye…
-
Rais wa Baraza la Wadhamini wa Muungano wa Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon:
DuniaJamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mapinduzi kwa Umma mzima wa Kiislamu
Hawza/ Sheikh Ghazi Hanina, Rais wa Baraza la Wadhamini wa Muungano wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, huku akisisitiza juu ya asili ya Kiislamu na malengo ya kimataifa ya Mapinduzi ya Iran,…
-
HawzaAyatullah A‘rafi ashiriki katika matembezi ya kuzivunja nguvu za adui ya 22 Bahman
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, ameshiriki sambamba na wananchi wa kimapinduzi na wachamungu katika matembezi ya kishujaa na ya kuzivunja nguvu za adui ya tarehe 22 Bahman mjini Qum.
-
Ayatullah Shab Zende-dar katika maandamano ya 22 Bahman:
DuniaWananchi wameonesha kuwa wamesimama pamoja na Mapinduzi na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza za Elimu za Kiislamu, akirejelea ushiriki mkubwa na wa kishujaa wa wananchi watiifu kwa uongozi wa Wilaya na wa kimapinduzi katika maandamano ya 22 Bahman,…
-
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Maleki:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu yaliwatoa Wairani kwenye ukandamizaji wa utawala wa Twa'ghuti na kuwafikisha kwenye “uhuru”
Hawza/ Naibu Mkurugenzi wa Hawza ya Ilimu ya Dini ya Qom, huku akisisitiza nafasi muhimu ya Mapinduzi ya Kiislamu katika kuiokoa Iran kutoka katika ukandamizaji wa kitamaduni na kidini wa enzi…
-
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithaasharia Tanzania (TIC)
DuniaUshindi wa Uislamu upo kwenye kushikamana na Uislamu asili wa Muhammad (saww) na tamaduni ya Karbalaa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Mashia nchini Tanzania (TIC) ,Maulana Sheikh Hemed Jalala katika hafla ya mazazi ya Imam Mahd (aj) sambamba na maadhimisho ya miaka 47 tangia Mapinduzi ya Jamhuri…
-
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema:
HawzaWanao unga mkono Mapinduzi ya Kiislamu waongezeka duniani/ Mahitaji mapya yamejitokeza katika uwanja wa dini na tablighi
Hawza/ Ayatullah A‘rafi amesisitiza kuwa; watu duniani katika nchi mbalimbali wameonesha uungaji mkono na huruma isiyokuwa na mfano kwa fikra ya Mapinduzi ya Kiislamu na mitazamo ya kidini.
-
Baraza la Mashia nchini India:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni matumaini na uimara kwa wanyonge duniani
Hawza/ Baraza la Mashia nchini India, katika ujumbe wake limesisitiza kuwa; Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran si tu alama ya uhuru na kujitawala kwa taifa la Iran, bali pia ni mjumbe wa matumaini,…
-
Ayatullah Hosseini Bushehri katika Swala ya Ijumaa ya Qum Iran:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu Iran, yameondoa udhalili kwa watu wa Iran/ Adui ameekeza katika vita vya kisaikolojia na uzushi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum amesema: Mapinduzi ya Kiislamu yameondoa udhalili kwa watu wa Iran na kuweka badala yake heshima na kumtegemea Mwenyezi Mungu.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Johannesburg, Afrika Kusini:
DuniaKaulimbiu za Mapinduzi ya Kiislamu zilikuwa ni Muhimili wa Muqāwama kwa Waislamu Afrika Kusini
Hawza/ Farid Is-haq amesema: Tajriba ya Afrika Kusini inaonesha kuwa hotuba ya Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kurejea upya na kufasiri upya dhana za Qur’ani Tukufu, zilichukua nafasi muhimu katika…
-
Mshauri wa mudiri wa Hawza nchini Irani:
HawzaMapinduzi ya kiislamu ya Iran ni Utimilifu wa ndoto ya serikali ya miaka 1400
Hujjatul Islam wal Muslimin Zamani, ameelezea ushindi wa mapinduzi ya kiislamu kama hatua muhimu katika historia ya uislamu na kusema kuwa: Mapinduzi hayo yametimiza ndoto ya serikali ya kidini…