Ayatollah Araki (4)
-
Ayatollah Mohsen Araki amesema:
HawzaAina yoyote ya hujuma dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sawa na kuyaangamiza maslahi ya Marekani na washirika wake duniani kote
Hawza/ Mjumbe wa Bodi ya Uongozi ya Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Majlisi ya Khobregān-e Rahbari) amesema: Aina yoyote ya hujuma dhidi ya nafsi takatifu ya Kiongozi wa Mapinduzi itaondoa kabisa…
-
Ayatollah Araki katika Mkutano wa Wanazuoni wa Hawza:
HawzaKujisalimisha na kukubaliana na dhulma ni haramu juu yetu/ Sisi ni wafuasi wa Imam Hussein (a.s) na tuko tayari kujitolea maisha yetu
Hawza/ Mwanachama wa Baraza Kuu la Hawza, Ayatollah Mohsen Araki, katika mkutano mkubwa wa wanazuoni wa Hawza uliofanyika leo asubuhi katika Hawza ya Faydhiyya mjini Qom kwa ajili ya kulaani…
-
Ayatollah Araki katika kikao cha viongozi wa mikoa wa Hawza:
HawzaHawza haijajitenga mbali na siasa
Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza amesema kuwa, maandalizi ya wanafunzi wa elimu ya dini (talaba) yanapaswa kufanyika kwa haraka, na akasisitiza kuwa: "Ili kufanikisha lengo hili, hatupaswi kupunguza…
-
Ayatollah Araki katika mkutano unao husu “Matumizi na uwezo wa akili mnemba”:
HawzaMatumizi ya akili mnemba ni jambo la wajibu / Mafaqihi wabainishe hukumu za kifiqhi zinazohusiana na akili mnemba
Mjumbe wa Jumuiya ya walimu wa Hawza ya Qom {Jamiat Mudarrisin} alieleza wazi kwamba: Kuwekeza nguvu katika mkakati mara nyingi kunahusiana na mienendo ya kawaida, na akili mnemba pia ina nafasi…