Ijumaa 17 Julai 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Mchambuzi wa Kijeshi wa Yemen: Kushambuliwa kwa Uwanja wa Ndege wa Sana'a Kumemaliza Hatua ya Kupunguza Mvutano na Kurudisha Mzozo Katika Hatua ya Mwanzo

    DuniaMchambuzi wa Kijeshi wa Yemen: Kushambuliwa kwa Uwanja wa Ndege wa Sana'a Kumemaliza Hatua ya Kupunguza Mvutano na Kurudisha Mzozo Katika Hatua ya Mwanzo

    Hawza/ Mchambuzi wa masuala ya kijeshi wa Yemen, Meja Jenerali Khalid Ghurab, amesema kuwa kulengwa kwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a ni maendeleo hatari katika mwenendo wa matukio,…

    2026-07-17 21:00
  • Marekani Haina Haki ya Kutoza Ushuru Meli Zinazopita katika Mlango-Bahari wa Hormuz

    Rais wa Brazil:

    DuniaMarekani Haina Haki ya Kutoza Ushuru Meli Zinazopita katika Mlango-Bahari wa Hormuz

    Hawza/ Rais wa Brazil amekosoa uamuzi wa Donald Trump wa kutoza ushuru meli zinazopita katika Mlango-Bahari wa Hormuz, akisema kuwa hatua hiyo haina uhalali, na kwamba serikali ya Marekani inajaribu…

    2026-07-17 20:00
  • Polisi wa Hispania Wamkamata Mtu Aliyetukana Uislamu na Kusambaza Chuki Dhidi ya Waislamu

    DuniaPolisi wa Hispania Wamkamata Mtu Aliyetukana Uislamu na Kusambaza Chuki Dhidi ya Waislamu

    Hawza/ Mtu mwenye umri wa miaka 55 aliyekuwa akitumia rangi za kupulizia kuandika maneno ya chuki dhidi ya Uislamu, vitisho na matusi kwenye ukuta wa msikiti mmoja nchini Uhispania amekamatwa…

    2026-07-17 19:00
  • Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Katika Mkutano na Wanafunzi wa Hawza ya Karbala: Asisitiza Kuendelezwa Njia ya Mashahidi na Nafasi ya Wanafunzi Katika Kueneza Mafundisho ya Ahlul-Bayt (as)

    DuniaKiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Katika Mkutano na Wanafunzi wa Hawza ya Karbala: Asisitiza Kuendelezwa Njia ya Mashahidi na Nafasi ya Wanafunzi Katika Kueneza Mafundisho ya Ahlul-Bayt (as)

    Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky, katika mkutano wake na kundi la wanafunzi wa harakati hiyo wanaosoma katika Hawza ya Karbala Tukufu, alisisitiza kuwa;…

    2026-07-17 18:00
  • Mjapani Asilimu Baada ya Kusoma Qur'ani Tukufu

    DuniaMjapani Asilimu Baada ya Kusoma Qur'ani Tukufu

    Hawza/ Bw. Kazuki Suleiman Kanehara, raia wa Japan mwenye umri wa miaka 31, ameukumbatia Uislamu kwa moyo mkunjufu baada ya kusoma Qur'ani Tukufu.

    2026-07-17 17:00
  • Mahakama ya Bahrain na Kuwakusudia Waislamu wa Madhehebu ya Shia

    DuniaMahakama ya Bahrain na Kuwakusudia Waislamu wa Madhehebu ya Shia

    Hawza/ Haijalishi utawala wa Bahrain utajaribu kwa kiasi gani kuficha kufungwa kwa makumi ya wanazuoni na maulamaa wa Kishia kwa kuwabandika tuhuma za "uhaini" ili kuharibu heshima na hadhi yao,…

    2026-07-17 16:00
  • Kubeba Vifaa vya Kidini Kwapigwa Marufuku Katika Magereza ya Bahrain

    DuniaKubeba Vifaa vya Kidini Kwapigwa Marufuku Katika Magereza ya Bahrain

    Hawza/ Kwa mtazamo wa kila anayefuatilia masuala ya Bahrain, imekuwa wazi kuwa utawala wa Aal Khalifa umejengwa juu ya msingi wa ubaguzi na mateso ya kidini. Serikali hiyo hutoa madai yasiyoendana…

    2026-07-17 15:00
  • Mashia Hawatakuwa Chombo cha Fitna; Lebanon Haina Njia ya Wokovu Isipokuwa Umoja wa Kitaifa

    Imamu wa Ijumaa wa Beirut:

    DuniaMashia Hawatakuwa Chombo cha Fitna; Lebanon Haina Njia ya Wokovu Isipokuwa Umoja wa Kitaifa

    Hawza/ Hujjatul Islam Sayyid Ali Fadlullah, Imamu wa Ijumaa wa Beirut, amesema kuwa, Mashia hawatakuwa chombo cha kuchochea fitna, akisisitiza kwamba Lebanon haina njia nyingine ya kuokoka isipokuwa…

    2026-07-17 14:00
  • Mkutano Mkubwa wa Wanazuoni wa Lebanon, Wafanyika kwa Kumuenzi Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei

    DuniaMkutano Mkubwa wa Wanazuoni wa Lebanon, Wafanyika kwa Kumuenzi Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei

    Hawza/ Nchini Lebanon, hafla kubwa na ya kitaifa iliyoandaliwa kwa ushiriki wa wanazuoni wa dini kutoka madhehebu na makundi mbalimbali imefanyika kwa ajili ya kumuenzi na kutoa rambirambi kufuatia…

    2026-07-17 13:00
  • Hafla ya "Imamu wa Mashahidi" Yafanyika huko Al-Hermel, Lebanon kwa Kumuenzi Imam Khamenei

    DuniaHafla ya "Imamu wa Mashahidi" Yafanyika huko Al-Hermel, Lebanon kwa Kumuenzi Imam Khamenei

    Hawza / Harakati ya Hizbullah ya Lebanon pamoja na Jumuiya ya Vituo vya Utamaduni vya Imam Khomeini (qs) zimeandaa hafla iliyopewa jina la "Imamu wa Mashahidi" kwa ajili ya kumuenzi Kiongozi…

    2026-07-17 12:00
  • Muislamu Mwoga; Kiraka Kisichofaa Katika Mwili wa Umma wa Kiislamu

    DuniaMuislamu Mwoga; Kiraka Kisichofaa Katika Mwili wa Umma wa Kiislamu

    Hawza/ Muislamu mwoga na dhaifu si tu kwamba hana nafasi katika mantiki ya wahyi, bali pia kwa kupuuza 'amali njema' iliyo ya msingi kabisa — yaani kuwaghadhibisha maadui wa safu ya ukafiri —…

    2026-07-17 11:05

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan
  • Italiano
  • Hausa
  • indonesia
  • 中文

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom