Jumapili 1 Juni 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Maulamaa wa Pakistan watoa ombi la Kuzingatiwa kwa viongozi wa Saudia

    DuniaMaulamaa wa Pakistan watoa ombi la Kuzingatiwa kwa viongozi wa Saudia

    Hawza/ Maulamaa mashuhuri wa Pakistan, katika khutba za Ijumaa, wameomba kwamba mwaka huu, viongozi wa Hija wa Saudi Arabia wafikishe ujumbe wa kuikomboa Baytul-Maqdis na mwamko wa Umma wa Kiislamu…

    2025-05-31 21:09
  • Imam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf atoa tahadhari Kuhusiana na Njama Iliyoandaliwa Dhidi ya Waislamu wa Kishia nchini Iraq

    DuniaImam wa Ijumaa wa Najaf Ashraf atoa tahadhari Kuhusiana na Njama Iliyoandaliwa Dhidi ya Waislamu wa Kishia nchini Iraq

    Hawza/ "Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi, akizungumzia ombi la Marekani la kutaka kuvunjwa kwa kikosi cha Hashdu al-Sha'bi nchini Iraq, alisema: Kwa nini Marekani inasisitiza…

    2025-05-31 21:08
  • Benedict Cumberbatch aungana na waandamanaji dhidi ya mauzo ya silaha kwa Israel

    DuniaBenedict Cumberbatch aungana na waandamanaji dhidi ya mauzo ya silaha kwa Israel

    Hawza/ Zaidi ya wasanii 300, madaktari, na wanajumuiya wa chuo kikuu nchini Uingereza, wametia saini barua ambayo inamtaka Waziri Mkuu wa Uingereza kuchukua hatua za haraka kuhusiana na vita…

    2025-05-31 09:15
  • Waislamu wa Marekani wajiandaa kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Eid al-Adha

    DuniaWaislamu wa Marekani wajiandaa kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Eid al-Adha

    Hawza/ Siku ya Ijumaa sawa na tarehe 6 Juni, kumetolewa wito kwa ajili ya Swala ya Jamaa ya Sikukuu ya Eid al-Adha miongoni mwa Waislamu wa Marekani, na pia sherehe na hafla mbalimbali zimepangwa…

    2025-05-31 09:13
  • Kuvumilia wahalifu kunapelekea kuvunjika kwa jamii

    Raisi wa Harakati ya Minh'aj al-Qur’an ya Pakistan:

    DuniaKuvumilia wahalifu kunapelekea kuvunjika kwa jamii

    Dkt. Muhammad Tahir-ul-Qadri, Kiongozi wa Harakati ya Minh'aj al-Qur’an Pakistan, katika kikao cha kielimu kilichofanyika Manchester Uingereza, kwa kusisitiza heshima ya uhai wa binadamu, alilitaja…

    2025-05-31 09:13
  • Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kisheria ya Waislamu wa Kishia wa Jammu na Kashmir apinga vikali ukimya wa jumuiya ya kimataifa kuhusiana na janga la kibinadamu la Ghaza

    DuniaMwenyekiti wa Jumuiya ya Kisheria ya Waislamu wa Kishia wa Jammu na Kashmir apinga vikali ukimya wa jumuiya ya kimataifa kuhusiana na janga la kibinadamu la Ghaza

    Hujjatul-Islam Sayyid Hassan Mousawi Safawi, katika hotuba yake, alilaani vikali uhalifu unaofanywa na Israel huko Ghaza, na akasema kuwa dunia kukaa kimya mbele ya janga hili la kibinadamu haikubalik…

    2025-05-31 09:11
  • Hawza haijajitenga mbali na siasa

    Ayatollah Araki katika kikao cha viongozi wa mikoa wa Hawza:

    HawzaHawza haijajitenga mbali na siasa

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza amesema kuwa, maandalizi ya wanafunzi wa elimu ya dini (talaba) yanapaswa kufanyika kwa haraka, na akasisitiza kuwa: "Ili kufanikisha lengo hili, hatupaswi kupunguza…

    2025-05-31 09:10

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom