Hawza/ Hadhrat Ayatollah Makarim amesisitiza kuwa: Arubaini si matembezi tu; ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na ubinadamu ambayo haina mfano wowote duniani.
Kufuatia kuongezeka kwa chuki dhidi ya uislamu, Bi Bayraktar, mjumbe wa bodi ya Wanawake na Demokrasia, amesema: kupigwa marufuku mavazi ya dini kama vile hijabu kumewafanya wanawake waislamu…
Wanamichezo wanawake wa Kiislamu nchini Ufaransa wamejitokeza kupinga muswada mpya wa sheria unaolenga kupiga marufuku uvaaji wa Hijabu katika mashindano ya michezo ya kitaifa, wakisema hatua…