Sheikh Muhammad Ish-aq al-Fayyadh (11)
-
DuniaHafla ya Kumuenzi Ayatullah al-Udhma Fayyadh Yafanyika kwa Uratibu Uliopangwa na Haram Takatifu ya Hussein na Abbasi kati ya Haram Mbili Karbala
Hawza/ Hafla ya kumuenzi Ayatullah al-Udhma Muhammad Is’haq Fayyadh imefanyika kwa uratibu wa Haram Takatifu ya Husseini na Haram Takatifu ya Abbasi, kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa Ayatullah…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu atoa rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei ametuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki dunia kwa Ayatullah Haj Sheikh Ishaq Fayyadh.
-
HawzaBaraza Kuu la Hawza za latuma Ujumbe wa Rambirambi kufuatia kufariki Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Baraza Kuu la Hawza limetoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mtukufu Ayatullah Muhammad Ishaq Fayyadh, mmoja wa Marajii wa Taqlid wa Najaf Ashraf.
-
Ayatullah Makarim Shirazi:
DuniaBaraka za Ayatullah Fayyadh ndani ya Hawza ya Najaf hazitasahaulika
Hawza/ Ayatullah Makarim Shirazi ametuma salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah Hajj Sheikh Ishaq Fayyadh, mmoja wa Mar'ajii wakubwa wa Taqlid wa Najaf.
-
Hizbullah ya Lebanon:
DuniaAyatullah al-Udhma Fayyadh alikuwa nguzo ya Marjaiyya na mtumishi wa Uislamu
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon imetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh na kusisitiza kwamba; alikuwa miongoni mwa nguzo za Marjaiyya ya kidini ndani…
-
DuniaAyatullah al-Udhma Nouri Hamadani atoa salamu za rambirambi kuielekea Hawza ya Najaf
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Nouri Hamedani ametuma salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Fayyadh (ra), mmoja wa Maraji' wakubwa wa taqlid wa Najaf.
-
Ayatullah A'rafi katika ujumbe wa rambirambi:
HawzaUbunifu wa kielimu, kifiqhi na huduma za kidini pamoja na tablighi vilimfanya Ayatullah al-Udhma Fayyadh kuwa shakhsia mashuhuri
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema: Ubunifu wa kielimu na kifiqhi sambamba na huduma za kidini na tablighi za Ayatullah al-Udhma Fayyadh, hasa mchango wake usiosahaulika katika kufufua…
-
DuniaAyatullah al-Udhma Bashir Najafi: Leo mzee na Sheikh wa Najaf Ashraf ametutoka
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Sheikh Bashir Najafi, mmoja wa Maraji' wa taqlid wa Najaf Ashraf, katika taarifa yake ametoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad…
-
DuniaWaziri Mkuu wa Iraq atangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Ali Al-Zaidi, kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad Is’haq Fayyadh, ametangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa nchini Iraq.
-
DuniaUtaratibu wa ratiba ya mazishi na kuzikwa mwili wa Ayatullah al-Udhma Fayyadh watangazwa
Hawza/ Maelezo ya ratiba ya mazishi ya mwili wa Ayatullah al-Udhma Sheikh Muhammad Is’haq Fayyadh, ambaye leo Alhamisi ameaga dunia, yametangazwa.
-
DuniaMarji' na Mwanazuoni Mkubwa wa Najafu Afariki Dunia
Hawza/ Dunia imepata mshtuko wa ghafla baada ya Madrasa ya Ahlulbayt (as) kuondokewa na Mwanazuoni mkubwa katika zama hizi, Marji' mkubwa Ayatullah Muhammad Is-ha'q Fayyadhi (ra)