Hawza/ Ali Al-Emad amesisitiza kuwa; mapambano ya kuvunja mzingiro dhidi ya Yemen ni wajibu wa kitaifa na jukumu lisiloweza kuachwa, wala si hatua ya kisiasa au chombo cha shinikizo la kijeshi.
Hawza/ Mmoja wa viongozi wa Harakati ya Kusini mwa Yemen (Al-Harak al-Janubi) amelaani shambulio la Saudi Arabia dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a, akilitaja kuwa ni uhalifu kamili…
Hawza/ Tangazo la Jeshi la Yemen kuhusu kulenga Uwanja wa Ndege wa Abha nchini Saudi Arabia kwa makombora ya balestiki limeibua wimbi kubwa la mijadala na maoni katika mitandao ya kijamii.
Hawza/ Mchambuzi wa masuala ya kijeshi wa Yemen, Meja Jenerali Khalid Ghurab, amesema kuwa kulengwa kwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a ni maendeleo hatari katika mwenendo wa matukio,…
Hawzah/ Haishangazi tena kwamba nchi ya Saudi Arabia, kwa sababu zisizo na mantiki na kwa kutumia vibaya ukimya wa serikali ya Iraq na kutojali kwa Wizara ya Mambo ya Nje kuhusu haki za Wairaq…