Hawza/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mashuhuri wa Jaafaria, amesema: “Muqawama na Jeshi katika uwanja huu ni mtaji wa mamlaka ya kitaifa, na bila Jeshi na Muqawama, hakuna mustakabali kwa Lebanon,…
Hawzah/ Hujjatul-Islam Sayyid Shukr amesisitiza kwamba; Muqawama utaendelea kuwa kisu katika kifua cha kila dhalimu na mvamizi; wale walioikomboa Kusini wanaweza kuikomboa tena.
Hawzah/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesisitiza kwamba; wanachotaka kwetu ni kujisalimisha, na akaeleza kuwa kuna njama ya ndani na ya kimataifa inayolenga…